07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Speaker : Hapa tunataka kuanzisha mkutano wetu. [inaudible] Tafadhali muchukuwe viti tunataka kuanza mkutano.<br />

Na wale wanafunzi muliotaka kutoa maoni tunataka muje. Tafadhali wale ambao mumesimama kule muje muchukuwe viti<br />

tunataka kuanza. Wale mumesimama tunataka kuona mumeketi ili tuanze [inaudible] naam... [inaudible] tena huyo ametoa<br />

hii, sasa... [inaudible] sasa... Mama usitafute [inaudible] mimi nakuonya tu... [inaudible]. Oh... Oh... Wewe siunazikiza<br />

tuna-record-iwa pale... Oh... lakini nilikuwa ninatoa maonyo. Maonyo hapana kitu mbaya, kama natoa matusi ni ndiye kitu<br />

mbaya, iwe-recorded. Nadhani ungetukaribisha natuanze [inaudible] tena kuna ingine [inaudible].<br />

Caroline Lang’at : Okay tutaanza mkutano.<br />

Speaker[s] : Unaona haisemi sana, niwewe husemi.<br />

Caroline Lang’at : Okay tutaanza mkutano sasa na kabla hatuja endelea nitamuita Pastor Keter akuje atuongoze kwa<br />

maombi. Karibu Pastor Keter.<br />

Speaker : Mpaka uiwashe hiyo, weka-on, rudisha juu<br />

Pastor Keter : Natuombe. Tuombe. Baba katika jina la Yesu Kristo tunakushukuru tena asubuhi ya leo, na nikwa<br />

mapenzi yako, asante kwa ulinzi wako, asante kwa maisha ambayo tunayo wakati kama huu Baba tunapo anza huu mkutano<br />

wa leo. Tunakushukuru Mungu tunapo [inaudible] kutoa maoni mbali mbali kuhusu sheria za nchi yetu. Tunaomba Mungu<br />

utuogoze kwa kila njia tunaposema tunapo-record-i, na tunapotoa maoni kwa kila njia, tunasema Mungu uwe pamoja nasi kwa<br />

sababu yale yote ambayo tutakayosema yana toka kwako. Mungu tunakushukuru kwa ma-commissioners ambao wamewasili<br />

hapa, nasema uwaongoze na uwasaidie kwa kila jambo. Na kwa wale ambao wamekusanya siku hii, iwe siku hii, katika<br />

sehemu hii, tunasema Mungu uwasaidie pia. Tunakabidhi kila jambo mikononi mwako tunapo anza, hadi mwisho na ninaomba<br />

nikiamini katika jina safi ya Yesu Kristo. Amen.<br />

Caroline Lang’at : Okay asante Pastor Keter. Kwa wale ambao wamefika nadhani nyote mume-register majina yenu<br />

kwa hiyo desk ilio pale kando. Aliye pale anaitwa Patricia Maritim. Atakuwa aki-register all the participants’ wanao kuja<br />

katika hii mkutano. Kwa majina naitwa Caroline Lang’at District Co-Ordinator Kericho District. Asante, nitarudishia<br />

Commissioners halafu wataendelea na programme.<br />

Speaker : Unaskia<br />

Com. Ayonga : Hamjambo. Kwa niaba ya Commissioners wenzangu ambao tuko hapa mbele nataka kumu ita Chief wa<br />

area hii aje atukaribishe hapa kwake ndipo nita waambia tunafanya aje.<br />

3

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!