28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Spika, napenda pia kutoa shukrani za dhati kwa aliyekuwa M<strong>go</strong>mbea Urais<br />

kupitia CHADEMA, Dkt. Wilbroad Peter Slaa. Hakika Wa<strong>bunge</strong> wengi tuliofanikiwa kushinda,<br />

sehemu ya ushindi wetu ilipatikana kutokana na utumishi wake uliotukuka katika Taifa hili! Mungu<br />

akupe uhai,naamini ipo siku tutaifikia Nchi ya Ahadi! (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, sina budi kumshukuru Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi ya Upinzani, Mheshimiwa<br />

Freeman Mbowe, kwa kuniamini na kuniteua kuwa Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani katika<br />

Wizara hii. Shukrani pia ziende kwa wasaidizi wa Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi, Mheshimiwa Kabwe Zitto,<br />

Naibu Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi na Mheshimiwa Tundu Lissu, Mnadhimu wa Kambi kwa kutuon<strong>go</strong>za<br />

vyema katika shughuli hii ngumu ya kuwatetea wanyonge. Shukrani pia ziwafikie Wa<strong>bunge</strong><br />

wenzangu wote wa Kambi kwa ushirikiano wao kwangu. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, sina budi pia kuishukuru sana familia yangu yote, kwa upendo wao<br />

wa dhati na kwa upekee naishukuru timu yangu ya kampeni, wazazi wangu Profesa James Salehe<br />

Mdee na Theresia Kisenga N<strong>go</strong>wi kwa upendo wao na kwa upekee nimshukuru kaka yangu<br />

Joseph James Mdee, ambaye alikuwa sambaba na mimi na timu yangu ya kampeni iliyoon<strong>go</strong>zwa<br />

na uon<strong>go</strong>zi wa Jimbo la Kawe usiku na mchana mpaka kikaeleweka! (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, mwisho lakini kwa umuhimu mkubwa, napenda kutoa shukrani zangu<br />

za dhati kabisa kwa kaka yangu na rafiki yangu mkubwa Mheshimiwa Kabwe Zuberi Zitto, M<strong>bunge</strong><br />

wa Jimbo la Ki<strong>go</strong>ma Kaskazini. Kwa yeyote anayemuona Halima Mdee na mafanikio yake,<br />

afahamu kwamba safari yangu ya mafanikio ya kisiasa yalianzia mbali sana! Na katika safari hii,<br />

tokea hatua za awali kabisa, kaka yangu huyu alikuwa mhimili mkubwa. Ahsante sana. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, ardhi ya Tanzania ina ukubwa wa kilomita za mraba 942,600 sawa na<br />

hekta milioni 94.26, kati yake kilomita za mraba 888,200 sawa na hekta milioni 88.82 ni eneo la nchi<br />

kavu. Ili ardhi hii iwe na maana katika kuleta maendeleo ni lazima kila kipande kitambuliwe,<br />

kipimwe, kimilikishwe na kipangiwe matumizi, lakini hadi sasa ardhi iliyopimwa na kumilikishwa<br />

inakadiriwa kuwa ni asilimia moja tu. Jambo hili ndilo limepelekea mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro isiyoisha baina ya<br />

watumiaji mbalimbali wa ardhi.<br />

Aidha, Serikali kwa makusudi wanapindisha matumizi ya ardhi kwa kuwamilikisha vion<strong>go</strong>zi<br />

wa nchi na wafanyabiashara wakubwa kama itakavyojionyesha katika hotuba hii. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, asilimia hii finyu ya utambuzi wa ardhi haina maana kuwa ardhi<br />

iliyobaki haitumiki au haina mwenyewe, kwani wananchi kwa miaka mingi wamekuwa wakiitumia<br />

katika kuendesha maisha yao, hivyo utaratibu wowote unaofanywa na Serikali kuimilikisha kwa<br />

mtu yeyote bila kwanza kuhusisha wale watumizi wa awali ni chanzo na kichocheo cha mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro.<br />

Hivyo ardhi isikodishwe kabla ya kuwafikiria watumiaji wa ardhi hiyo kwenye maeneo husika<br />

(wakulima na wafugaji). (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kuhusu mamlaka ya usimamizi wa ardhi, Wizara ya Ardhi ni Wizara<br />

mtambuka, chini ya Taasisi yake ya Tume ya Taifa ya Mipan<strong>go</strong> Wizara ina wajibu wa kuratibu<br />

utayarishaji na utekelezaji wa mipan<strong>go</strong> na matumizi ya ardhi ikiwa ni pamoja na kutenga<br />

maeneo ya uwekezaji, kilimo ikiwa ni pamoja na kusaidia kupatikana kwa kwa ardhi kwa ajili ya<br />

utekelezaji wa Kilimo Kwanza, makazi, malisho (ufugaji), wanyamapori, misitu, vyanzo vya maji na<br />

shughuli zote zinazotumia ardhi. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, ardhi ndio nchi, ardhi ndio msingi wa maendeleo. Kwa hiyo, hakuna<br />

amani, ustawi wala maendeleo kwa wanadamu bila matumizi bora na endelevu ya ardhi. Kwa<br />

bahati mbaya, baada ya kukumbatia sera ya uchumi huria ambalo limegeuzwa kuwa holela,<br />

uon<strong>go</strong>zi wa nchi yetu umetelekeza kabisa wajibu wa kusimamia matumizi yenye tija ya ardhi<br />

kwa nchi yetu na watu wake. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kushindwa huko kumejidhihirisha katika maeneo makuu mawili. Moja,<br />

masuala ya usimamizi wa ardhi yamewekwa chini ya Wizara zaidi ya moja hivyo hivyo kuleta<br />

mkanganyiko kwenye suala la uwajibikaji. Kuna muingiliano mkubwa sana wa majukumu baina<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!