12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Daniel Mutai : Again is this Government kama kuandikishwa, kwa jeshi kila mahali. so it should be looked and<br />
shared...<br />
Com. Abubakar : Unataka watu wakiajiriwa kwa Majeshi, Polisi waandikishiwe wapi? Location?<br />
Mr. Daniel Mutai : Not even Location in every District should be..<br />
Com. Abubakar : Waajiriwe sawa sawa<br />
Mr. Daniel Mutai : Sawa sawa sio kupendelea upande ingine.<br />
Com. Abubakar : Sawa. Asante sana.<br />
Mr. Daniel Mutai : So that is...<br />
Com. Abubakar : Asante sana, lakini uende pale juu kwa yule Bwana pale mwenye shirt ya blue ujiandikishe pale. Sasa<br />
namuita Bwana Henry K. Mariset? Karibu Mzee.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Mimi ni Henry Mariset kwa vile niko hapa sasa tunaweza sema ya kwamba nina hitaji Serikali<br />
ya majimbo.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Vile vile Prime Minister awe na Serikali yetu.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Ingine ni mipaka ya kutoka Province yeyote, mipaka ya kila Province ikae vile inavyowezekana<br />
na watu wao.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Vile vile nina hitaji Tribunal Courts vile kama zamani ilivyo onekana mbeleni.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
82