28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

maeneo husika na kutoa amri husika, zinashindwa kutekelezeka na ndiyo maana tunapata hii<br />

mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya watu. Utasikia eneo fulani wame<strong>go</strong>ma, sijui imekuwaje, lakini suala hili lingewekwa<br />

wazi nafikiri lingeweza kuwasaidia wananchi wakaishi vizuri na kila mmoja akatimiza wajibu wake<br />

na kutii sheria.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimalizie kwa kuomba Wizara husika iangalie suala hili kwa<br />

sababu sekta ya ardhi ni mtambuka, ijaribu kushirikiana na Wizara nyingine zilizopo, wafanye kazi<br />

kwa pamoja, wawaondolee wananchi wetu hawa matatizo haya ya kila siku. Iwapo haya<br />

niliyoyasema yatafanyiwa kazi, ninaamini haya yanayotokea huko kote ambayo tunayasikia hapa<br />

Bungeni, hayatakaa yajitokeze kwa sababu kila mmoja atajua eneo lake likoje, atajua thamani ya<br />

shamba lake ikoje na hata akienda kuuza atajua auze kwa shilingi ngapi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa Antony Mbassa, na kwa kweli sauti yako<br />

ulivyokuwa unatoa message ya kuchangia, ni kama mtumishi wa Mungu kabisa. Nakushukuru<br />

sana.<br />

MHE. MODESTUS D. KILUFI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya wananchi wa Mbarali,<br />

naomba nichukue nafasi hii kukushukuru sana kwa kunipa nafasi hii.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba vilevile nichukue nafasi hii kuishukuru sana Serikali kwa<br />

kuwa sikivu kwa kilio cha wananchi wa Mbarali, hasa kupitia Waziri Mkuu alipotangaza kwamba<br />

wale wananchi hawatasumbuliwa tena na uhamisho ambao kwa kweli ilikuwa ni kero kubwa kwa<br />

wananchi wa Mbarali na mimi mwenyewe. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile naomba nichukue nafasi hii kuishukuru Kamati ya Bunge<br />

ya Maliasili, Ardhi na Mazingira, kwa kuona umuhimu wa kutatua mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hii ya ardhi katika nchi<br />

hii wakiwa wameanzia kwangu Mbarali. Walikuwa ni mchan<strong>go</strong> mkubwa sana wa kuona kwamba<br />

wananchi wanabaki na ardhi yao na si vinginevyo.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba vilevile nimshukuru sana Waziri wa Maliasili na Utalii,<br />

Mheshimiwa Ezekiel Maige kwa kuungana na Kamati pamoja na Serikali, kuona kwamba wale<br />

wananchi wa Mbarali ardhi yao isingefaa kuchukuliwa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nitakuwa nimekosea sana kama sitashukuru uon<strong>go</strong>zi wa TANAPA<br />

kwa kukubali kwamba ni kweli TANAPA haiko kwa ajili ya kuwa na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro na wananchi, inataka<br />

mahusiano ya karibu na wananchi na hivyo iko tayari kufanya mahusiano ya karibu na wananchi<br />

wa Mbarali na siyo ku<strong>go</strong>mbana kwa kung’ang’ania mipaka. Hivyo na wenyewe naomba<br />

niwashukuru sana.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nasema nawashukuru hao kwa sababu inawezekana wananchi<br />

wa Mbarali wakashangaa imekuwaje leo nawashukuru! Kwa kweli katika kikao cha pamoja<br />

tulichofanya tarehe 28 na 29 na hao wote niliowataja, tulifikia hatua hiyo nzuri ya maridhiano.<br />

Tatizo kubwa lilikuwa ni ramani iliyoridhiwa na RCC ambayo haikuwa imeandaliwa awali na<br />

TANAPA, kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Ile ramani ya<br />

mwanzo haikuwa na m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kwa wananchi wa Mbarali, sasa ilipoongezwa hii ya RCC ambayo<br />

ililetwa kinyume na taratibu, ilileta m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa, wananchi wa Mbarali wakakosa imani na<br />

Serikali yao lakini baada ya kukaa tumekubaliana kwamba, ramani ya mwanzo ndiyo<br />

itakayofuatwa na siyo ile iliyoongezwa na RCC. Naishukuru sana Serikali kwa kuwa sikivu.<br />

Wananchi wa Mbarali wana imani kubwa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi lakini vilevile na<br />

uon<strong>go</strong>zi wa ngazi ya Taifa kwa maana ya Serikali yetu ya Chama cha Mapinduzi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, labda sasa baada ya kuongea hayo, niongelee mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya<br />

ardhi Wilayani Mbarali na maeneo mengine yaliyopo katika nchi hii. Mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi katika nchi<br />

hii tusipoiangalia, itatupeleka pabaya! Ni kweli kwangu Mbarali kuna mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro lakini vilevile kama<br />

66

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!