28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(a)<br />

(b)<br />

Je, Serikali inasema nini kuhusu utekelezaji mradi wa matumizi ya gesi kwa<br />

magari hapa nchini<br />

Je, Serikali inasema nini juu ya utekelezaji wa mpan<strong>go</strong> wa uagizaji wa ununuzi<br />

wa mafuta kwa kiwan<strong>go</strong> kikubwa (bulk purchasing)<br />

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI alijibu:-<br />

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nishati na Madini, napenda kujibu swali la<br />

Mheshimiwa Herbert James Mntangi, M<strong>bunge</strong> wa Muheza lenye vipengele (a) na (b) kama<br />

ifuatavyo:-<br />

(a) Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia TPDC kwa kushirikiana na Pan African Energy<br />

walianza mchakato wa mradi wa kutumia gesi asili kwenye magari, viwandani, majumbani na<br />

matumizi mengine mbalimbali ya chanzo hiki cha nishati (nishati ya gesi), kwa len<strong>go</strong> la kupanua<br />

manufaa ya kiuchumi na kijamii yanayopatikana kwa matumizi makubwa ya vyanzo vingine vya<br />

nishati kwa mfano bidhaa za petroli (Hydrocarbons) na kuni (Biomass), ambayo yana athari kubwa<br />

za kiuchumi, kijamii kwa mazingira na afya za binadamu kutegemea na matumizi.<br />

Mheshimiwa Spika, mkakati wa awali mwaka 2008 ulikuwa ni kuanzisha vituo vya mfano<br />

na masoko ambapo kituo cha kujaza gesi kwenye magari cha Ubun<strong>go</strong>, Dar es Salaam<br />

kilianzishwa. Kituo hicho kina uwezo wa kujaza magari 200 kwa siku, na kilianza kufanya kazi<br />

mwaka 2010 baada ya kazi ya ujenzi kukamilika. Mpaka sasa mifumo ya magari 36 imebadilishwa<br />

ili kuweza kutumia gesi asili. Kasi ya ubadilishaji wa mifumo ya magari imekuwa ni ndo<strong>go</strong> kutokana<br />

na gharama za ubadilishaji kuwa kubwa. Takribani, zaidi ya shilingi milioni moja zinahitajika<br />

kubadilisha mfumo gesi kwa gari moja linalotumia mafuta ya petroli ili liweze kutumia gesi asili.<br />

Aidha, kasi ndo<strong>go</strong> ya kazi za masoko zimepelekea ufahamu mdo<strong>go</strong> kwa wamiliki wa<br />

magari wa manufaa ya matumizi ya gesi kwenye magari, ikilinganishwa na matumizi ya petroli.<br />

(b) Mheshimiwa Spika, uzoefu uliopatikana katika miaka na siku za karibuni katika<br />

masuala yanayohusika na sekta ya biashara ya mafuta, zimebaini umuhimu wa ushiriki wa Serikali<br />

kwa kupitia taasisi za umma kama TPDC na EWURA kwa len<strong>go</strong> la kulinda maslahi na haki za<br />

wadau wote kwa maana ya wafanyabiashara, lakini pia watumiaji (consumers) wa nishati hiyo.<br />

Mfumo wa uagizaji wa mafuta wa pamoja kwa kiwan<strong>go</strong> kikubwa (bulk procurement) umekusudia<br />

kukidhi malen<strong>go</strong> hayo.<br />

Mheshimiwa Spika, katika mfumo huo, utekelezaji wa mpan<strong>go</strong> huu wa bulk procurement<br />

utatekelezwa baada ya kanuni chini ya Sheria ya Mafuta ya Mwaka 2008 kusainiwa na Waziri<br />

mwezi Juni, 2011. Hivi sasa kazi ya uundwaji wa Kamati ya ununuzi ambayo inahusisha wataalam<br />

kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Fedha, Wizara ya Uchukuzi, Mamlaka ya Bandari,<br />

TPDC, EWURA na Umoja wa Makampuni yanayofanya biashara ya mafuta nchini (TAOMAC)<br />

imeanza. Mfumo huu unatarajiwa pamoja na kuleta nafuu ya bei ya mafuta nchini, kusaidia<br />

kupata takwimu sahihi za mafuta yanayoingizwa nchini na kuboresha makusanyo ya kodi<br />

itokanayo na biashara ya mafuta.<br />

MHE. HERBERT J. MNTANGI: Mheshimiwa Spika, nashukuru sana kwa majibu ya Mheshimiwa<br />

Waziri, lakini naomba nisisitize tu, kama alivyosema yeye mwenyewe kwamba bado kuna matatizo<br />

ya ufahamu, watu hawajaelewa mfumo huo unavyofanya kazi vizuri. Lakini tatizo lingine kubwa ni<br />

vituo vya gesi. Kipo kituo pale Ubun<strong>go</strong>, mimi nipo Dar es Salaam nakwenda Muheza, wasiwasi<br />

wangu ni kwamba nikishajaza gesi pale Ubun<strong>go</strong> nikifika Muheza Tanga, Moshi, Arusha hakuna<br />

vituo. Je, kuna mkakati gani wa kuongeza idadi ya vituo ili angalau watu wawe na uhakika wa<br />

kupata huduma hiyo (Makofi)<br />

Swali la pili, naanza kwa ku-declare interest kwamba mimi nilikuwa nafanya kazi Shirika la<br />

Maendeleo ya Petroli na nilishiriki katika kuanzisha Kampuni tatu zifuatazo:-<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!