12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Abubakar : Ahaa!<br />
Mr. Francis Cheruiyot : School...<br />
Com. Abubakar : Ngoja, ngoja nakupa point mbili ya mwisho.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Ingine ni Courts tunataka Constituency Courts.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Hapana taka kuenda pahali mbali na watu iko hapo.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Kama zamani.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Schools na dispensaries apate free medical na fees.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : The Mp’s nataka utafute njia ya ku..<br />
Com. Abubakar : Ya mwisho hiyo...<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Ehe! Mp’s tunataka iondolewe kama hawezi attend meetings yao kila mara naweza fanya<br />
ujanja ujanja<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Francis Cheruiyot : That he avoids, na tena, haya kwisha hiyo. Itafute wakati ya kuondoa wakati amekaa bila ya<br />
kufanya kazi.<br />
93