28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hawakushirikishwa hata kido<strong>go</strong>. Maafisa wa Mipan<strong>go</strong> Miji walichofanya walikwenda katika<br />

maeneo ambayo kwa wanakijiji wale ni maeneo muhimu sana kwao kwa sababu walikuwa<br />

wakilima mazao ya kudumu, kulikuwa na minazi, miembe, na mazao ya muda mfupi, kulikuwa na<br />

makaburi, walikuwa na eneo la kuweza kuchungia wanyama wao kama ng’ombe, kondoo na<br />

mbuzi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, walichofanya ni kwamba walipima kwa ujanja ujanja ambalo ni<br />

kosa la kwanza walilolifanya. Pili, hawakuwapa fomu namba 69, ambayo ni muhimu sana kwani<br />

ndiyo inayoonesha vitu vyote vitakavyofanyiwa tathmini. Wanakijiji walipohoji siku hizi wanakijiji<br />

wote siyo kama hawaelewi, afadhali kido<strong>go</strong> shule za Kata zimesaidia, kuna vijana wana uelewa<br />

mzuri. Walipohoji mbona hatukupewa fomu namba 69, Afisa Mipan<strong>go</strong> Miji Ndugu Mapunda<br />

akawajibu kuwa kama mnaona mnadhulumiwa nendeni Mahakamani. Kwa hiyo amewadhalilisha<br />

kwanza, amewadharau wanakijiji wale, ndivyo ambavyo walijisikia.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kampuni ya Tanga Cement, baada ya kufanya tathmini na<br />

kutokuwapa kila mmoja kujua ana ekari ngapi, kampuni ya Tanga cement ikalipa, ikatoa pesa zile<br />

kwa Halmashauri, awamu ya kwanza walilipa milioni 345, pesa hizo ziligawanywa kwa Serikali ya<br />

Kijiji ilipata milioni 26 kwa wakati huo, sijui ni kweli, zipo kwenye akaunti au nazo zimeliwa. Kwa<br />

baadhi ya wanakijiji waliobahatika kupata fidia hiyo ambao ni wachache tena waliwalipa kwa<br />

kuwalaghai kwa sababu ilikuwa ni mwezi wa Ramadhani na sikukuu inakaribia, wakawaita,<br />

wakaona hawana jinsi kwa sababu ni maskini bila kuambiwa una heka ngapi. Aliyelipwa laki saba,<br />

aliyelipwa milioni mbili, ambapo kwa jumla haifiki hata milioni hamsini kwa wale baadhi waliolipwa,<br />

wengine wali<strong>go</strong>ma.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo ukiangalia pesa zote zilizobakia milioni takriban mia<br />

mbili na zaidi hazijulikani zilikokwenda. Hii inaonesha kuwa, pesa zote hizo wamezitafuna bila ya<br />

imani, bila ya huruma, bila ya hofu hata ya kumuo<strong>go</strong>pa Mwenyezi Mungu. Hapa kuna tatizo<br />

kubwa sana katika kijiji hiki na uon<strong>go</strong>zi wa Mipan<strong>go</strong> Miji. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kati ya Wanakijiji ambao walikuwa wanadai walikuwa ni 30 katika<br />

orodha, lakini watu wa Mipan<strong>go</strong> Miji kwa kushirikiana na Serikali ya Kijiji ambao nao waliwaingiza<br />

katika mte<strong>go</strong> waliongeza watu hewa 36, kwa hiyo jumla wakawa watu 66. Wanakijiji wale<br />

hawakukubali saruji kuchimbwa katika eneo lao, wali<strong>go</strong>ma na walikaa kikao wakaunda Kamati<br />

Ndo<strong>go</strong> ya kwenda kushughulikia tatizo lao hilo. Walikwenda kwa Mkurugenzi na wengine<br />

walijigawa kwenda kwa mwakilishi wa saruji. Saruji alipoona matatizo yanaongezeka akaongeza<br />

milioni 70 ili walipwe wale wanakijiji ambao wana malalamiko. Kwa taarifa nilizonazo, hiyo milioni<br />

70 mpaka sasa hivi iko Halmashauri haijagawiwa kwa sababu kila leo wanaongezeka watu, au<br />

yanaongezeka madai mapya, ndio sababu walizozitoa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa ujumla fedha zote zilizolipwa na mwekezaji huyu saruji milioni<br />

415. Kwa haraka haraka ukiangalia zoezi zima la uthamini mpaka ulipaji fidia lilikuwa na kasoro<br />

nyingi pamoja na usiri mkubwa na limegubikwa na mazingira ya rushwa tena ya hali ya juu.<br />

Mkurugenzi akaona njia pekee ya kuwatuliza wanakijiji ni kuunda Tume, Tume ikaundwa ya<br />

kuchunguza, Tume ile imechukua takriban miezi mitatu bila kutoa taarifa yoyote. Mkuu wa Wilaya<br />

hali kadhalika alikuwa na Tume yake lakini hakuna ambacho wamekuja nacho.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, wananchi wale wanacheleweshwa kila leo wanapewa taarifa<br />

mpya na huku mwekezaji cha kushangaza sasa tarehe 13 Juni, 2011 saruji walipata ruhusa kutoka<br />

kwa Mkuu wa Wilaya na kwenda kuchimba tani 5000 za majaribio kwa malighafi hiyo. Ni udon<strong>go</strong><br />

ambao unachanganywa na material nyingine kutengeneza saruji. Wanakijiji wale walistuka sana<br />

na hawakukubaliana na hilo lakini alichofanya Mkuu wa Wilaya aliwashirikisha baadhi ya Vion<strong>go</strong>zi<br />

wa Kijiji na Kata ambao wamepata marupurupu haya, wakaenda kwa nguvu katika eneo hilo<br />

wakasafisha eneo wakaweka ulinzi mkubwa ili mwekezaji yule achimbe. Sisi tunasema kuwa<br />

Tanzania tuna amani kama kweli, wanakijiji wale wameridhia Mtendaji yule kwa nini kumewekwa<br />

ulinzi mkubwa wa mgambo na marungu na mapanga ili mwekezaji yule aweze kuchimba<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante.<br />

82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!