28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Spika, napenda kuwashukuru kwa dhati vion<strong>go</strong>zi wote wa Chama cha<br />

Mapinduzi (CCM) na vion<strong>go</strong>zi na Watendaji wa Serikali kwa kuniwezesha kutekeleza majukumu ya<br />

Wizara yangu. Kwa namna ya kipekee, natoa shukurani zangu za dhati kwa Wajumbe wa Kamati<br />

ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa James<br />

Daudi Lembeli - M<strong>bunge</strong> wa Kahama, kwa ushirikiano mkubwa na ushauri wao ambao<br />

umeiwezesha Wizara kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi zaidi. Natoa shukurani za pekee kwa<br />

Naibu Waziri, Mheshimiwa Goodluck Joseph Ole-Medeye - M<strong>bunge</strong> wa Arumeru Magharibi; Katibu<br />

Mkuu - Bw. Patrick Rutabanzibwa; Naibu Katibu Mkuu - Bibi Maria Bilia; Watendaji katika Idara,<br />

Viten<strong>go</strong>, Shirika na Taasisi zilizo chini ya Wizara kwa ushauri na mshikamano wao katika kupanga<br />

na kutekeleza mipan<strong>go</strong> ili kufikia malen<strong>go</strong> tuliyojiwekea.<br />

Mheshimiwa Spika, changamoto zinazoikabili sekta ya ardhi ni idadi ya watu na shughuli<br />

za kiuchumi na kijamii katika miji na vijiji nchini inayoongezeka kwa kasi kuliko uwezo wa Serikali wa<br />

kupanga, kulipa fidia, kupima na kugawa ardhi, na kusimamia uendelezaji wake. Kutokana na hali<br />

hii, Wizara katika kutekeleza majukumu yake, inakabiliwa na changamoto mbalimbali. Baadhi ya<br />

changamoto hizo ni:-<br />

(i) Kutokuwa na mfumo thabiti wa utunzaji wa kumbukumbu za sekta ya ardhi;<br />

(ii) Ardhi kwa ajili ya uwekezaji na matumizi mbalimbali<br />

ya Serikali kutopatikana kwa urahisi mijini na vijijini;<br />

(iii) Uelewa mdo<strong>go</strong> wa wananchi, Vion<strong>go</strong>zi na Watendaji<br />

wengi kuhusu Sera, Sheria na Kanuni za uendelezaji<br />

ardhi, nyumba na makazi;<br />

(iv) Gharama kubwa za utayarishaji wa mipan<strong>go</strong> ya<br />

matumizi ya ardhi, upangaji wa miji na upimaji wa<br />

ardhi nchini;<br />

(v) Upungufu mkubwa wa nyumba bora mijini na vijijini<br />

na riba kubwa ya mikopo ya nyumba inayotolewa<br />

na mabenki;<br />

(vi)<br />

(vii)<br />

(viii)<br />

Ujenzi holela Mijini na uvamizi wa maeneo<br />

yaliyotengwa kwa ajili ya huduma za jamii kama<br />

vile maeneo ya wazi;<br />

Kuongezeka kwa mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi na nyumba<br />

hasa kwa maeneo ya mijini na vijijini; na<br />

Nakisi ya bajeti inayotengewa Sekta ya Ardhi.<br />

Mheshimiwa Spika, changamoto hizo ambazo zimetukabili kwa kipindi kirefu, zimeendelea<br />

kuathiri maendeleo ya Sekta ya Ardhi. Hata hivyo, tunayo matumaini kwa kuwa ni Sekta<br />

mtambuka yenye wadau wengi, tukishirikiana kwa pamoja na kuwa wabunifu, tutaweza kuzipatia<br />

ufumbuzi wa kudumu kwa manufaa ya Watanzania wote.<br />

Mheshimiwa Spika, Wizara imeazimia kuendelea kukabiliana na changamoto hizo kwa<br />

kutekeleza yafuatayo:-<br />

(i)<br />

(ii)<br />

Kuanza kujenga mfumo mmoja wa kuhifadhi kumbukumbu za ardhi kwa njia ya<br />

kielektroniki (Integrated Land Management Information System) utakaounganisha<br />

mifumo yote ya utunzaji wa kumbukumbu za Sekta ya Ardhi;<br />

Kuanzisha chombo kitakachosimamia Hazina ya Ardhi (Land Bank) ili kurahisisha<br />

upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya miradi ya uwekezaji na kuunda Mfuko wa Kulipa<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!