Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
MHE. MODESTUS D. KILUFI: Basi Mheshimiwa Mwenyekiti, nadhani ujumbe umefika,<br />
nashukuru sana. (Makofi)<br />
MWENYEKITI: Haya bwana ujumbe umefika.<br />
Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> tunaendelea nilisema atakayefuata ni Mheshimiwa Zarina,<br />
atafuatiwa na Mheshimiwa Rebecca Mn<strong>go</strong>do.<br />
MHE. ZARINA S. MADABIDA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kupata nafasi hii.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu halafu niwatakie<br />
Ramadhani Karim ndugu zangu wote waliofunga na nawatakia rehema na amani Watanzania<br />
wote. (Makofi)<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nianze kwa kusema siungi mkono hoja na nitawaomba<br />
Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wanisaidie kutokuunga mkono hoja, kwa sababu gani Kuna mradi<br />
mkubwa wa upanuzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi ambao unataka kuruka wakati<br />
wowote. Mradi wa dola milioni 76.5 takribani ni shilingi bilioni 115. Ninasema siungi mkono hoja<br />
kwa sababu sioni utashi kwa upande wa Wizara ya Ardhi kutaka mradi huu kweli uendelee,<br />
nitatoa sababu.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, Chuo Kikuu cha Afya, MUHAS waliomba ardhi mwaka 2004 na<br />
wakapewa mwaka 2006 katika maeneo ya Kwembe na Mloganzila. Ardhi hii ilikuwa ni ardhi<br />
ambayo inamilikiwa huko nyuma na mpaka sasa hivi title ndio inavyosema ni ya KABIMITA na<br />
Tanganyika Packers. Wamepewa ardhi ile na Mheshimiwa Rais alikwenda kuomba mkopo Korea<br />
ya Kusini akapata fedha hizo dola milioni 76.5 kuja kujenga Chuo Kikuu hiki. Hiki Chuo Kikuu<br />
ambacho ndio tunatarajia kipanue nyanja zote za afya, kiweze kuwafunza wataalam wa afya,<br />
kiweze ku-save fedha za Serikali za kupeleka watu nje kwa sababu wengi watakuwa wanatibiwa<br />
hapa, lakini kumekuwa na dillydally isiyoeleweka.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa Rais alipokwenda Korea amepata mwekezaji, mikataba<br />
imesainiwa, mwekezaji amekuja, sio mwekezaji huyu anayetoa mkopo, tumekopa. Masharti ya ule<br />
mkopo unasema riba yake ni asilimia 0.01, ndo<strong>go</strong> sana. Muda wa kun<strong>go</strong>jea miaka 15, malipo<br />
miaka 45, tunataka nini kingine Ukiangalia bajeti ya Wizara ni shilingi bilioni 22 huyu anatupa<br />
mkopo wa shilingi bilioni 115. Sasa wataalam wako hapa tokea mwezi Juni hawajaweza kuaccess<br />
kule kwenda kuchukua hata udon<strong>go</strong>. Wizara inalijua hilo, Wizara ya Elimu imeandika<br />
barua nyingi, MUHAS imeandika barua nyingi na naomba kwanza ni-declare interest kwamba<br />
mimi ni Makamu Mwenyekiti wa Council ya MUHAS, kwa hiyo ninalijua vizuri sana suala hili.<br />
Mkataba umeshasainiwa na consultant ameshateuliwa. Consultant amekuja hapa akiamini kabisa<br />
kwamba anakuja kuanza kazi. Amekuja hapa hakuna kitu kinaendelea tokea mwezi Juni. Juni<br />
imemalizika, Julai imemalizika na A<strong>go</strong>sti kesho kutwa inakwisha hivi kweli sisi tunataka Chuo hicho<br />
kijengwe. Nasema hatuko serious kwa sababu kuna wakati Wizara ya Ardhi iliomba kwamba<br />
imege kipande cha ardhi ya pale Mloganzila ili wagawanye kwa watu wengine wakisema<br />
kwamba ni kubwa. Kama isingekuwa Mheshimiwa Rais kuingilia kati wangeshakata. Sasa kweli<br />
walikuwa wanataka huu mradi uendelee<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, wamekwenda watu wa ardhi wamefukuzwa lakini Serikali<br />
ilikwishatoa fidia ya shilingi bilioni nane tokea mwaka jana na shilingi bilioni nane hiyo ni watu 1,917.<br />
Wakatokeza watu wengine wakasema sisi bado, lakini malipo kesho, kesho kutwa watu 303 na leo<br />
wanatokea watu wengine wanasema hawajalipwa sasa wako 617. Nasema huu mradi ni wa<br />
maslahi ya wananchi wa Tanzania wote milioni 40, ndio tutategemea pale. Sasa hivi pale<br />
Mutumbili hao Wakorea wamejifinya wanajenga Chuo pamoja na hospitali kubwa, hivi nani<br />
ambaye haitamfaa<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeongea na Diwani wa Kwembe, nikawauliza, kwa nini<br />
mnakataa hawa consultant hata wasije kuchukua udon<strong>go</strong> Wakasema ndio tumekataa kwa<br />
sababu tuliambiwa tutalipwa fidia na sasa hivi hatujui Wizara ya Ardhi inasema nini. Mpaka leo<br />
69