07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

tu ni ka-notice kwa Rais kwa ofisi yake kusema siku fulani nita kua na safari kama ni ya kibinafsi au ya kiserikali hiyo itoshe na<br />

iwe ni-acknowledgement. Hiyo ndio itarahisika, kama ni jambo inaonekana inafaa kuingia kwa Katiba. Lakini written notice in<br />

advance naona ni jambo ndio pengine inatatiza kazi ya Serikali saa ingine na tuna sumbua Rais sijui barua ngapi anapata kutoka<br />

Ministers, Assistant Ministers kile week, mpaka asome mpaka a barua iandikwe na aweke sahihi. Nafikiri Rais wetu ako na<br />

kazi kubwa kuliko ku-approve mambo kama haya. Na kwa upande wa appointment wa Ministers au Public Officers, Civil<br />

Servants, vile ningeonelea kwa vile hua tukifanya kazi katika Serikali yetu watu ambao ni Civil Servants unajua kuna ma Civil<br />

Servants hapa wengie lakini tume kua tuki tatizika na ma Civil Servants ambao loyalty yao ni ya upande mwengine. Hawafwati<br />

matakwa ya Serikali ilioko. Na ndio na sema inatubidi ma Civil Servants mpaka kadre fulani iwe ni kama Political<br />

appointments, ana kua appointed na Serikali hiyo ya wakati huo na Serikali hiyo ikitoka watoke na hawa. Hiyo ndio inafanyika<br />

upande za America ndio tukiwa na Permanent Secretary tunajua Permanent Secretary itafanya kazi ya Serikali hii. Tukiwa na<br />

Deputy Secretary, tukiwa na Directors tukiwa na Deputy Directors tunajua hii loyalty yake kwa Serikali yetu ndio inaenda<br />

sawasawa. Sio unasema mpaka label ya Deputy Heads of Departments yanatakiwa wawe akiwa appointed wakati President<br />

ana shika ushukani wanakua appointed na mwisho wa hiyo term kazi yao inakwisha. Na kama Serikali hiyo ikiwa elected tena<br />

pengine wata appoint hawa au wata appoint wengine. Inafanyika area zingine na inakua nzuri, hapa kwetu pengine inahitajika<br />

vile vile, sana sana kama tukiwa na hii mambo ya ukabila, ambao kazi ya Serikali pengine inakwamwishwa na tatu ambao wako<br />

na agenda ingine. So ningeonelea tuwe na technical people mpaka below Deputy Heads of Departments lakini Heads of<br />

Department there Deputies, Deputy Secretaries, Permanent Secretaries Directors wawe wanakua appointed wakati Serikali<br />

ikinigia hiyo Serikali ikitoka itoke na watu wake. Serikali mpya i-appoint watu wasimamie mambo ya Serikali, mambo mpaka<br />

upande ya chini no problem kwa sababu kutoka chini ya Deputy Heads iko Sub-Heads wengi wengi ambao wanakua ni<br />

technical people mpaka upande za chini mpaka kwa District hiyo wataendelea kawaida. lakini huko huko juu vile na onelea<br />

kama tutakua tukiendelae vizuri tena kuharakisha mambo ya kimaendeleo mpaka wafanyikazi wa Serikali washikane kabisa<br />

kabisa na viongozi katika Serikali, isipokuwa hivyo unakuta mambo inaharibika. Mtu anapewa cheo lakini loyalty yake ni mahali<br />

kwingine, na ndio na sema wafanyiwe hiyo halafu ndio nafikiri tunaweza tukafanya progress mzuri. Jambo lingine ambao<br />

nimeikuta katika section ishirini na saba upande ya hii nafikiri ili kua ina husu mtu moja hii prerogative of mercy katika mambo<br />

ya elections, election offence. Nafikiri kulikua kuna Mzee ame hukumiwa kortini siku ingine aka aambiwa huwezi kusimama<br />

kwa sababu umefanya Election Offence kwa sababu kama Election Offence ikifanyika mwenye ame fanya hiyo hana ruhusa<br />

husimama mpaka pengine nyakati zingine kutegemea na ile kortini amesema. lakini hiyo section ili kua introduced sub-section ili<br />

kua introduced in 1975 nafikiri wale ambao wazee kidogo watakumbuka. Ilikua ikatumiwa na President kumwachisha jamaa<br />

mwingine apate nafasi asimame tena, kwa sababu alikua amefungiwa inje. Ikaingia kwa Katiba na ikawani jambo ya mtu moja<br />

tu binafsi, nafikiri Katiba yetu haitakiwi iweikiongea maneno ya kibinafsi ni sheria ya nchi na jambo kama hili vile nimeona inafaa<br />

kuondolewa. Kwa upande ya Parliament ni machache tu nitagusia kuna mengi ambaye yange husu Parliament. Kwanza ni<br />

mambo ya nomination. Nomination vile iliingia katika Katiba yetu mambo ya kwanza ilikuwa ni kwa Serikali kupatia<br />

nomination watu ambao hawako pata representation katika mambo ya uchaguzi. Ilikua ni ya balancing kwa Serikali lakini<br />

ikafika wakati imekua ni mambo ya kisiasa tu mpaka sasa inagawanywa kama kuna twelve seats yanakua nominated inasema<br />

sasa inagawa proportionally kutegemea na ile seats kama ni ya Kanu ni ngapi kama ni ya Dp ni ngapi, imekosa maana. Vile<br />

122

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!