Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mheshimiwa Mwenyekiti, la kwanza nianze na suala la mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi. Hili ni tatizo<br />
kubwa maana kila Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> anayesimama anazungumzia hilo na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingine<br />
imekuwa ya muda mirefu sana, mingine ina zaidi hata ya miaka mitano, miaka sita mingine<br />
mpaka miaka kumi bado haijatafutiwa ufumbuzi. Mimi niiombe Wizara kwa kushirikiana na<br />
Mabaraza ya Ardhi pengine ianzishe Dawati la kushughulikia mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi peke yake. Kwa<br />
sababu mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hii inafanya watu wavunje amani, watu washindwe kusaidiana na kushirikiana<br />
kwa sababu ardhi kila mmoja anaithamini na bila ya kufanya hivyo mimi nina uhakika pengine<br />
watu wanaweza wakafarakana. Kwa hiyo, kwa hilo niiombe sana Wizara kwa mfano nichukulie<br />
m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa mpaka wa Kiteto na Kondoa, mipaka kati ya wananchi na hifadhi, mipaka kati ya<br />
vijiji na vijiji, naomba Wizara ijikite katika suala la kutatua mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nikiacha hilo niendelee na suala la matumizi bora ya ardhi. Ili<br />
mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hii iishe na kama si kwisha kabisa naamini na hata Serikali inajua hilo na ndiyo inalifanyia<br />
kazi kwamba bila ya kupima ardhi ikapangwa katika matumizi yake, nina uhakika mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hii<br />
haitaisha. Ni vizuri katika nchi hii, katika vijiji, katika viton<strong>go</strong>ji kila mmoja ajue eneo lake ni lipi na<br />
ndipo atakapoona umuhimu wa kutunza ardhi kwa kupanda miti na kulima kwa kutumia kilimo<br />
cha kisasa na masuala mengine ambayo yanahitaji matumizi bora ya ardhi. Bila ya kufanya hivyo<br />
kwa kweli mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro itaendelea.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, pengine nitake kujua tu kwamba kuna maeneo kwa mfano<br />
Ranchi zetu mbalimbali na sisi Dodoma tunayo Ranchi ya Kongwa. Bunge lililopita tulikubaliana<br />
pengine ardhi ile au Ranchi ile ibaki kwa ajili ya wananchi wanaizunguka. Sasa kilichotokea ni kitu<br />
gani mpaka ikabadilika na kwa kweli mpaka sasa hivi hatuelewi tunafanya nini nayo maana tayari<br />
inawezekana imepata wawekezaji au imepata watu wengine. Sasa tunaomba Serikali pengine<br />
ione kwamba umuhimu wa Ranchi hizi ziwe kwa faida ya wananchi wanaozizunguka isije<br />
wakatoka watu maeneo mengine wanapewa, wananchi wanaoizunguka hawana ardhi ile tena.<br />
Hili naomba Serikali ilishughulikie kikamilifu na ione kwamba wanaoizunguka Ranchi vilevile ni watu<br />
wanaohitaji ardhi na wanaweza kuitumia vizuri. (Makofi)<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nizungumzie suala la fidia. Serikali inapopima ardhi au viwanja,<br />
maeneo mengi wanakuta kuna wananchi ambao tayari walishajenga nyumba zao pale na<br />
bahati nzuri wengine hupewa viwanja na wengine hawapati. Kinachotokea ambacho mimi<br />
binafsi kinanisikitisha sana ni kwamba baada ya wananchi hao kupewa viwanja wakati mwingine<br />
unakuta wengine hawana uwezo kabisa, sasa uwezekano wa kusema na yeye ajenge nyumba<br />
inayolingana na ya mwenzake mwenye hela anakuwa hana. Sasa unakuta wananchi wetu<br />
wanaanza kuuza kwa maana kwamba pengine aende mahali pengine. Sasa unakuta<br />
mwananchi kama huyu anakuwa ni mhamajihamaji. Anamkimbia mwenye hela yeye anakwenda<br />
kuchanganyika na wasio na hela wenzake. Sasa tunawafanya wananchi wetu waishi maisha<br />
ambayo ni ya kuhangaika.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nimshukuru sana Mheshimiwa Waziri kwamba kwa kauli na<br />
mipan<strong>go</strong> aliyonayo sasa kwamba mtu hatahamishwa, ni lazima apatiwe eneo na vilevile asaidiwe<br />
hata kujenga. Kwa hiyo, nimshukuru sana na naishukuru sana Serikali kwa suala hilo. Sasa sijui<br />
suala hili litatolewa kwa maandishi kwenda kwenye Halmashauri na Manispaa waelekezwe<br />
kwamba sasa ifike wakati watu wasinyang’anywe viwanja kwa sababu wameshindwa kujenga,<br />
kwa sababu tunao wananchi wengi wa aina hiyo katika maeneo mbalimbali katika Mkoa wa<br />
Dodoma na maeneo yote ya miji na vijiji. Kwa hiyo, niiombe Serikali kwamba watu kama hawa<br />
wanaoshindwa kujenga basi wasaidiwe.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nami vilevile nizungumzie suala la Kigamboni kwa sababu Jiji la<br />
Dar es Salaam, ni mji wa wananchi wote wa Tanzania na kila mmoja anapokwenda pale<br />
anauangalia na wengi wanatamani wanapofika pale watafute viwanja wajenge. Suala la<br />
Kigamboni limekuwepo sasa karibu miaka mitatu na kila bajeti inapozungumzwa ni kwamba<br />
wawekezaji wanatafutwa, wakipatikana wanajenga mji ambao kwa kweli wote tumefurahia<br />
kama utajengwa utakuwa mji mzuri lakini sasa kuna wengine walishanunua viwanja, kuna<br />
wengine walishaanza kujenga, kuna wengine wamekamilisha kujenga na kuna wengine<br />
wamebaki hawajajenga kwa kutii Waraka wa Serikali kwamba msijenge, acheni Mji unatayarishwa<br />
kwa kujenga Mji mzuri zaidi. Sasa Serikali tuiombe sana katika hili kwa kweli itoe tamko kuwaarifu<br />
74