Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
MHE. REGIA E. MTEMA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi. Ninapenda<br />
kujua ni watu gani hasa katika Taifa hili la Tanzania wanaostahili kuwa na hati ya kusafiria ya<br />
kidiplomasia<br />
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Spika,<br />
watu ambao wanastahili kupata pass ya kidiplomasia ni wengi na wameorodheshwa katika<br />
Sheria, lakini nimetaja mfano, kwanza ni vion<strong>go</strong>zi wote wa nchi, Wa<strong>bunge</strong>, Makatibu Wakuu,<br />
Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje kwa maana ya Foreign Service Officers, na wengine<br />
ambao wametambuliwa na Sheria.<br />
MHE. DIANA M. CHILOLO: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kuniona. Kwa kuwa vion<strong>go</strong>zi<br />
wana hati za kidiplomasia na mara nyingi husafiri nchi za nje wakiwa na wake zao au waume zao:<br />
Je, wake za vion<strong>go</strong>zi na waume za vion<strong>go</strong>zi wanaruhusiwa kuwa na hati hizo za kidiplomasia<br />
wakiwemo Wa<strong>bunge</strong><br />
SPIKA: Wa<strong>bunge</strong> na wake zao au Wa<strong>bunge</strong> na waume zao Mheshimiwa Naibu Waziri<br />
toa majibu.<br />
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Spika, jibu<br />
rahisi ni ndiyo. Kwa vion<strong>go</strong>zi ambao wanastahili kupata pass za kidiplomasia na wenzi wao pia<br />
wanastahili kupata pass hizo.<br />
SPIKA: Ahsante. Sasa mtaanza kwenda ku-apply, mlisahau.<br />
Sasa ni Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.<br />
MHE. HEZEKIA N. CHIBULUNJE aliuliza:-<br />
Na. 417<br />
Mawasiliano ya Simu za Mkononi Chilonwa<br />
Kampuni za simu za Ti<strong>go</strong> na Zain zilikwishaitikia maombi ya kupeleka huduma ya simu za<br />
mkononi kwa wananchi wa vijiji vya Kata za Mambe, Dabalo na Zajilwa kwenye Jimbo la<br />
Chilonwa kwa kwenda kufanya utafiti wa kuweka minara ya simu kwenye maeneo hayo:-<br />
(a) Je, ni lini kampuni hizo zitapeleka minara hiyo ili wananchi wa maeneo hayo<br />
waweze kupata huduma ya simu za mkononi<br />
(b) Kwa kuwa baadhi ya vikwazo vikubwa vya kupeleka huduma hizo kwenye<br />
maeneo mengi ni pamoja na miundombinu mibovu ya barabara na idadi ya watu, lakini kwa sasa<br />
maeneo mengi ya Tarafa ya Itisho na chilonwa zina idadi kubwa ya watu wenye uwezo wa<br />
kugharamiwa na simu za mkononi: Je, Serikali sasa sinaweza kuharakisha kufikisha huduma hiyo<br />
kwa wananchi wa vijiji vyote vya Tarafa za Itiso na Chilonwa<br />
SPIKA: Swali la kwanza limejibiwa vizuri dakika tano na nyongeza watu wawili ni jambo zuri.<br />
NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA alijibu:-<br />
Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Hezekiah Ndahani Chibulunje,<br />
M<strong>bunge</strong> wa Chilonwa, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-<br />
(a) Mheshimiwa Spika, napenda kumjulisha Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kuwa Serikali<br />
inatambua umuhimu wa huduma za Mawasiliano katika maeneo ya Kata za Mambe, Dabalo na<br />
Zajilwa pamoja na maeneo mengine nchini. Aidha, napenda kumhakikishia Mheshimiwa M<strong>bunge</strong><br />
kuwa Serikali itafuatilia matokeao ya utafiti wa Kampuni za Simu za Ti<strong>go</strong> na Airtel ili kufahamu<br />
3