07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

zamani kwa sababu sasa badala kuchukua mkristo ama muhubiri aende kulala kwa remand na yeye alikuwa ana hubiri sasa hiyo<br />

imekuwa shida kabisa. Inatakikana iwekwe sheria kujua ya kwamba yule mkristo ambaye anahubiri, kama anapata mlevi<br />

halafu wakati mwingine na kamata pombe kidogo kwa jerry can ile ndogo ndogo achukue nasema nilikua na lewa, kwa hivyo<br />

Serikali yetu ningependa ya kwamba utusaidie kwa hapo.<br />

Lingine yaani sasa iko mambo ya President. Nime sikia chama nyingi. Sasa mtukufu Rais wetu, sasa iko age. Nimeona ya<br />

kwamba wako wengine ambaye iko na rika moja kama inazuia sasa President kama President ingine ambaye iko generation ya<br />

yeye kama yeye, kama sasa anataka kua President ni afadhali President yetu aendelee kuliko sasa Mzee mwengine apiganie<br />

President.<br />

Com. Abubakar : Tumejua...<br />

Mr. Philemon Mabwae : Umeelewa kabisa. Yangu hi hiyo tu.<br />

Com. Abubakar : Asante sana Mzee wangu. Mzee amefanya jambo nzuri. Umeona Mzee sikumuingilia alipo sema<br />

hadithi ya pombe. Uende pale ujiandikishe Mzee. Na heshimu miaka yake, lakini ametumia dakika tatu hakutumia dakika<br />

tano, tatu peke yake. Sasa naita Charles Maiwa? Charles Maiwa? Karibu Bwana utaje jina, uinue microphone kidogo,<br />

usongelee karibu kabisa. Songea karibu na mic, utaje jina uanze.<br />

Mr. Charles Maiwa : My names are Charles Maiwa Project Manager wa Kiptere Youth Polytechnic. I am presenting a<br />

memorandum on behalf of the staff of this particular institution.<br />

Ningetaja tu major points lakini, what I could read are self explanatory in the papers. First of all this is, I am saying some few<br />

things.<br />

Youth Polytechnic Instructors should be defined recognized and be absorbed in the Ministry like any other Civil Servant. The<br />

Government absorbs and recognize the presence of staff in the Youth Polytechnic like any other Civil Servant.<br />

To set up a system of paying salaries: For staff in the Ministry for now there is delay of grants. Salary is in payment per month<br />

is first of all through grants. The salaries to be paid by the Ministry not the grants.<br />

Two. Recognize the Basic Salaries by Job Groups:<br />

Three: The staff to be provided with House Allowance, Staffing Allowance, Medical Allowance, Hardship Allowance and<br />

Scheme.<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!