12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Isaac arap Murubii : Mimi ni Isaac arap Murubii. Mtu ingine amesha zungumza juu kortini iwe ya karibu ile zamani<br />
inaitwa tribunal.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Isaac arap Murubii : Nina kuja kwa division ilikuwa imeandikwa na mtu mwengine.<br />
Ingine ni inatakiwa kwa hii Province nane boundaries yao iwe kamili, iwe kamili kwa sababu boundaries hapana mzuri iwe<br />
kamili kwa hii Province nane.<br />
Iko hapa neno ingine juu ya kuoa bibi. Kuoa bibi halafu nyinyi natengana kwa kiwetu hata bibi akienda miaka mia moja ita<br />
kuwa yako. Lakini leo ninasema ni mzuri tukitengana miaka mbili tu basi kwisha yangu na kwenda kwao.<br />
Com. Abubakar : Ngoja ni kuelewe.<br />
Mr. Isaac arap Murubii : Eleza<br />
Com. Abubakar : Unasema hivi bibi ya mtu akiondoka nyumbani akaenda kwingine ikifika miaka miwili asirudi tena.<br />
Mr. Isaac arap Murubii : Ndio hiyo namna hiyo.<br />
Com. Abubakar : Wale wana piga makofi ni watu ambao hawa kujua desturi yetu tulisema ukifurahia jambo furahia kwa<br />
roho. Ukikasirika jambo kasirika kwa roho mpaka ifika zamu yako uje useme hapa.<br />
Mr. Isaac arap Murubii : Hapana takiwa President atume Majeshi inje nchi za mbali bila Parliament kujua. Hapo tu<br />
asante sana.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee, tunamuita Bwana Zacharia Kimei? Mzee uende kujiandikisha kule nyuma Mzee,<br />
pale kwenye ile meza yetu pale.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Asante sana Bwana Commissioners, majina yangu kamili ni Zacharia Kimei nina represent<br />
Chemamul Ward mimi ni youth advocate. Maoni yangu machache ambaye ningependa…<br />
Com. Abubakar : Naomba tuwe kimya kabisa, tulisema hapa ni kama kortini, hichi ni kikao rasmi cha Tume ya<br />
74