12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Translator : Ikuwe ni uhuru kwa matatizo yao yote na kila kitu.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : President ne kindo anan ne rubuge<br />
Translator : Vile mtu ambaye atakuwa President au yule ambayo atafuata yule ambaye iko sasa.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : koibe boisienyin kot koit let, mamiten ne kelenen kakile kakotilak raini.<br />
Translator : Atafanya kazi yake mpaka mwisho na hakuna mtu atasema ime tosha.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Isto kityo kura.<br />
Translator : Kura ndio itamutoa.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Mache bikab Kalenjin komugul katyaknatet nebo saet kou ole komi.<br />
Translator : Watu wa Kalenjin pahali wako wanataka uhuru ya maombi.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Ago nyolu kityach dinit age tuguk koboige en boisionik che yoe, ole soito.<br />
Translator : Na kila dini atapewa uhuru ya kufanya kazi yake vile anapenda.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Ta komotwoe serkali.<br />
Translator : Bora wasiguse maneno ya Serikali<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Mwae bikap nyot kole<br />
Translator : Wazee ya nyuth? wanasema hivi.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : kimoche serkalitab majimbo kou yeu en emotinwek alak.<br />
Translator : Tunataka Serikali ya majimbo kama vile iko kwa nchi zingine.<br />
Mr. Kipsoi arap Chumo : Mwoe bikab nyot kole<br />
56