118maji itakuwa mambo ya Serikali ya Majimbo, mambo ya ulinzi foreign relations itakuwa ya Serikali, tunajuaSerikali kuu, tunajua hayo. Na taxation ya sehemu fulani itaenda huko na sehemu fulani itaenda kwa Majimbotuna fahamu hayo.Halafu tunapendekeza pia kwa maana President wa sasa amekuwa na kazi nyingi mpaka ameshindwa kufanya kazituwe na high breed system ambayo mamlaka ita gawanya kati ya rais na waziri mkuu. Kwa maana president nimwanadamu bwana, na anachoka na wengine miaka yao imekuwa nyingi sana badala ya kumtaabisha hivi mbonatusigawanye kazi tuwe na waziri mkuu hapa na kuwe na president hapa kila mmoja anajua kazi yake, na wazirimkuu awe na wasaidizi wake na rais awe na wasaidizi wake na ugawanyaji wa hio post iwe on regional basis kusudikila kabila tupate haki zetu. Hatutaki rais ni kabila fulani makamu wake ni kabila fulani na kadhalika hatutaki hiyo.Yes na nimemaliza.Ya mwisho ningesema mengi lakini wana ni-short-isha nitasema kuhusu vyama vya siasa kwa sasa nafikiri kunazaidi ya arubaini na zote inafuatana tu ukabila. Napendekeza ya kwamba tuwe na maximum of four politicalparties, four political parties kwa maana ikiendelea sasa hata mimi nafikiri miaka tatu ijayo nitakuwa na chamachangu. Chama cha kuwakilisha Waborana na Turkana watakuwa na yao kwa hivyo tunataka maximum of fourpolitical parties. Kwa hayo machache ningesema zaidi asanteni Mungu awabariki.Com. Lethome : Asante sana Daktari. Tunaomba tafadhali hiyo memorandum tupatie Daktari. Daktariinaonekana una memorandum tunaomba utupatie pia hayo maandishi. Tafadhali. Sasa kwa sababu ya wakatitafadhali nitafuata list sasa sitaki kuletewa majina kando kando sasa ili tuweze kumaliza watu wote. Dakika mbilizikiisha tafadhali nikikuambia maliza umalize. Godo Jahani? Awe karibu hapo na dakika zako mbili. DaudiGolicha uko karibu. Golicha hayuko? Abdilahi Gartasa yuko? Gartasa ufuwate huyo Mzee. Dakika mbili. Hayaanza Mzee. Bismilahi.Mzee Godo Jahani :yangu ni Godo Jahani. …[inaudible]…Bismilahi rahim. Asalaam Aleykum! Mimi nasema mapendekezo chache tu. JinaCom. Lethome :Endelea endeleaMzee Godo Jahani : Nataka kuzungumza kiborana. Assala mualeykum. Jambo la kwanza mimi nasema.Waan qaarra waan aann jeeduu, power rahisaa, guudhaan rabbi guudha, naamii raabbii guudha dhuur jiirr injiirr,aarmmaa fuudanii rayyissi sheerriyya guubba jiirra, arrm isumaa kuunoo aarmaa fuudanii rabbi guudhaa jeelaataan. Khaa aaccii gaadh buussanii, innileen akhuum binaadhamuu khaan waan siin uukuumaan issaleen khaauukuuman
119Translator : Mzee wetu anaitwa Mzee Godo Jahani Mzee wa Kulamawe? Pendekezo lake la kwanza ni yakwamba yule ambaye yuko juu ya sheria ni mwenyezi Mungu peke yake. Rais ateremushwe kutoka pahaliamewekwa arudi chini ya sheria. Ahukumiwe na sheria ambayo ita hukumu mtu wa kawaida.Mzee Godo Jahani : Dhuubin tiyy taa laammesso, naamii guudhoo nadhuuralee dhuubbatee, laaftii teentuuninii laaf aabbaa inqaamn nuu faakaatii, laaftii aabbaa inqaamnee fiin inqqaabdh, woonni nuu fiin inqqaamnefmaapendekezoon tiyya, kaatikaa boarder dhurri siirkaalii koolooni khaaee hifadhiweTranslator :Mzee anasema pendekezo lake la pili ni mipaka yetu ambayo iliwekwa tangu zamani ihifadhiwe.Kama kuna mipaka imenyakuliwa baada ya hiyo turudishiwe.Mzee Godo Jahani : Taa saadheesso, nuu aadhaa qaamn, booranii aadhaa qaabb, jaars qaabb, jaallabb qaabb,muurra qaabb muurra suun aamm inqqaamn. Woonni nuu feenuu muurra kheen taa dhuurri, jaarssi waa muur,hoojja naamii jaalaat shaanaan itti muurr khaa nuu dheebbissee hirree qaabbatee, hirree ittii taat feenTranslator :Anapendekeza ya kwamba traditionally, kuna wazee zamani wanakaa na wanahukumu kesi kimilaWazee wetu wapewe haki ya kuhukumu kesi kulingana na ile traditional laws zao.Mzee Godo Jahani : Aammalee sheriyya issilaanaalee, taa booraanalee yoo naamii naam eejjes aadhaaqaabb, yoo naamii kissudi naam eejees adhaa qaabb, uukuunkii qaabb, khaa naam madheeseleen uukuunkii qaabb.Waan nuu feenuu, haatuleen uukuunkii qaabbdh, illkaan caabbaniileen uukunkii qaabban, naamii naam caabbseelenuukuunkii qaabb, aadhaa suun taa akh aadhaa miilla teenaa guul dheebbitee, waan nuu itti buuffanee dhuurri ittimuuraan hirree nuu toolciitee sheeriyyan haaretiin tuuniini nuu gaarggart jeedinTranslator : Anasema sisi ni Waislamu na tena sisi ni Borana na kama Waislamu tuna sheria zetu zaKiislamu kama Waborana tuna hukumu zetu za kimila mila zingine za kutatua kesi yetu ndogo ndogo hapa na paleKatiba ihakikishe ya kwamba sheria yetu ya Waislamu na ile ingine ndogo ndogo yetu ya kimila iwekwe katikaKatiba.Mzee Godo Jahani : Nuu oonnaana jaarssi security lee province kheesa dhuubbanee, naamii loon [inaudible]wooldhuura haatee, dhuubba naaftii loon tookoo loon saadhiin dheebbisaan, diigg naam tookoo loon diibbatoolcaan, naadeen eejeessan loon shaantaamaa toolcaan woonii suun khaa aadhaa taatuu jeed naamii akhaascaalaan waa deet
- Page 1 and 2:
Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4:
3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6:
5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7 and 8:
7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 9 and 10:
9Translator :Lazima sheria mpya, ih
- Page 11 and 12:
11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14:
13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16:
15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18:
17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20:
19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22:
21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24:
23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26:
25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28:
27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30:
29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32:
31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34:
33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35 and 36:
35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 37 and 38:
37kwa sababu, nikiondoka sitapata k
- Page 39 and 40:
39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42:
41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44:
43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46:
45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48:
47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50:
49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52:
51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54:
53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56:
55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58:
57zamani walisema the President is
- Page 59 and 60:
59Parliament should make laws for t
- Page 61 and 62:
61The Chief Kadhi should be head of
- Page 63 and 64:
63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65 and 66:
65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 67 and 68: 67Kutairisha wasichana: Unasikia sa
- Page 69 and 70: 69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72: 71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74: 73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76: 75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78: 77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80: 79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82: 81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84: 83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86: 85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88: 87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90: 89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92: 91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93 and 94: 93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 95 and 96: 95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh
- Page 97 and 98: 97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100: 99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102: 101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104: 103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106: 105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108: 107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110: 109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113: 112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115: 114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117: 116maanani iende sambamba na sheria
- Page 120 and 121: 120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123: 122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125: 124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127: 126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129: 128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131: 130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133: 132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135: 134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137: 136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139: 138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141: 140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143: 142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145: 144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147: 146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149: 148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151: 150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153: 152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155: 154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157: 156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159: 158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161: 160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163: 162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165: 164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167: 166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak