28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nitoe rai kwa Wa<strong>bunge</strong> wenzangu, naomba mniunge<br />

mkono, naomba tusipitishe hii bajeti ya Wizara mpaka pale Serikali itakapokuja na majibu ya<br />

msingi, najua ndani ya Bunge hili Tukufu kuna Wa<strong>bunge</strong> zaidi ya 50 ambao ni wakazi au<br />

wamewekeza katika Jimbo la Kigamboni, naomba waniunge mkono katika hili, tuwatetee<br />

wananchi wa Kigamboni, naomba bajeti hii isipite mpaka pale majibu ya msingi yatakapoweza<br />

kupatikana. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimalizie kwa kusema tena, kauli ambayo nimeitoa kwamba<br />

baada ya tarehe 30 Juni, 2012, kama Serikali hamtakuja na mpan<strong>go</strong> thabiti ambao unaainisha na<br />

kujibu masuala ya msingi, naomba msije tena Kigamboni. Mimi nitakuwa wa kwanza kuwasimamia<br />

na kuwatetea wale wote ambao watakuwa wamevunja agizo la Serikali. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, naomba tu muwe makini, mkajipange, mje na<br />

mpan<strong>go</strong> thabiti ambao utaonesha lini na wapi mnaanza na mnaanza na nini, haki za<br />

Wanakigamboni zitakuaje Naomba niseme wananchi wa Kigamboni katika masuala ya fidia<br />

wanataka mambo matatu; kwa wale ambao hawatoweza, wapewe fidia yao na wahame na<br />

fidia iwe katika bei ya soko. Wale ambao watakuwa na uwezo wanataka kuingia ubia na<br />

wawekezaji na wengine ambao wana uwezo mkubwa zaidi wanataka kuyaendeleza yale<br />

maeneo yao wao wenyewe, watachukua fedha benki, watafanya hiyo kazi. Kwa hiyo, naomba<br />

utaratibu huo utumike, najua kabisa Mheshimiwa Waziri ana uzoefu mkubwa, wananchi wa<br />

Kigamboni wana imani ingawa majibu yake ya tarehe 31 Machi, 2011 hayakukidhi haja. Kwa hiyo,<br />

naomba arudi tena akiwa na majibu ya msingi katika suala hili.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo machache, siungi mkono hoja. (Makofi)<br />

MHE. MUSSA Z. AZZAN: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nakushukuru sana kwa kunipa<br />

nafasi, lakini namshukuru Mwenyezi Mungu vile vile kwa kunipa fursa na pumzi kuwepo hapa<br />

pamoja na wewe na Watanzania wote na Vion<strong>go</strong>zi wetu wote. Nawashukuru wananchi wangu<br />

wa Jimbo la Ilala kwa kunisaidia na kushirikiana na mimi katika maendeleo ya Jimbo letu.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza na mimi naanza kwa kauli thabiti na swaumu yangu<br />

siungi mkono hoja. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, siungi mkono hoja, narudia maneno kwanza aliyoandika<br />

Mheshimiwa Waziri kwa maneno mazuri na matamu na kuya-highlight kwa maandishi makubwa<br />

anaposema kuwa Mheshimiwa Spika, Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na uhaba mkubwa wa<br />

maeneo ya kupumzika, tunakubali kabisa Jiji la Dar es Salaam halina maeneo ya kupumzika. Lakini<br />

Jiji la Dar es Salaam sio halina maeneo ya kupumzika tu, halina hata maeneo ya kuegesha<br />

magari. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa katika eneo ambalo umeliona mnataka liwe eneo la<br />

kupumzika, ni eneo la Jangwani, nakubaliana na wala sikubali kabisa mazingira ya watu<br />

wanaoishi Jangwani kwa hali ile. Lakini hawana budi kuishi vile kutokana na umaskini ambao<br />

wanao. (Makofi)<br />

Kwa hiyo, kama kuna mpan<strong>go</strong> ambao unaletwa na Serikali Jangwani na Mchikichini na<br />

maeneo yote ya Majangwani yaliyoandikwa hapa, ni lazima yashirikishe wananchi wenyewe<br />

waliohusika. Ni lazima washirikishe watu waliowakuta katika maeneo yao, sasa kama mnataka<br />

kufukuza watu Mchikichini na maeneo ya Jangwani, ili muweke maeneo, mkitoa Oystebay mje<br />

kula ice cream pale, hatukubali. Tutabanana hapo hapo na ikibidi niko radhi mimi Mussa Azzan<br />

Zungu, M<strong>bunge</strong> Jimbo la Ilala kujiuzulu Bunge, kujiunga na wananchi na kwenda Mahakamani<br />

kuzuia mpan<strong>go</strong> huu kama hamtashirikisha wananchi waliokuwepo pale. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, mnasema kuna agizo la Rais, na sisi tunaheshimu, mbona kuna<br />

agizo la Rais kuuza nyumba mlishindwa wala hamtaki kuuza nyumba Kwa hiyo, huo upepo wa<br />

Jangwani na sisi tunataka tupumzike. Nilikuwa nategemea mseme mnakuja na mpan<strong>go</strong>.<br />

Mheshimiwa Waziri umenitia hofu, sasa hivi Jangwani watu hata kufuturu hawajui watafuturu wapi,<br />

roho zao zimewaruka na mimi nawathibitishia wananchi wote mabondeni, tulieni, tutakaa na<br />

87

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!