28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kwenye Bandari hiyo na kufanya mizi<strong>go</strong> ya Tanzania tukaichukue kwenye Bandari hiyo. Ina maana<br />

tutakosa biashara za Malawi, Zambia, tutakosa biashara zote za transit <strong>go</strong>ods na hivi sasa inaweza<br />

ikaonekana mpan<strong>go</strong> wa Kurasini ukafa sababu Serikali itakuwa haina cha kufanya. Sasa naomba<br />

Serikali waende wafanye utafiti je, mpan<strong>go</strong> huu upo Maana yake tayari upo, sisi tunajua upo.<br />

Nchi hii ya jirani ina-lobby sasa hivi kwa kusema Tanzania meli zinakaa zaidi ya wiki mbili Bandarini.<br />

Sio tija kwa meli kukaa kipindi chote hiki, ndiyo maana wanafanya mpan<strong>go</strong> sasa transhipment iwe<br />

kwenye nchi yao, watunyang’anye biashara yetu sisi na tukiwa hatuna biashara yetu sisi, sidhani<br />

kama kutakuwa na mpan<strong>go</strong> mwingine wa kupanua Bandari, itakuwa hakuna haja kabisa. Kwa<br />

hiyo, naomba, Waziri uko hapo na vion<strong>go</strong>zi mpo na watu wanaohusika wapo hebu jaribuni<br />

kwenda kutizama tatizo hili. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya maneno haya narudia tena kusema sitaunga mkono<br />

mpaka tupate majibu, majibu sahihi ya kutazama hali ya watu. Watu wetu wana imani na Serikali,<br />

watu wetu wana shida, mkombozi wao ni Serikali. Wanapokuja watu kutokujali watu wa chini,<br />

watu wa kuja kudai maslahi yao, wanateseka, mtu anakuwa mpangaji kwenye nyumba baada<br />

ya miezi mitano anasoma ndani mle, anakwenda kubadilisha hati ya mazabe, Wizara hii ni wiki<br />

moja, hati ya mazabe ni wiki moja, hati halali miaka minane. Bado Makatibu wapo, bado<br />

Makamishna wapo, bado watumishi wapo, kila unayemkuta Wizara hii asubuhi anachokonoa<br />

meno. Wanakula dhambi na hili hatutalikubali hata siku moja. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, nataka Waziri ameingia ana uzoefu mkubwa sana upo<br />

unapotoka, atumie uzoefu wake aachane kabisa na kanyaboya ambao wako kwenye Wizara<br />

yake, wasimpotoshe. Pili narudia, hakuna mtu, hakuna kion<strong>go</strong>zi anayekataa maendeleo ya<br />

kwenye Jimbo lake, lakini maendeleo haya lazima ashirikishe vion<strong>go</strong>zi, washirikishwe wadau<br />

waliokutwa, wadau waliokutwa waone benefit, waone fruits za mradi huu na wao zinawagusa. Sio<br />

unamtoa mtu hapa unamwambia nyie mmevamia ondokeni, watu wako pale miaka 50, hakuna<br />

aliyevamia, wote ni wakazi halali wa maeneo yale na nawa-support kama M<strong>bunge</strong> wao. Ikibidi<br />

kwenda Mahakamani kama hamkutushika, kwanza nchi hii ina vion<strong>go</strong>zi wanne tu; Mwenyekiti wa<br />

Mtaa, Diwani, M<strong>bunge</strong> na Rais. Waziri sio Kion<strong>go</strong>zi, Mkuu wa Mkoa sio kion<strong>go</strong>zi, ni watendaji<br />

wanasikiliza maagizo. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, nataka hili mlielewe hatutakubali watu hawa<br />

kunyanyasika, kuna watu pale zaidi ya 10,000 hivi saa hizi ninavyozungumza, hawajijui wafanye<br />

nini, wamepakata watoto wao tena mama maskini, wamebeba watoto wanalia Yarabi Mungu<br />

tusaidie mpan<strong>go</strong> huu usiwepo. Kama mpan<strong>go</strong> huu mnao kweli, wajengeeni makazi, wapeni<br />

replacement najua Mheshimiwa Waziri ametoka UN Habitat huruhusiwi kumfukuza mtu mpaka<br />

unampa eneo lingine na sio kuwapeleka kwenye hema, mjengeeni pale pale Jangwani. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Kengele ya pili Mheshimiwa Azzan. Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> sasa sijui makofi<br />

hayo ni baada ya Mwenyekiti kusimama, kwa maana na yeye yanamhusu. (Kicheko)<br />

Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naomba nikiri kwamba mmejitahidi kuchangia kwa hisia tofauti,<br />

kuwawakilisha wananchi wetu wa Tanzania kwa ujumla wetu kwa maana ya mgawanyo wa<br />

Majimbo ya kila mmoja anakotoka na matatizo ya ardhi jinsi yalivyojiri katika eneo lake. Nina imani<br />

kabisa Mheshimiwa Waziri amechukua nafasi nzuri ya kusikiliza, basi kesho atakapokuja hapa<br />

atakuwa na majibu ya kutosha ili kuweza kutusaidia sisi wawakilishi wa wananchi kwa mujibu wa<br />

Katiba, lakini atae maelezo kwa mujibu wa kanuni za Bunge. Muda wetu kwa leo umekwisha, sasa<br />

naomba niseme yafuatayo:-<br />

Tangazo nililoletewa na Ofisi ya Bunge nimeshawatangazia, lakini naomba tu niseme<br />

Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wamekuwa wakiwasiliana na wale ambao hawapo. Kwa hiyo,<br />

uchangiaji mnaona ile orodha imekwenda katika utaratibu tofauti, lakini ni baada ya kuletewa<br />

taarifa rasmi hapa mezani.<br />

Kwa hiyo, kesho mchangiaji wetu wa kwanza atakuwa Mheshimiwa Wenje, atafuatiwa na<br />

Mchungaji Nshama, atafuata Mheshimiwa Mchungaji Natse, atafuatiwa na Mheshimiwa Susan<br />

Kiwanga, nilitaka kusema Mchungaji, lakini Susan bado sio Mchungaji, labda yuko njiani kusomea<br />

Uchungaji.<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!