07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ku-recognize the presence of Madam Do amefika, mwenzako alikua hapa tukampa nafasi asalimie watu hata wewe tunakupa<br />

nafasi, usalimie watu tu kwa sababu sisi tuko kwako.<br />

Do Miriam : Asante sana ningependa kusalimia watu wa Belgut wenye wako hapa na Sigowet, hamjambo? [inaudible]<br />

asante sana.<br />

Com. Abubakar : Asante sana Madam just for your information we are three Commissioners, we have Honourable<br />

Mama Asiyo who has gone somewhere to have medical attention and we have the Chairman Mzee Pastor Ayonga and I am<br />

called Abubakar Zein. Thank you.<br />

Do Miriam : [inaudible]<br />

Com. Abubakar : Asante sana Madam Miriam. Sasa nina ita, ile list ninayo kwenye mkono ni ya mwisho kuna list ingine<br />

hapo? Ni lete hiyo list tafadhali? Nimekuita Mzee? Hiyo line nime tengea wale watu naita. Kama ni kiti vuta kiti kimoja<br />

nyuma uchukue ukae nyuma. Vuta nyuma, nyuma hapo. Nipe hiyo list. Sasa kulingana na list zetu nina majina ya watu ambao<br />

ndio we mwisho kuji andikisha na wanataka ku zungumza nataka niwaite wote wakae hapa tufanye kazi hii iwe rahisi. Jeremiah<br />

Misich yuko hapa? Jeremiah? Mzee wangu uje mbele kabisa were ndio uta kua wa kwanza. William Boit? William Boit?<br />

Keti hapa Mzee. William Boit? William Boit hayuko. Francis Cheruiyot? uko? Keti hapa mbele Mzee. Alfred Mitet?<br />

Alfred Mitet? karibu ukae pale Mzee. Benjamin Tonui? Benjamin Tonui? Ahaa hivo viti vimetosha sitaki zaidi ya hizo.<br />

Namna hiyo basi tosha, tosha. Benjamin Tonui ndio Mzee ukae pale. Joseph Samoi? Joseph Samoi? Ukae hapo mbele<br />

Mzee wangu. Zacharia Maritim? Zacharia Maritim? Bwana Zacharia uko? Bwana Zacharia hayuko. Francis A. Soi? Ukae<br />

hapo Mzee. Joseph Rono? Joseph Rono? Richard Koech? Richard Koech? Uje hapo mbele ukae karibu hapo. Zackayo<br />

Rono? Zackayo Rono? Uko Mzee? Uje karibu na Isaac Ruto? Isaac Ruto? Uko? Isaac Ruto ukae kiti cha.. wacha Mzee<br />

akae hapo... Wewe ndio Isaac Ruto sio? Wewe ndio Isaac Ruto kijana? Sawa. Munaenda kwa line hivyo. Hawa ndio watu<br />

wa mwisho kujiandikisha. Kuna mtu yeyote, kuna mkenya yeyote ambaye alikuja leo kutoa maoni yake na hakutajwa jina<br />

lake? Wazee naomba munyamaze kidogo. Hii ni tangazo muhimu. Nita rudia mara ya pili. Mzee, nauliza hivi, je! kuna<br />

mkenya yeyote ambaye alikuja kutoa maoni yake na hakupatiwa nafasi? Is there any Kenyan who came to give his views and<br />

he has not been called or has not been given an opportunity to be heard? Apart from the one nimewaweka hapa mbele? Kuna<br />

mwengine yeyote. Kwa hivyo mume shuhudia ya kwamba tu... wewe ndio hujafika? Njoo! Mzee! Mzee! Mzee! Mzee<br />

wachasiasa huko kuja hapa. Wewe umesema unataka kutoa maoni? Na haukujiandikisha? Kuja ukae hapa. Kuna mwingine<br />

yeyote? Hakuna. Huyu ndio ata kua wa mwisho. Njoo Mzee. Haya anza Mzee.<br />

Speaker : Ane amache ang’alalen kutit.<br />

Com. Abubakar : Yule mtu wa kutafsiri [inaudible] shika hii microphone hapa, nauanze na majina yako.<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!