12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mr. Henry K. Mariset : Na ingine ni tulikua tukiona Serikali yetu ili kua ya [?] mbeleni tulikua na matibabu ya bure.<br />
Hatuoni sasa inaendelea namna gani.<br />
Com. Abubakar : Unataka je?<br />
Mr. Henry K. Mariset : Na hitaji matibabu ya bure.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Vile vile shule tulikua tukiona ya kwamba...<br />
Com. Abubakar : Unataka je?<br />
Mr. Henry K. Mariset : Nataka Primary iwe free education.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Na ya mwisho wakati wa kuandikisha watu, watoto wa, au watu wa Army, Police iwe<br />
inawakilishwa kwa kila District kila mahali vile inatakikana, sio kwa njia ya kipande kipande hivi.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Henry K. Mariset : Asante. Mzee uende pale juu ujiandikishe, sasa namuita Bwana Alfred Kosgei?<br />
Mr. Alfred Kosgei : Thank you Bwana commissioners my names are Alfred Kosgei. Nime unga mkono yule mtu<br />
ambaye amesema ya kwamba Federal Government iwe, iwepo.<br />
Na pia mipaka za kila Province iwepo vile ilikuweko mbeleni.<br />
Na pia kile kitu ambaye ningetaka kusema pia hapa ni ya kwamba wasichana wasi tairishwe wa baki tu. Kwa sababu ku<br />
tairisha ni kupoteza wakati na resources.<br />
Ya pili ama ya tatu sheria ya mtu ambaye ameiba mali ya Serikali ifanyiwe arudishe hiyo mali ya Serikali yote, ile aliiba. Hata<br />
kama alinunua gari hiyo gari iuzwe kwa State ile pesa ibaki kwa irudi kwa State sababu, sababu, ni sawa sawa.<br />
83