28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wamekaa nyumba za National Housing miaka yote, wao wamejenga nyumba Osterbay, Masaki,<br />

leo wanasema wauziwe zile nyumba, tena wauziwe kwa bei ya zile hela walizotoa kwa miaka<br />

yote, mliona wapi hii biashara<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, wanaosema wauziwe nyumba wao wana nyumba tatu au nne<br />

wenye shida, hapana! Jamani haliwezi kuwa Taifa la kusaidia walio nacho peke yake hapana!<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, tulitengeneza sheria hapa ya kumiliki sehemu ya jen<strong>go</strong>, inaanza<br />

kutumika lini Hatuwezi kuwa tunatengeneza sheria kila siku hapa, halafu hazitekelezwi. Wizara ya<br />

Ardhi naombeni muisadie nchi hii, mkiisaidia nchi hii tutaondoka kwenye umaskini kwani ndiyo<br />

Wizara peke yake inayoweza kuondoa umaskini.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, lipo tatizo katika nchi hii linasemwa sana kuhusu Wawekezaji na<br />

hasa imesemwa leo na watu wa Upinzani la AGRISOIL. Naomba uniruhusu nisome kitabu, ni<br />

historia ya Singapore kwa nini walifanikiwa sana. Naisema hii ili niweze kujenga hoja yangu on<br />

AGRISOIL, Waziri Mkuu wa Singapore wa kwanza alisema naomba nisome kwa Kiingereza, The<br />

accepted wisdom of the whole economist at the time was multinational campanies were<br />

exploitors of cheap land, labour and raw materials, these depandant school of economics argue<br />

that, multinational campanies continue the colonial pattern of the exploitation that led<br />

development countries like Tanzania kwamba anakuja kuchukua raw material zetu anasema, third<br />

world leaders believed this theory of neo-colonialist exploitation but, Lee Kuan Yew, were not<br />

impressed But he said, if multinational companies could give our Tanzanians workers employment,<br />

technology let them come.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama kweli leo tunasema tuna ardhi, Ki<strong>go</strong>ma hekta elfu kumi<br />

tumewapa AGRISOIL, hizo hekta elfu kumi ilikuwa ni makazi ya wakimbizi, pale Lugufu, yote ina<br />

hekta elfu ishirini na tatu, hekta elfu kumi na tatu tumewagawia Watanzania, wana Ki<strong>go</strong>ma<br />

mpaka leo hakuna aliyelima hata heka moja. Tunasema huyu anakuja anasema nikilima hawa<br />

wote wanakuwa outgrowers, nitawapa mbegu, nitafanya nini, kwa kufanya hivi ndiyo nchi yetu<br />

itaendelea.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, leo tunasema shilingi yetu inaanguka, sababu ya shilingi<br />

kuanguka ni kwa sababu hatuna exports, kwa hiyo kile ambacho tunaweza tuka-minimize<br />

tukaweza kupata optimal ya export tufanye. Ardhi ile ya Mpanda ilikuwa ya Wakimbizi, leo<br />

tunasema watu wasilime hiyo kampuni inayokuja, haiwezekani kuna Watanzania hapa ni wazuri<br />

Watanzania wengine ni wabaya, haiwezekani! Hili Taifa leo tunapiga kelele tuna njaa, watu<br />

wanakuja wanataka waweke teknolojia, kama kwenye Kilimo hatufanyi mechanization, hiyo ardhi<br />

hata tukae nayo miaka mia moja haitatusaidia kama Taifa. Namna pekee ya kuondoa mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro<br />

hii ya ardhi ili watu wajamaa waliobaki, maana katika nchi hii kuna wajamaa waliobaki ambao<br />

hata wale walioanzisha ujamaa hawapo tena, ninachosema ardhi ipimwe, kila anayetaka ardhi<br />

apewe, inayobaki tujue ni ipi tunaipeleka kwenye biashara, ni ipi ambayo tunawapeleka wafugaji<br />

wetu. Tukifanya hivyo ndipo tutaweza kuisaidia Tanzania.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, naomba nirudie kuongelea suala la bei za nyumba.<br />

Wenzetu wamesema tuweke authority ya kusimamia, wala hiyo siyo solution. Tumeondoka huko,<br />

uchumi hauko tena wa ku-regulate. Namna bora ya kufanya ni kuongeza supply ya nyumba na<br />

wanaoweza kuifanya kazi hii siyo wengine ni NHC, National Housing wajenge nyumba wauze,<br />

wajenge nyumba za kupangisha. Lakini hizo rate za kupangisha tujue, hili shirika ni letu, ni shirika la<br />

Serikali, hawawezi kwenda kushindana na soko, hapana! Tunawaambia wauze, zingine<br />

wapangishe, wajenge maghorofa mengi, vijana wanatoka Chuo Kikuu wakifika wana mahali pa<br />

kwenda kukaa. Kama watu wamekaa Upanga kwa hela ndo<strong>go</strong> kwa miaka yote, haiwezekani<br />

kizazi chetu sisi, ndiyo tuanze kuwa punished hatuko tayari. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, naomba tusimamie sheria za nchi yetu, naomba Waziri<br />

usimamie sheria, tuache maneno mengi yamezidi, umefika wakati wa kutenda, hatuwezi kuwa<br />

tunaongea kila siku mambo ambayo hayawezekani. Leo tunataka kujenga Chuo Kikuu cha<br />

Muhimbili amesema Mama pale, hatulipi fidia mpaka leo maana yake nini Kwa nini tunajizuia<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!