28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wao kwangu hasa ninapokuwa mbali nao kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya Bunge na Taifa<br />

letu. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza jukumu hilo la Kkikanuni tarehe 1 hadi 2 Juni, 2011, Kamati<br />

ya Ardhi, Maliasili na Mazingira ilikutana na watendaji wakuu wa Wizara wakion<strong>go</strong>zwa na Waziri<br />

wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka katika<br />

ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam. Katika vikao hivyo,<br />

Kamati ilipitia yafuatayo:-<br />

Kwanza taarifa ya utekelezaji wa kazi za Wizara kwa mwaka wa fedha 2010/2011 na<br />

Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2011/2012; pili, taarifa ya utekelezaji wa<br />

kazi za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika mwaka wa fedha 2010/2011 na Mpan<strong>go</strong> wa Kazi za<br />

Shirika kwa mwaka wa fedha 2011/2012; tatu, taarifa ya utekelezaji wa kazi za Wakala wa Taifa wa<br />

Utafiti wa Nyumba na Majen<strong>go</strong> katika mwaka wa fedha 2010/2011 na Mpan<strong>go</strong> wa Kazi kwa<br />

mwaka wa fedha 2011/2012; nne, taarifa ya utekelezaji wa kKazi za Tume ya Taifa ya Matumizi ya<br />

Ardhi kwa mwaka wa fedha 2010/2011 na Mpan<strong>go</strong> wa Kazi kwa mwaka wa fedha 2011/2012; na<br />

tano, mpan<strong>go</strong> wa kuendeleza eneo la Kigamboni, Jijini Dar es Salaam. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, Waziri pia aliieleza Kamati kuwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na<br />

Maendeleo ya Makazi ina idara saba na viten<strong>go</strong> tisa, Idara hizo ni Maendeleo ya Huduma ya<br />

Ardhi, Upimaji wa Ramani, Maendeleo ya Nyumba, Sera na Mipan<strong>go</strong>, Utawala na Utumishi,<br />

Mifumo ya Habari na Mawasiliano na Idara ya Upangaji wa Miji na Vijiji. Aidha, Wizara inazo Taasisi<br />

na Mashirika yanayofanya shughuli zake chini ya uangalizi wa jumla wa Wizara ambayo ni Shirika<br />

la Nyumba la Taifa (NHC), Tume ya Taifa ya Mipan<strong>go</strong> ya Matumizi ya Ardhi, Wakala wa Taifa wa<br />

Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), Chuo cha Ardhi Tabora na Chuo cha Ardhi Moro<strong>go</strong>ro.<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa maagizo ya Kamati yaliyotolewa wakati wa majadiliano<br />

ya Bajeti kwa mwaka 2010/2011 katika mwaka wa fedha wa 2010/2011 Kamati ilitoa maagizo 15<br />

kwa ajili ya utekelezaji, hasa katika maeneo yanayohusu muda wa upatikanaji wa hati miliki, suala<br />

la uwekaji mipaka kwenye maeneo ya Bahari na Ziwa, ukusanyaji wa mapato katika halmashauri<br />

na ulipaji kodi kwa wakati kutoka kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba na kadhalika. Napenda<br />

kuliambia Bunge lako Tukufu kuwa Kamati imeridhika na baadhi ya utekelezaji wa maagizo hayo.<br />

Aidha, kwa upande ambao unaonekana haujatekelezwa vizuri, Kamati imeshauri ipasavyo na<br />

kutoa maelekezo. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2011/2012<br />

pamoja na kazi zilizopangwa kutekelezwa fedha zinazoombwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na<br />

Maendeleo ya Makazi zimegawanywa kulingana na vipaumbele vya majukumu ya Wizara na<br />

Taasisi zake. Hivyo basi, kiasi cha shilingi 47,895,198,000/= zinaombwa, kati ya fedha hizo, Wizara<br />

inakusudia itakusanya shilingi 20,645,006,000/= kama Mapato ya Serikali, katika Matumizi ya<br />

Kawaida Wizara inakusudia kutumia shilingi 25,884,761,000/= na katika Miradi ya Maendeleo<br />

Wizara imepanga kutumia jumla ya shilingi 22,010,437,000/= kati ya hizo fedha za ndani ya nchi ni<br />

shilingi 6,000,000,000/= na fedha za nje ya nchi ni shilingi 16,010,437,000/=. Fedha hizi zinaombwa<br />

kwa mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kutekeleza pamoja na kazi nyingine zikiwemo shughuli za<br />

msingi zifuatazo:-<br />

Kwanza Idara ya Utawala wa Ardhi imepanga kuratibu uanzishwaji wa mfuko wa fidia ya<br />

ardhi (The land Compersation Fund); Pili, Kiten<strong>go</strong> cha Usajili wa Hati kimepanga kukamilisha<br />

marekebisho ya Sheria za Usajili wa Hati; (Sura ya 334), Sheria ya Usajili Nyaraka (Sura ya 117) na<br />

Sheria ya Usajili wa Mali zinazohamishika (Sura 210) ili ziendane na hali ya sasa ya usajili wa nyaraka<br />

hizo; tatu, Kiten<strong>go</strong> cha Uthamini wa Mali kimepanga kukamilisha uandaaji wa sheria ya uthamini;<br />

nne, Idara ya Upimaji na Ramani imepanga kutambua na kupima ardhi kwa ajili ya wawekezaji<br />

wa ndani na wa nje; na tano, Kiten<strong>go</strong> cha Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya kimepanga<br />

kuanzisha na kuendeleza Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya za N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro, Manyoni,<br />

Karagwe na Mkoa mpya wa Katavi. (Makofi)<br />

38

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!