28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MHE. REGIA E. MTEMA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi. Ninapenda<br />

kujua ni watu gani hasa katika Taifa hili la Tanzania wanaostahili kuwa na hati ya kusafiria ya<br />

kidiplomasia<br />

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Spika,<br />

watu ambao wanastahili kupata pass ya kidiplomasia ni wengi na wameorodheshwa katika<br />

Sheria, lakini nimetaja mfano, kwanza ni vion<strong>go</strong>zi wote wa nchi, Wa<strong>bunge</strong>, Makatibu Wakuu,<br />

Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje kwa maana ya Foreign Service Officers, na wengine<br />

ambao wametambuliwa na Sheria.<br />

MHE. DIANA M. CHILOLO: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kuniona. Kwa kuwa vion<strong>go</strong>zi<br />

wana hati za kidiplomasia na mara nyingi husafiri nchi za nje wakiwa na wake zao au waume zao:<br />

Je, wake za vion<strong>go</strong>zi na waume za vion<strong>go</strong>zi wanaruhusiwa kuwa na hati hizo za kidiplomasia<br />

wakiwemo Wa<strong>bunge</strong><br />

SPIKA: Wa<strong>bunge</strong> na wake zao au Wa<strong>bunge</strong> na waume zao Mheshimiwa Naibu Waziri<br />

toa majibu.<br />

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Spika, jibu<br />

rahisi ni ndiyo. Kwa vion<strong>go</strong>zi ambao wanastahili kupata pass za kidiplomasia na wenzi wao pia<br />

wanastahili kupata pass hizo.<br />

SPIKA: Ahsante. Sasa mtaanza kwenda ku-apply, mlisahau.<br />

Sasa ni Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.<br />

MHE. HEZEKIA N. CHIBULUNJE aliuliza:-<br />

Na. 417<br />

Mawasiliano ya Simu za Mkononi Chilonwa<br />

Kampuni za simu za Ti<strong>go</strong> na Zain zilikwishaitikia maombi ya kupeleka huduma ya simu za<br />

mkononi kwa wananchi wa vijiji vya Kata za Mambe, Dabalo na Zajilwa kwenye Jimbo la<br />

Chilonwa kwa kwenda kufanya utafiti wa kuweka minara ya simu kwenye maeneo hayo:-<br />

(a) Je, ni lini kampuni hizo zitapeleka minara hiyo ili wananchi wa maeneo hayo<br />

waweze kupata huduma ya simu za mkononi<br />

(b) Kwa kuwa baadhi ya vikwazo vikubwa vya kupeleka huduma hizo kwenye<br />

maeneo mengi ni pamoja na miundombinu mibovu ya barabara na idadi ya watu, lakini kwa sasa<br />

maeneo mengi ya Tarafa ya Itisho na chilonwa zina idadi kubwa ya watu wenye uwezo wa<br />

kugharamiwa na simu za mkononi: Je, Serikali sasa sinaweza kuharakisha kufikisha huduma hiyo<br />

kwa wananchi wa vijiji vyote vya Tarafa za Itiso na Chilonwa<br />

SPIKA: Swali la kwanza limejibiwa vizuri dakika tano na nyongeza watu wawili ni jambo zuri.<br />

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA alijibu:-<br />

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Hezekiah Ndahani Chibulunje,<br />

M<strong>bunge</strong> wa Chilonwa, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-<br />

(a) Mheshimiwa Spika, napenda kumjulisha Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kuwa Serikali<br />

inatambua umuhimu wa huduma za Mawasiliano katika maeneo ya Kata za Mambe, Dabalo na<br />

Zajilwa pamoja na maeneo mengine nchini. Aidha, napenda kumhakikishia Mheshimiwa M<strong>bunge</strong><br />

kuwa Serikali itafuatilia matokeao ya utafiti wa Kampuni za Simu za Ti<strong>go</strong> na Airtel ili kufahamu<br />

3

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!