10.07.2015 Views

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

72fuulaa naam waa haatee geessan, reefuu naamii khaalen yaa eellimuu taak inaarggin aarggee, reefuu cee waabaalees amm gaaf qaarra khaan cause inn bbaarranee, hoojaa suun yaa geessanii hoojjaa suun jaambbasiinhaamtuun itti gaadh baat, hoojjaa naamii waa ijjeessee daaqaanii fuulaa maani khaan hiidaan, booshee nyaaciisanigaabbissaani naam wol eejjees khaanii woolin hiidaan. Yoos khaaleen cause naam wooleejjeecaa baarssissaahoojjaa aaccii gaadh baauuyyu, ...[inaudible]... nuut gaadh baaee amm, woonnii kaaraa dheemuu daadaabbanif,daadaabban waan suulee huukumun suulen khaa sheerriyya issattii huukuumanii, naam haark kuutan sheerriyyanissilaanaa khaa llaaltee haark kutuu, yoo waahaat haarkaa miil kuutaan, naam waa eejjeeseelee khaa issumeejjeesaanii khaa qaasaasii naam diibbin imbbaamn, sheerriyyan raabbii guudhaa akhaan qaabdhii khaa akhaasinbeekhan.Translator : Mzee anapendekeza anasema yeye leo katika sheria hii mtu amekuwa mwizi anachukuliwaanafungwa anakula posho huko anapata nguvu anapata criminals wengine katika jela wanamfundisha maarifa zaidiya wizi mtu murderer mwengine labda anaenda tu anafungua huko anapata ujuzi zaidi akitoka katika jela ana kuwahatari zaidi analeta maafa. Mzee anapendekeza ya kwamba sheria ya Kiislam itumike kwa watu mwizi akatwemkono asiibe tena. Na kama mtu anauwa mtu na yeye anyongwe auwane kabisa.Mzee Boru Ali :Baassii haaggaanuumaa kheessa baahaa, Asalaam Aleykum Warahmatulah Wabarakatu.Com. Muigai :Asante sana Mzee. Dabaso Denge? Dabaso Denge? Dabaso Denge? Dabaso Denge?Mr. Dabaso Denge : Mimi kwa jina naitwa Dabaso Denge na natoka Gabarsa. Maoni yangu ile nitatoa nimachache. Maoni yangu ya kwanza ni daraja ya kupitia Ewaso Nyiro. Daraja ya kupitia Ewaso Nyiro nafikirimiaka mbili, miaka nne iliopita tumesikia kume tolewa pesa ya daraja. Tunasikia kwa maskio tu. Hatuoni darajainatengenezwa. Wakati huu tuko ndani ni wakati wa mvua, maji ya Ewaso Nyiro inakuja kwa zaidi na sehemu hiitunaishi tunalima… Daraja ya Archers Post ama ya wakati mwingine daraja ya Godu. Hata daraja ya Godu siodaraja ya kupitia, ni wakati mvua, maji ya Ewaso ni ndogo tu. Wakati maji ya Ewaso inajaa. Hata ya Godu haiwezikupitika. Maoni yangu sasa hiyo daraja iwekwe kwa Katiba yetu mpya naitengenezwe kabla mwaka huu kuisha.Tukiwa ilituendelee. Tuko na shida sana kwa daraja ya kupitia Ewaso Nyiro. Hasa sisi watu tunaishi karibu naEwaso Nyiro tuko na shida sana kwa daraja hiyo.Maneno yangu ya pili ni maji ya Ewaso Nyiro. Wakati ule tunaona maji ya Ewaso Nyiro ni wakati wa mvua tu.Mvua ikikwisha hatuoni maji ya Ewaso Nyiro. Hatuoni maji kabisa. Mpaka tunachimba kisima na hapo awalimbeleni hatujawai kuona maji ya Ewaso Nyiro kukatika labda hao wawe kidogo, lakini tukisikia matajiri hukochini yaani karibu na Oldoiyo hivi huko chini watu wanafunga maji ya Ewaso Nyiro na wanatumia kwa ukulima.Wanafunga huko chini nasisi nayo upande huu tuna umia kwa sababu ya maji. Sasa maoni yangu nataka iwekwe

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!