28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo ambalo nataka kuliuliza, ni kwa nini Serikali hii inataka<br />

kupandikiza kwenye vichwa vya wananchi kwamba hakuna jambo linaloweza kushughulikiwa, ni<br />

mpaka wananchi wa<strong>go</strong>me au waandamane Kama mtakuwa mashahidi wangu, nafikiri vyombo<br />

vya habari vimekuwa vinaonesha mara kwa mara ni namna gani lile dampo linakuwa kero kwa<br />

wananchi, lakini hakuna kikao chochote ambacho kimekwishafanyika! Vikao vinaanza kufanyika<br />

sasa baada ya wale wananchi ku<strong>go</strong>ma. Naomba sana Wizara ya Ardhi ishughulikie suala hili.<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nizungumzie suala lingine kwa haraka haraka, la<br />

Kipunguni B. Mheshimiwa Rais alipopita wakati wa kampeni aliruhusu eneo la Kipunguni B<br />

kubadilishwa matumizi yake kwamba wananchi sasa wanaweza kuruhusiwa kuishi pale na<br />

kutafuta sehemu nyingine ya kuwekewa viwanda. Lakini mpaka sasa ni mwaka, wananchi wa<br />

pale wameshindwa kupata hati ambazo zingewawezesha kwenda kukopa na kuendeleza<br />

sehemu ile. Lakini pia, wameendelea kuishi kwa wasiwasi kwa sababu hawajui hatima yao.<br />

Namwomba sana Waziri wakati wa hitimisho, ahakikishe kwmba ananipa jibu la msingi ili wananchi<br />

wa Jimbo la Ukonga waweze kusikia.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naongea kwa haraka haraka kwa sababu nimepata sana nafasi<br />

nzuri kwenye Wizara hii kuchangia. Lakini, ukiangalia katika kitabu cha Waziri, wanasema kwamba<br />

wanajenga nyumba kwa ajili ya kuwauzia wananchi. Namwalika Waziri wa Ardhi aje katika Jimbo<br />

la Ukonga ambako kuna nafasi kubwa aweze kujenga nyumba hizo ili wananchi waweze kuhama<br />

na wakakute maeneo mazuri katika Jimbo la Ukonga.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nikumbushe tena kwamba, sitaunga mkono hoja hii kwa sababu<br />

Wizara hii imekuwa ni Wizara ambayo ime<strong>go</strong>nganisha sana vichwa wananchi na Serikali ya<br />

Chama cha Mapinduzi kwa sababu ya mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya mipaka na kadhalika. Kwa hiyo, Waziri<br />

mpaka hapo atakaponiletea majibu ya kuridhisha.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. (Makofi)<br />

MHE. PETER J. SERUKAMBA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nami nikushukuru kwa kunipa nafasi ili<br />

niweze kuchangia kwenye Wizara ya Ardhi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara ya Ardhi, nikiangalia ndiyo Wizara pekee inayoweza<br />

kuondoa umaskini katika nchi hii, ndiyo Wizara pekee inayoweza ikaondoa umaskini ikiamua<br />

kuanzia kesho. Lakini kwa bahati mbaya hawajaamua. Wataamua lini, sijui!<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, liko tatizo linasemwa la ardhi nchini, mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi. Sisemi<br />

kama kuna m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa ardhi. Liko tatizo la Wizara ya Ardhi kutotatua mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro yetu. Tukiamua<br />

leo kama nchi na toka naingia humu Bungeni, moja ya tatizo la kutatua kwenye ardhi ni kuipima<br />

nchi yetu, kila mwenye nyumba apewe hati miliki, kila mwenye shamba apewe hati miliki, ardhi<br />

iliyobaki, tujue hii imebaki ni kwa ajili ya kufuga, hii kwa ajili ya kulima, hii ni kwa ajili ya reserve.<br />

Matatizo ya ardhi nchi hii yataondoka. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kama kuna jambo gumu nchi hii kupata ni title deed. Watu<br />

wengi humu ndani hata Wa<strong>bunge</strong> wana nyumba, hawana title deeds. Lakini, sababu ni Wizara ya<br />

Ardhi. Huwa najiuliza, hivi, nilidhani mtu ukipewa madaraka, lazima useme, katika muda wangu<br />

niliacha hiki! (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, namwomba leo Profesa aamue, ukikaa miaka miwili, mitatu,<br />

miaka mitano, ukiondoka, angalau kila Mtanzania mwenye ardhi, mwenye nyumba mpe hati<br />

miliki, utakuwa umemwondolea umaskini. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiwa na hati miliki nchi hii mambo yafuatayo yatawezekana,<br />

mabenki ni rahisi sasa kukopesha watu kwa sababu tutakuwa tunazo dhamana, interest rate za<br />

benki zitashuka kwa sababu risk itakuwa imepungua, kama wenzetu wamefanya kwa nini sisi<br />

78

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!