28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2010/2011 Wizara kupitia Tume ya Taifa ya Mipan<strong>go</strong> ya<br />

Matumizi ya Ardhi iliendelea kushirikiana na Halmashauri za Wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii na<br />

Wizara ya Maendeleo ya Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi, asasi zisizo za Kiserikali na wadau mbalimbali katika<br />

kuandaa na kutekeleza mipan<strong>go</strong> ya matumizi ya ardhi ya vijiji na wilaya. Tume iliandaa mipan<strong>go</strong><br />

ya matumizi ya ardhi ya vijiji 158 katika Halmashauri za Kilosa, Kasulu, Songea, Nanyumbu, Mbarali,<br />

Mbozi, Ileje, Kisarawe, Mafia, Muleba, Njombe, Mufindi, Kilolo, Arusha, Kilindi, Handeni, Tanga,<br />

Kondoa, Babati, Rufiji, Kilwa, Bariadi na Maswa. Katika vijiji hivyo, maeneo kwa ajili ya huduma za<br />

jamii pamoja na hifadhi za vyanzo vya maji, misitu, ufugaji, wanyamapori, kilimo cha umwagiliaji<br />

na mashamba makubwa yametengwa kwa kushirikisha wananchi. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2011/2012 Tume inakusudia kutekeleza Mpan<strong>go</strong> wa Taifa<br />

wa Matumizi ya Ardhi. Mipan<strong>go</strong> shirikishi ya matumizi ya ardhi ya vijiji 160 vya mfano itatayarishwa.<br />

Tume itashirikiana na wadau wa maendeleo na Halmashauri za Wilaya katika kuandaa mipan<strong>go</strong><br />

hiyo ya vijiji katika Wilaya za Ukerewe, Bunda, Maswa, Musoma Vijijini, Muleba, Misenyi, Rorya,<br />

Meatu, Chato, Shinyanga Vijijini, Bukombe, Biharamulo, Ngara, Kishapu, Magu, Sengerema,<br />

Misungwi, Serengeti, Chunya, Ileje, Njombe, Mufindi, Mbinga na Songea Vijijini. Baadhi ya Wilaya<br />

hizo zimehusishwa ili kuwezesha utekelezaji wa programu ya Southern Agriculture Growth Corridor<br />

of Tanzania (SAGCOT) kutekelezwa.<br />

Mheshimiwa Spika, vilevile Wizara kupitia Tume itaandaa mipan<strong>go</strong> ya matumizi ya ardhi ya<br />

Wilaya tisa zitakazochaguliwa kutoka katika Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Kagera na Ki<strong>go</strong>ma<br />

na itatoa mafunzo kwa watendaji wa ngazi ya Wilaya kuhusu sheria za ardhi na mbinu shirikishi za<br />

utayarishaji wa mipan<strong>go</strong> ya matumizi ya ardhi. Tume itaendelea kuwezesha utekelezaji wa<br />

programu za sekta za kilimo, maji na mifu<strong>go</strong> kwa kushirikiana na Wizara husika. Wizara itaendelea<br />

kufanya utafiti kuhusu masuala mbalimbali ya ardhi, hasa kuhusu vyanzo vya mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi,<br />

uhamiaji mijini kutoka vijijini, ushirikishwaji wa wananchi na matumizi ya ardhi mijini na vijijini. Natoa<br />

wito kwa Halmashauri za Wilaya nchini kutoa kipaumbele kwa maandalizi ya mipan<strong>go</strong> ya matumizi<br />

ya ardhi ya vijiji na Wilaya.<br />

Mheshimiwa Spika, kuhusu maendeleo ya myumba, Wizara yangu inatambua mchan<strong>go</strong><br />

mkubwa unaoweza kutolewa na sekta ya nyumba katika kukuza uchumi na kupunguza umaskini.<br />

Kuongezeka kwa uwekezaji katika sekta ya nyumba nchini kunachangia ongezeko la nafasi za<br />

ajira, kunainua kipato cha watu na Pato la Taifa na kunaboresha mazingira ya kuishi ya wananchi.<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, pamoja na juhudi za Serikali za kuweka mazingira mazuri ya<br />

uendelezaji wa sekta ya nyumba, upungufu wa nyumba nchini bado ni mkubwa. Katika mwaka<br />

2011/2012 Wizara yangu itaendelea kushirikiana na wadau wengine kubuni na kuendeleza<br />

mikakati na mipan<strong>go</strong> ya kukabiliana na uhaba huo.<br />

Mheshimiwa Spika, ushirika wa nyumba ni njia muhimu ya kuwawezesha wananchi wenye<br />

kipato cha chini kupata nyumba bora kwa gharama nafuu na kuhakikisha uwepo wa usimamizi<br />

thabiti wa maeneo ya makazi. Kwa kutambua hilo, uendelezaji wa vyama vya ushirika wa nyumba<br />

utakuwa ni mion<strong>go</strong>ni mwa vipaumbele vya Wizara yangu katika kipindi cha miaka mitano ijayo.<br />

Katika mwaka wa 2010/2011 Wizara ilikamilisha mwon<strong>go</strong>zo wa kuanzisha na kusimamia vyama vya<br />

ushirika wa nyumba nchini. Kwa mwaka 2011/2012 mwon<strong>go</strong>zo huo utachapishwa na kusambazwa<br />

kwa wadau mbalimbali. Natoa wito kwa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> na waajiri kuunga mkono<br />

jitihada za Serikali za kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika wa nyumba katika maeneo<br />

yao. Vilevile wananchi wanashauriwa kuanzisha vikundi vya ushirika wa nyumba katika maeneo<br />

yao.<br />

Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeanza kukusanya takwimu kuhusu hali ya nyumba<br />

nchini kwa len<strong>go</strong> la kuboresha sera na mikakati ya kuongeza uwekezaji katika sekta ya nyumba.<br />

Katika mwaka 2010/2011 ukusanyaji wa takwimu ulifanyika katika miji ya Dar es Salaam, Dodoma,<br />

Arusha, Moro<strong>go</strong>ro, Moshi, Tanga, Iringa, Mbeya na Mwanza. Kwa mwaka 2011/2012 ukusanyaji wa<br />

takwimu hizo utaendelea katika miji ya Shinyanga, Kibaha, Lindi, Mtwara, Ki<strong>go</strong>ma, Musoma,<br />

Tabora, Bukoba, Sumbawanga, Babati, Njombe na Songea. Aidha, kwa kushirikiana na Ofisi ya<br />

31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!