12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Com. Ayonga : Kuja hapa.<br />
Com. Abubakar : Mtu wa kwanza aje hapa kwa kiti cha mbele kabisa kuja huku chini. Kuja huku chini akifuatiwa na<br />
Mwangi Ng’eno, Rono, Wilson, Joel, Dina, Francis, Jonathan awe wa mwisho. Sasa nita sikia mara ya mwisho na register<br />
nimefunga. Je! maanake [inaudible]. Je! kuna mkenya yeyote aliekua akitaka kuzungumza na hakupata nafasi. Isipokuwa<br />
hawa walio kaa hapa. Hata nyinyi mume chelewa si unaona nime rudia hilo swali tena. Wewe Mzee ulikuwa wapi? Ahaa huyo<br />
anakaa karibu na wewe, ulikuwa wapi ndugu, na ume jiandikisha. Hakuna ku-escape. Nimesha ita majina mara mbili mbili,<br />
ulikua wapi. Haya na Narudia mara ya mwisho. Kuna mkenya yeyote ambaye alikuja kutoa maoni yake hapa na haja toa na<br />
anataka kutoa. [inaudible]. Ngoja, ngoja Mzee mimi nasema aliekuja na maoni yake na, sitaki urudi na maoni uliyo kuja<br />
nayo. Halafu unatupa.<br />
Speaker : Hallo.<br />
Com. Abubakar : Kuna, nauliza tena kuna mkenya yeyote ambaye alikuja na maoni yake na haja pata nafasi. Mzee<br />
unasema una neno moja neno hilo lisha semwa [inaudible] haya basi enda ukae pale. Sasa sisi tulikua tuna sema mambo<br />
ambayo yametajwa mtu asirudie sasa nyinyi mumekuja sasa hizi hata, mutajua ni gani yametajwa na gani haya kutajwa. Nitakua<br />
na mpa mtu fursa aseme manake mumekuja saa ni wape rules. Ukiwa una written memorandum unaweza hata kutoa saa hii<br />
pale kwa desk bila kuzungumza au ukiwa una written memorandum unataka kuzungumza we allow only you to give highlights<br />
not to read the memorandum to us. Na ikiwa huna memorandum unataka kuzungumza kwa kauli yako unatupatia points, sijui<br />
kama mumefahamu ni sawa. Anza Mzee utaje jina, unataja jina because we are recording the session. Unataja jina halafu<br />
unaendelea. Ngoja, ngoja, ngoja. Wewe pia umekuja mgeni sio. Tulikua tunasema hivi kwamba unaweza sema kiswahili,<br />
kingereza ama Kipsigis. Ikiwa unajua kiswahili au kingereza huna haja kuzungumza Kipsigis. Kwa sababu kiasi mtu a-translate<br />
unachukua time ya watu wawili sasa wewe unataka kuzungumza Kipsigis. Haya, na uta kua very short. [inaudible] Utaje jina<br />
lako mara moja.<br />
Mr. Moses Ruto : Kainenyun ko…<br />
Com. Abubakar : Inafanya Bwana.<br />
Mr. Moses Ruto : Umeandika jina langu Moses Ruto.<br />
Com. Abubakar : Sawa endelea.<br />
108