28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

endelevu kutambua maeneo haya na kupanga mipan<strong>go</strong> ya baadaye ya maendeleo, kwa<br />

kutambua kwamba wananchi hawa ipo siku watahitaji kulipwa fidia inayostahi na kama ndivyo<br />

basi mikataba iwe wazi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, maeneo mengi sasa hivi tuna Miji au centers zinazokua lakini<br />

hazipimwi ingawa wataalamu hao wapo. Idadi ya watu katika centers hizi inaongezeka,<br />

tunapohitaji kuboresha miudombinu katika centers hizi inakuwa ni tatizo la msingi na ni kubwa<br />

sana na ndiyo tunaanza miradi ya bomoabomoa. Sasa tutawezaje kuepuka adha hii kama<br />

hatuwezi kufanya matumizi endelevu ya ardhi mapema iwezekanavyo kwa kuipima na kuwapa<br />

wahusika<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Jimbo langu, ninazo centers zinazokua mfano, center ya<br />

Kabindi, sasa hivi kuna mwingiliano mkubwa sana, wafanyabiashara ni wengi, watu wengi<br />

wanajenga lakini pale hakuna chochote, hakuna hata kipande ambacho kimepimwa. Sasa<br />

niiombe Serikali iweke msukumo ili kusudi watu hawa wapimiwe maeneo na yatambuliwe ni yapi<br />

yatakuwa maeneo ya wazi, maeneo ya kujenga na maeneo ya viwanda. Si hapo tu, kuna center<br />

kama Nyakanazi, Nyakahula ambazo ni centers zinazoinukia.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba niongelee mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wakulima na wafugaji. Hii<br />

imekuwa ni mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya mara kwa mara lakini tunaipata kwa sababu wananchi hawa<br />

hawaoneshwi maeneo yao, hawapimiwi eneo la kufugia, hawapimiwi eneo la kulima na matokeo<br />

yake wanaingiliana na hapo ndiyo unapotokea u<strong>go</strong>mvi mkubwa sana na mbaya zaidi maeneo<br />

mengine yanapakana na hifadhi. Ni wazi kwamba mchungaji anahitaji eneo lililo na nyasi lakini<br />

kwa sababu hakuna mpaka aliooneshwa, atafugia popote pale na siku ya siku atakuja<br />

kukamatwa, atatozwa faini na faini nyingine hazifiki ndani ya Halmashauri zinaishia kwenye mifuko<br />

ya watu. Sasa namna hii tunawasababishia wananchi wetu mateso ambayo hawastahili<br />

kuyapata. Tukitenga maeneo haya, naamini ardhi yetu tutaitunza vizuri, itakuwa ya thamani na<br />

itaweza kuzalisha kile kilichokusudiwa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na mambo haya kutokea, tumeeleza mara nyingi lakini<br />

hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa, sasa sijui tutaboreshaje Tunaomba Mheshimiwa Waziri<br />

aliangalie hili kwa karibu sana na atupe majibu, hususani wale wote tunaotokea Mkoa wa Kagera<br />

ambao tunazungukwa na ile Hifadhi ya Burigi. Matatizo ya wafugaji yameelezwa siku nyingi, ni<br />

matatizo ambayo yamekuwepo siku nyingi sana, wamekuja wafugaji wanaotoka nchi za nje,<br />

wamefugia mle, maeneo yale yote yameshaharibiwa sasa na mwananchi huyu wa kawaida<br />

akijichanganya mle na yeye anapata shida ileile, sasa tufanyeje Tunaomba Serikali itusaidie hili<br />

tafadhali! (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, maeneo mengi katika nchi yetu yamejaliwa sana kuwa na<br />

madini na sehemu nyingi tumeongea suala zima la wawezekaji ambao wamekuwa wakichimba<br />

madini haya, ambao wamegeuka kuwa sasa ni adui wa mwananchi wanayemkuta kwenye<br />

maeneo haya. Ukitafuta hapa chanzo ni nini, hawa watu wanapokuja na kutengewa maeneo<br />

huyu mwananchi anakuwa hapewi eneo lake la kuchimba, hapewi eneo lake la kufanyia shughuli<br />

zake na matokeo yake Vijiji vingi vimekosa huduma za hawa wawekezaji kwa sababu havina<br />

hatimiliki.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, juzi hapa nimeuliza swali kuhusu mgawanyo wa Kata, Vijiji na<br />

Tarafa lakini bado Vijiji hivyo vilivyogawanywa havina hatimiliki. Sasa huyu mwananchi anakuwa ni<br />

mtu wa kufukuzwa tu muda wote kwa sababu hana kitu kitakachomlinda na atakachoweza<br />

kusimamia katika mazingira yale aliyomo. Suala hili kwa kweli ni kero kubwa sana, tuombe Waziri<br />

anayehusika aje na mpan<strong>go</strong> mkakati wa dhati, kuhakikisha kwamba Vijiji hivi vinapata hatimiliki ili<br />

wananchi waweze kuishi maisha yaliyo bora, siyo ya kufukuzwa tu kana kwamba wao ni wakimbizi<br />

ndani ya nchi yao.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, suala hili tunaloliongelea kuna watu huko sasa hivi wanapata<br />

shida sana. Kutokana na mwingiliano wa watu, watu hawa wanashindwa kueleweka wao<br />

wanapatikana katika Halmashauri ipi au Kata zipi kwa sababu wako mpakani na sehemu<br />

walizomo hazijapimwa vizuri. Hili linapelekea hata Wakuu wa Wilaya wanapokwenda kwenye<br />

65

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!