28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

maendeleo Tukijenga Chuo Kikuu kile jamani ndiyo legacy ya CCM hiyo, ndiyo legacy ya Rais<br />

huyu, tulipe zile fidia ili Chuo Kikuu kianze kujengwa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo naomba kuunga mkono hoja, lakini<br />

naomba Waziri aje na majawabu ya mambo niliyoyasema. Jambo la kwanza, VAT, hapana. Pili,<br />

hatutaki National Housing iwekewe mizengwe, iachwe ifanye kazi. Tatu tusimamie nyumba nyingi<br />

zijengwe ili bei za nyumba za makazi zipungue. Jambo la Nne na la muhimu ni Title Deeds, nchi hii<br />

haina Title Deeds na huu ndiyo ukombozi wa Watanzania.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa Peter Serukamba na kule Ki<strong>go</strong>ma<br />

wamekusikia. Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> tunaendelea naomba nimwite Mheshimiwa Amina Mwidau<br />

na Mheshimiwa Hasnain Murji ajiandae.<br />

MHE. AMINA MOHAMED MWIDAU: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. Awali ya yote<br />

napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia leo kusimama katika<br />

Bunge lako Tukufu. Pili, napenda kuchukua nafasi hii kuungana na wenzangu kuwapongeza<br />

Waislam wote waliofunga katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani na kumaliza kumi la rehema<br />

na sasa tupo katika kumi la maghfira, naomba Mwenyezi Mungu atusaidie, atusamehe dhambi<br />

zetu zote. Vile vile nawashukuru sana Wa<strong>bunge</strong> wote ambao wanatuunga mkono katika mwezi<br />

huu.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sijakwenda mbele, nachukua nafasi hii kumpongeza Waziri<br />

kwa hotuba yake nzuri katika kitabu hiki. Kwa kweli mikakati aliyoiweka ni mizuri. Hapa kuna<br />

masuala mawili tofauti, suala la kuandika na utekelezaji, ninachomwomba Waziri kama kweli<br />

aliyoyaandika humu ni kwa dhati, naamini kwa sababu ya uzoefu wake mkubwa alipokuwa nje,<br />

naomba sasa atolee macho yake mawili katika implementation, kama kweli wakifanikiwa hili,<br />

watasaidia kwa kiasi fulani. Lakini nina wasiwasi mkubwa kutokana na uzoefu unavyojionesha<br />

hapo nyuma katika utekelezaji kazini kwako.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba sasa nichangie mada iliyo mbele yetu kwa kuanza na<br />

ardhi na nitajikita zaidi katika ardhi. Ardhi ni mali, ardhi ni nyenzo muhimu sana katika maisha ya<br />

binadamu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Sote tunafahamu kuwa kwa sasa hii Watanzania<br />

hasa wa Vijijini tegemeo pekee kabisa kwao ni ardhi kwa familia zao na kwa uchumi wa Taifa kwa<br />

ujumla, ninachoomba utandawazi, uwekezaji, soko huria, isiwe sababu ya kuchukua ardhi yote ya<br />

Tanzania na kumwacha Mtanzania wa kijijini ambaye ni maskini na fukara kabisa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kusema hivyo nina sababu, ninaomba nizungumzie mfano<br />

halisi wa upande wa Tanga. Matatizo katika Wizara ya Ardhi ni mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro iliyopo kwa sababu ya<br />

sheria ambazo ni mbovu, Tanga katika Kijiji cha Pande B, kuna m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa kabisa wa ardhi<br />

kwa sababu ya mfumo mbovu uliopo kwa wawekezaji. Waheshimiwa wengi hapa<br />

wamezungumzia mipan<strong>go</strong> miji.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, mipan<strong>go</strong> miji na Wawekezaji ndiyo tatizo kubwa kabisa<br />

linalopelekea mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro katika maeneo yetu, hao Maafisa Mipan<strong>go</strong> Miji ni watendaji wa<br />

Halmashauri ambao kwa kweli ninaweza kusema ni wabinafsi wa hali ya juu, vile vile hawana<br />

uzalendo, na ubinadamu kwa upande fulani kwao ndiyo umekufa kabisa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro huu uliopo Pande B, umeanza tangu mwaka jana<br />

mwezi wa kumi, hapo ndiyo ulikuwa umekolea, ulianza mapema kido<strong>go</strong> wakati wawekezaji<br />

ambao ni Tanga Cement walipokuwa wanajipanga kwa ajili ya kwenda kuomba eneo hilo,<br />

mpaka kufikia mwezi wa kumi kabla ya uchaguzi m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro huu ulikuwa umekolea zaidi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa kwanza kabisa Wawekezaji wale hatua za<br />

mwanzo zilifuatwa, walikwenda kwenye mkutano wa Kijiji wakaomba eneo lile la Pande B ambalo<br />

lina ukubwa wa kilomita moja na nusu sawasawa na ekari 371 na wanakijiji wale walikubali.<br />

M<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ulianza wakati wa kufanya tathmini katika maeneo yao. Kuanzia hapo<br />

81

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!