12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Hiyo ndio maoni yangu asante sana.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Bwana Kitur. Huyu kijana ata pokea hiyo uruditu pale ulikuwa umekaa ukae Bwana<br />
Ndirangu atakuletea ile register using pale pale. Kwa hivyo Bwana Kitur, Bwana Kitur subiri kuna swali kutoka kwa<br />
Commissioner pole.<br />
Com. Asiyo : Ningependa kukuuliza Bwana Kitur kama una maoni yeyote ambayo ungependa tuaandike kwa Katiba iwe<br />
ya wale wasiojiweza?<br />
Mr. Peter Kipkoech Kitur : Nilitoa Disabled people: Should be given free funds...<br />
Com. Asiyo : Okay, okay. Thank you.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Bwana<br />
Mr. Peter Kipkoech Kitur : ...and free education and give the money for health.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Bwana Kitur. Uruditu pale ulikuwa umekaa, sasa Bwana Ndirangu atakuletea maandishi<br />
pale. Sawa. Nadhani hiyo list imeisha. Tunaenda kwa ya... Bwana Joseph Mabwae? Si alikuwa amezungumza Bwana<br />
Mabwae? Haya huyu ni mwingine Bwana Joseph Mabwae? [inaudible] Najua. Catherine Chumo? Catherine Chumo?<br />
Fredrick Metet? [inaudible] Ku-arrange nini Mzee? Ku-arrange nini? Oh! niwewe uki rudi basi inua mkono basi halafu nita<br />
kuona. Wewe unaitwa nani Mzee? Ukifika, uki rudi ukiwa tayari nifanyie hivi nita kuona. Haya Mzee. John Maiwa? Sawa.<br />
Benjamin Ngetich? Benjamin Ngetich? Karibu Mzee, karibu Mzee. Utaje jina uendelee.<br />
Mr. Benjamin Ngetich : Asante sana sijui nitafaulu kiswahili. [inaudible] Natosha? Asante sana nime fika hapa sijui<br />
nitafaulu kwa kiswahili kwa sababu kiswahili yangu ni ile ya zamani ya wazee ya zamani. Lakini nita jaribu. Asante sana kwa<br />
maoni ya Katiba mimi naitwa Benjamin Ngetich natoka Shikawe? Division yetu hapa chini mpaka Chemabul? yote namna<br />
hiyo. Na mimi Mzee ya health ya Kipsigis. Maoni yangu ni hii.<br />
Na taka ya kwamba Katiba kweli tunataka iwe sasa, mimi na zungumza mambo ya Kanisa ipate uhuru, kila kanisa ya kila mtu<br />
apate uhuru. Kama watu wanapata saa ya kuabudu watoto wasiruhusiwe kutoka kuja kukimbia kimbia, natakiwa aombe<br />
sababu inatakikana namna hiyo. Uhuru inatakiwa kila kanisa afuate sheria yao. Afuate sheria kama watu wa Jumapili, afuate<br />
sheria ya Jumapili ku swali bila kuja kukugusa na watu ambaye wana pumzika Ijumaa ama Jumamosi tena apumzike ya kutosha.<br />
Sababu hapana kuja kuruhusia watoto shule amuruhisie kuja kimbia kimbia hapana kupumzika siku ya Sabato au siku ya<br />
Jumapili watu ili anipe mamlaka ile watu kuabudu Mungu.<br />
19