07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Government na ile ingine Distinct Regional Government.<br />

Halafu ya nne katika basic rights kuhusu social and economic na cultural iwe iandikwe mzuri kua sheria.<br />

Kama ni shelter watu wa angaliwe vizuri tujue tuna shelter ya aina gani. Kama ni chakula, food security iwe ya kwanza. Kwa<br />

sababu iko na sehemu zingine ambao hakuna vyakula.<br />

N kuhusu education. Tuwe na free education ya Primary level na iwe compulsory. Ningependekeza hivyo up to Primary level.<br />

Na ya Civil Rights watu wafundishwe Civil Education, yaani wajue Rights yao iwe ni jukumu la kuendelea.<br />

Hiyo tu kwa wakati.<br />

Ya mwisho ningependelea kwamba Chiefs Act irudishwe kama ilivyo kuwa halafu watu wana hudumiwa vizuri. Asanteni.<br />

Com. Asiyo : Niko na swali moja tu [inaudible]<br />

Mr. Josiah Sang : Ningependekeza...<br />

Com. Asiyo : [inaudible]<br />

Mr. Josiah Sang : Ningependekeza ya kwamba katika federal system ya Government vile mume kuwa split ya Executive<br />

na Legislature authority na Distinct Regional tuwe Governor ya Regional, na tuwe na Prime Minister.<br />

[inaudible]<br />

Com. Abubakar : Sasa mama akiwa tayari aniambie tu. Hata sasa hivi mimi naweza kumpa fursa mama aseme. Haya<br />

uko tayari. Mama unaweza kukaa tu hapo. Hakuna wasiwasi.<br />

Mama Sophia arap Too : Ochomege tugul is. Okotok tugul ale ochimege?<br />

Translator : Nyingi nyote hamjambo.<br />

Mama Sophia arap Too : Awekyini kongoi Jehovah amun ripset ne kokoribon kot anyoru asistab raini.<br />

37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!