07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ingekua ni tafauti term ya President inge kua independent na ile ya Parliament na sheria zetu inaweza ikatengenezwa iwe hivyo.<br />

Jambo lingine ambao pengine limetajwa ni wakati huu tunaelekea vile nina onelea ni inahitajika President apate 50% ya votes<br />

zote na vile ndio pengine itahitaji kama kuna watu wengi wana i ng’ang’ania hiyo kitu cha urais pengine tuwe na run-off kwa<br />

wale ambao au turudie kwa walili wako mbele hiyo ndio vile vile nime taka katika mambo ya ukabila na nini na nini ita fikia<br />

wakati ambao hakuna kabila inaweza ika pata 30% na achukue President peke yao. Mpaka waungane au wake pamoja na<br />

wakenya wengine ndio waweze kuifikia hiyo ndio na sema inge hitajika iwe na 50% minimum 51%, 50.whatever% kwa<br />

Provinces badala ya kusema 25% kwa hii au lile inasema nusu za provinces au regions kama tuta kua na regions at least half<br />

kama tuko nne at least half lazima ifike 50% vile vile. Again term ya President vile naionelea iwe ni ya miaka mitano vile wakati<br />

iko kwa Katiba na iwe ni two terms vile vile isizidi terms hizo mbili. Kwa maoni yangu vile vile, vile nimesema ku-cross au tuwe<br />

na ile ilio nzuri katika Katiba ya America vile tunaijua tuna tumia America kama example tu kwa sababu kuna nchi zingine<br />

ambao wako na Katiba kama ya America lakini America ndio pengine inajulikana kwetu sana. Vile vile uingereza kuna vile vile<br />

ya ufaransa. Lakini vile na onelea kwa upande wa Parliament tunge kua na kitu kama ile ya uingereza, ambao wako na Prime<br />

Minister na Prime Minister uwe ina tokea ile chama ambao kime win elections to the majority of seats katika assembly wetu.<br />

Prime Minister itakua ingaa tuko na President na Prime Minister awe na powers ambaye ita kua specific kwa Constitution ndio<br />

kusiwe na confusion katika powers ya President na Prime Minister. Na Prime Minister vile vile ndio ata appoint kwa maoni<br />

yangu Ministers na Deputy Ministers kwa consultations au waki, consultations kwa kiswahili ni waki shirikiana, waki shauriana<br />

na Rais vile vile Ministers vile ninaonelea katika Ministries wasiwe na zaidi ya assistants wawili. Na zile Assistants ningeionlea<br />

iwe Deputy Ministers not Assistant Ministers. Na wawe Deputy Ministers ambao wana weza kusimamia kushika usuhukani<br />

kama Minister hayuko kwa ofisini. Vile tunao sasa katika Katiba yetu au ni kama practice. Assistant Minister hawezi aka<br />

shikilia Minister kwa mambo fulani kama Minister hayuko mpaka President ana appoint Minister ingine tutoka kwa wizara<br />

ingine awe acting kwa Ministry hiyo, Assistant Ministers katika uwezo walioko katika Katiba yetu hawawezi kuishikia<br />

usuhukani waziri ambao ame toka inje au ako safarini. Katiba yetu kama tunataka usimamizi nzuri katika Ministries, na watu<br />

ambao wana elewa mambo ya hayo ministries waka simamia ni upande wa Ministries tuwe na Deputy Ministers ambao wata<br />

simamia Ministers kwa kazi ya Ministries na attend Cabinet meetings on behalf of the Minister kama ni Deputy wakati huyo<br />

Minister hayuko ndio nimesema waitwe Deputy Ministers badala ya Assistant Ministers. Na ikiwa Assistant Minister akiwa<br />

sana sababu yake tume kua na shida shida fulani kuhusu hizo uwezo ya hiyo ofisi vile inakaa ingewekwa nguvu ndio tuka weza<br />

kusaidiana vizuri na Ministers wetu. Na vile vile ndio nataja Deputy Ministers wawe na specific responsibilities na inatakiwa<br />

ienda katika Katiba yetu kwa Ministries mpaka hata iki elekea mambo ya kuhusu Parliament na nini na nini wakihusika na<br />

mambo, na mambo hayo. Kuna katika section ishirini ya Katiba yetu jambo kidogo ambayo ina sema ma Ministers, Assistant<br />

Ministers au Vice-President kama wakitoka kutoka inje lazima waombe na wapewe ruhusa kwa barua na Rais tuliko sasa,<br />

Ministers na Assistant Ministers huwezi ukatoka inje kama ni kazi ya Serikali, kama ni jambo ya kibinafsi huwezi ukatoka bila<br />

kupata ruhusa ushughulike kwa nchi za ng’ambo, Minister hawezi akatoka na hii ime fanyika kwangu pengine mara mbili mara<br />

tatu. Kuna Delegation inatakiwa ipelekwe inje lakini kwa sababu Rais hakuna kuweka sahihi kwa barua huwezi ukatoka. Na<br />

Serikali yetu haiwezi ikawa represented kwa hayo mikutano na Minister au na Assistant Minister. Hiyo ni kama kazi ya Serikali<br />

inakwama, na inakwama kwa jambo unaona pengine hakuna haja. Vile kwa sababu ya vile Serikali inaendeshwa kingehitajika<br />

121

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!