28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Spika, Wakala wa Utafiti wa Nyumba iliendesha semina za uhamasishaji na<br />

mafunzo kwa vitendo kwa wananchi, maafisa maendeleo ya jamii, madiwani, wahandisi na<br />

watendaji wengine katika Wilaya za Temeke, Ilala, Kilolo, Mvomero, Kilosa na Liwale. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2011/2012 Wakala imejizatiti kuandaa mazingira endelevu<br />

ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwa kutumia malighafi zinazopatikana nchini.<br />

Watahamasisha uanzishaji wa vikundi vya ujenzi na vikundi vya uzalishaji wa vifaa vya ujenzi kwa<br />

len<strong>go</strong> la kuboresha hali ya nyumba zilizopo hasa vijijini. Vikundi hivi vitasaidiwa ili hatimaye<br />

vianzishe ushirika wa ujenzi wa nyumba. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2011/2012 semina za uhamasishaji wa ujenzi wa nyumba<br />

bora za gharama nafuu zitaendelea kufanyika katika Wilaya za Kilosa, Liwale na Kiteto. Vilevile<br />

Wakala itashirikiana na Halmashauri katika kueneza teknolojia za ujenzi wa nyumba bora na za<br />

gharama nafuu na kutoa mafunzo ya vitendo kwa wananchi katika Halmashauri za Temeke, Ilala,<br />

Kilolo na Mvomero zilizohamasishwa mwaka 2010/2011. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, Wakala itaendelea kushiriki katika maonesho ya Kitaifa na Kimataifa,<br />

na wataboresha maabara yake ya utafiti kwa kufunga vifaa vipya. Napenda kutoa wito kwa<br />

Halmashauri zote nchini kushirikiana na Wakala wa Utafiti wa Nyumba na Majen<strong>go</strong> na kutumia<br />

matokeo ya utafiti wake ili kuboresha makazi. Vilevile nashauri kuwa idara za Serikali na taasisi za<br />

umma zitoe kipaumbele kwa matumizi ya teknolojia iliyobuniwa na Wakala hii ili kupunguza<br />

gharama za usanifu na ujenzi wa nyumba na majen<strong>go</strong>.<br />

Mheshimiwa Spika, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liliandaa mpan<strong>go</strong> mkakati kwa kipindi<br />

cha 2010/2011 - 2014/2015. Mpan<strong>go</strong> huo utalion<strong>go</strong>za shirika katika juhudi zake za kuongeza ufanisi<br />

wa utekelezaji wa majukumu yake. Katika mwaka 2010/2011 Shirika liliweka muundo mpya wa<br />

uon<strong>go</strong>zi, lilirekebisha mikataba kati yake na wadau mbalimbali, lilifuta mikataba 373 ya wapangaji<br />

waliokuwa wanapangisha wapangaji wengine kinyume cha taratibu, lilirekebisha mion<strong>go</strong>zo<br />

mbalimbali ya Shirika ikiwa ni pamoja na ile ya upangishaji wa nyumba na uwekezaji, lilipunguza<br />

mrundikano wa kesi zake mahakamani na lilipunguza madeni sugu ya kodi za pan<strong>go</strong>. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka<br />

2010 juu ya ujenzi wa nyumba za makazi na majen<strong>go</strong> ya biashara, Shirika linatarajiwa kujenga<br />

nyumba zisizopungua 15,000 katika miaka mitano ijayo. Asilimia 70 ya nyumba zitakazojengwa<br />

zitauzwa kwa wananchi. Katika historia ya Shirika, kuanzia lilipoanzishwa mwaka 1962 hadi mwaka<br />

1975 liliweza kujenga nyumba 14,462 ambazo ni sawa na wastani wa nyumba 1,112 kwa mwaka.<br />

Katika kipindi hicho Serikali ilichangia asilimia 47 ya gharama zote za ujenzi, wafadhili walichangia<br />

asilimia 40 na Shirika lenyewe lilichangia asilimia 13 tu. Kati ya mwaka 1975 na 2010 Shirika lilijenga<br />

jumla ya nyumba 2,319, sawa na wastani wa nyumba 66 kwa mwaka. Hivyo basi, katika kipindi<br />

cha miaka mitano ijayo Shirika linatarajia kujenga nyumba kwa kasi kubwa kuliko ilivyowahi<br />

kutokea katika historia yake. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, Shirika la Nyumba hivi sasa linamiliki majen<strong>go</strong> 2,310 yenye sehemu za<br />

nyumba 16,457. Kati ya sehemu hizo, nyumba za makazi ni 9,600 na za biashara ni 6,857. Len<strong>go</strong> la<br />

kuuza asilimia 70 ya nyumba zitakazojengwa (sawa na nyumba 10,500) katika kipindi cha miaka<br />

mitano ijayo lina maana kwamba Shirika litajenga na kuuza nyumba nyingi zaidi ya zilizopo leo,<br />

hivyo kuchangia utekelezaji wa ahadi ya Serikali ya kuwawezesha wananchi wengi zaidi kuwa na<br />

makazi bora.<br />

Mheshimiwa Spika, hivi sasa viwan<strong>go</strong> vya kodi za Shirika la Nyumba kwa wastani ni sawa<br />

na asilimia 24 ya bei ya soko. Wakati huo huo Shirika halipati ruzuku yoyote kutoka Serikalini, lakini<br />

tumelipatia changamoto ya kujenga nyumba nyingi na kuboresha nyumba zake zilizopo kwa<br />

kuzifanyia matengenezo. Kwa hali hii viwan<strong>go</strong> vya kodi ya pan<strong>go</strong> la nyumba za Shirika havina budi<br />

kuongezwa ili kuliwezesha kutekeleza majukumu hayo makubwa. Kwa sasa Shirika linahudumia<br />

asilimia 0.45 tu ya wapangaji wote nchini na Serikali ingependa liwahudumie Watanzania wengi<br />

zaidi. Katika mipan<strong>go</strong> yake Shirika limejiwekea len<strong>go</strong> la kuongeza viwan<strong>go</strong> vya kodi kwa awamu<br />

mpaka kufikia asilimia 85 ya viwan<strong>go</strong> katika soko ifikapo mwaka 2015. Ninatoa wito kwa<br />

wapangaji wote wa Shirika la Nyumba la Taifa kuelewa kwamba ongezeko la kodi ya pan<strong>go</strong><br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!