28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kawaida huzalisha wadudu wanaoshambulia pamba na hivyo kufanya gharama ya kulima<br />

pamba na mapato yanayopatikana kwa wakulima wa pamba kuwa chini zaidi.<br />

Mheshimiwa Spika, kwa sababu hiyo, ni marufuku kwa kweli kuchanganya pamba na<br />

mahindi, na kwamba vion<strong>go</strong>zi wa kisiasa wanaowaambia wakulima wa kule wachanganye,<br />

hawawasaidii sana katika kuzingatia misingi ya kilimo bora. Kwa hiyo, ni vizuri walime pamba mbali<br />

na mahindi mbali.<br />

sana.<br />

SPIKA: Inatosha! Kweli nimekumbuka kwamba huyu alikuwa Waziri wa Kilimo. Nashukuru<br />

Na. 420<br />

Kuendeleza Ufugaji Nyuki<br />

MHE. PROF. KULIKOYELA K. KAHIGI aliuliza:-<br />

Ufugaji Nyuki Kahama na Bukombe ni shughuli ya kiuchumi yenye tija kwa watu wengi<br />

kwenye maeneo hayo.<br />

(a)<br />

kisasa zaidi<br />

Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuendeleza na kuboresha ufugaji nyuki ili uwe wa<br />

(b) Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuwawezesha wananchi wa maeneo hayo ili wawe<br />

na mizinga mingi zaidi na viwanda vido<strong>go</strong> vido<strong>go</strong> vya kusafisha asali na kuifungasha kwenye<br />

chupa/makopo maalum ili kuiuza nje ya nchi<br />

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII alijibu:-<br />

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Prof. Kulikoyela K. Kahigi, M<strong>bunge</strong><br />

wa Bukombe, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-<br />

(a) Serikali inayo mipan<strong>go</strong> ya kuendeleza shughuli za ufugaji nyuki, ikiwa ni pamoja na<br />

kuanzisha miradi ya kuendeleza ufugaji nyuki katika Wilaya 30, ambapo Wilaya za Kahama na<br />

Bukombe ni kati ya Wilaya hizo. Len<strong>go</strong> la kuanzisha miradi hiyo ni kuhakikisha kuwa shughuli za<br />

ufugaji nyuki zinakuwa za kisasa zaidi ili kukuza uzalishaji wa mazao ya nyuki.<br />

Katika kuendeleza Miradi hiyo, Wizara imekuwa ikitenga fedha kiasi cha Shilingi milioni 150<br />

kila mwaka kuanzia mwaka 2007/2008 hadi hivi sasa. Fedha hizo hutumika kutoa elimu ya ufugaji<br />

nyuki na kuwawezesha wafugaji nyuki kuanzisha vikundi vido<strong>go</strong> vido<strong>go</strong> vya ufugaji nyuki<br />

sambamba na kuwapatia mizinga ya kisasa na mavazi ya kinga. Aidha, Serikali kwa kushirikiana<br />

na sekta binafsi imekuwa ikitoa mafunzo ya ubora, usalama na mfumo wa ufuatiliaji asali kama<br />

kigezo cha kupata soko la ndani na nje.<br />

Pia, Serikali kupitia Wizara yangu, imekuwa ikiandaa maonyesho ya asali kila mwaka kwa<br />

len<strong>go</strong> la kuwakutanisha wafugaji nyuki, wataalam wa nyuki na watengenezaji wa vifaa bora vya<br />

ufugaji wa nyuki. Katika maonyesho ya asali ya mwaka 2009 yaliyofanyika Dar es Salaam, jumla ya<br />

wafugaji nyuki watano kutoka Wilaya za Bukombe na Kahama walishiriki.<br />

(b) Mheshimiwa Spika, kwa kutambua umuhimu wa kuwawezesha wananchi wa<br />

maeneo ya Bukombe, Kahama na maeneo mengine nchini, Serikali imewezesha vikundi<br />

mbalimbali vya wananchi wa kuvipatia mizinga ya mfano ili waweze kutengeneza mizinga yao<br />

wenyewe kwa kuwatumia mafundi seremala walioko kwenye vijiji vyao.<br />

Katika kipindi cha mwaka 2009/2010, Serikali ilitoa mavazi ya kinga 15 yenye thamani ya<br />

Sh. 975,000/= pamoja na mizinga 48 yenye thamani ya Sh. 1,440,000/= kwa vikundi vitano vya<br />

wafugaji nyuki Wilayani Kahama. Vikundi vilivyonufaika ni vya ufugaji nyuki Matumaini (kijiji cha<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!