28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

hatuwezi kufanya Kwa hiyo, naomba Wizara ya Ardhi, jambo hili mlifanyie kazi ni kero kubwa kwa<br />

Watanzania. Sioni kama kuna kero kubwa kama kwenye ardhi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukienda pale Ki<strong>go</strong>ma Manispaa, akinamama wanashinda pale<br />

huoni tatizo, wanatafuta title deeds hazipo, tatizo ni nini Watu wa Mipan<strong>go</strong> miji, hakuna Idara<br />

ambayo haifanyi kazi nchi hii kama Mipan<strong>go</strong> Miji, tumeifanya nchi hii kila mtu anafanya<br />

anachotaka. Nenda leo pale Dar es Salaam, Mwalimu alitengeneza Osterbay pamoja na Masaki,<br />

it is a shame kinachoendelea Oysterbay na Masaki leo, ni as if Serikali haipo, Wizara haipo. Unajua<br />

kuna vitu unaweza ukajiuliza na wanaoon<strong>go</strong>za kuharibu Dar es Salaam ni vion<strong>go</strong>zi wa Serikali hii.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukiangalia mikataba ya waliouziwa nyumba wote, waliambiwa<br />

msifanye major operation kwa miaka ishirini na tano, kaangalie wameziuza, wamejenga<br />

maghorofa na hao ndiyo vion<strong>go</strong>zi wanaosimamia kuvunja sheria, nani ambaye hatavunja sheria<br />

baada ya hapo (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni suala la National Housing. Kwanza naomba leo<br />

nimpongeze Comrade kaka yangu Mzee Chiligati alifanya kazi kubwa, National Housing akatupa<br />

vion<strong>go</strong>zi vijana wanafanya kazi nzuri, lakini leo wamekuja na ajenda ya kujenga nyumba wauze.<br />

Serikali hii leo, tunasema kila nyumba uweke VAT, haiwezekani jamani. Hawa wananchi hawawezi,<br />

leo nyumba hizi ambazo juzi tumekwenda pale na Waziri Mkuu, tunasema nyumba moja ni milioni<br />

mia moja lakini VAT asilimia kumi na nane ya nini<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini nyumba hii ikijengwa kila kilichoingia pale kimelipiwa VAT,<br />

VAT ya mwisho ya nini Simenti imelipiwa VAT, nondo imelipiwa VAT, bati imelipiwa VAT, kila<br />

ambacho kitaingia kwenye nyumba hiyo kimelipiwa VAT, VAT ya mwisho ya nini (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, leo ukitaka kununua mbao za kuezekea ni vizuri uende Malawi,<br />

mbao ni bei rahisi kuliko za Tanzania kwa sababu mbao za Tanzania tumeweka kodi kila kwenye<br />

mbao hiyo. Hatuwezi kuondoa umaskini wa Watanzania kama kweli we are serious tunataka<br />

kuondoa matatizo ya Watanzania, ni lazima tuache biashara ya VAT kwenye nyumba. Leo<br />

angalia suala la National Housing, naomba wafanye kazi moja, waende nchi hii wajenge nyumba.<br />

Leo nyumba Tanzania ni crisis, ndiyo maana leo wenye nyumba zao wanaweka bei wanazotaka<br />

wao, kwa sababu hatuna nyumba. Kwa hiyo, naomba Serikali tuiachie National Housing.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, tena lipo tatizo hapa, National Housing wakitaka kukopa<br />

waombe kibali Wizara ya Fedha, hivi bureucracy ya nini Sheria hii iliwekwa mwaka 1975 ili<br />

makampuni yetu ya ndani yasiende kukopa nje bila kuomba Wizara ya Fedha, leo Wizara ya<br />

Fedha haiwapi dhamana National Housing, haiwapi chochote, lakini tuna wa-demand waende<br />

kuomba kibali ili wakope wakati leo nchi hii ina demand kubwa ya nyumba, watu hawa wakikopa<br />

wana ardhi watajenga nyumba, nyumba zikiwa nyingi, bei za nyumba Dar es Salaam na miji yote<br />

zitapungua. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ndiyo maana nimesema kama kuna kitu kinaumiza Watanzania<br />

ni nyumba, leo nyumba ukienda pale Sinza chumba kimoja shilingi laki mbili, laki tatu, what kind of<br />

a nation Ni mara mia moja uende ukanunue nyumba South Africa ni bei rahisi kuliko kununua<br />

nyumba Mbezi Beach. Nchi hii tukiamua tutaweza kuondoa umaskini. Kwa hiyo, naomba moja,<br />

suala la National Housing wajenge nyumba Dar es Salaam, zile nyumba ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong> zilizojaa,<br />

nendeni mkajenge nyumba, mkimaliza yule aliyekuwepo mpeni na yeye nyumba moja, zingine<br />

wapeni watu wengine nchi hii ndiyo itaendelea. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, watapanga Mji na Vijana wetu wakimaliza Chuo Kikuu anapewa<br />

nyumba, leo nyumba ukikopeshwa hata nyumba hizi, unalipa ndani ya miaka kumi uliona wapi<br />

The mortgage financing inavyofanyika duniani kote ni miaka ishirini mpaka miaka thelathini ili<br />

interest iwe kido<strong>go</strong>. Tukifanya hivyo tutaweza kuwapa Watanzania wote nyumba. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba sana suala la National Housing, suala la VAT hapana,<br />

suala la kuomba kibali kukopa hapana, lakini pia wapo watu pale Dar es Salaam wajanja,<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!