10.07.2015 Views

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Mohammed Abdulkadir :Hamjambo watu wote.Com. Muigai :Hatujambo.Mr. Mohammed Abdulkadir : Sisi tunataka kuomba kitu kimoja, Bwana <strong>Commission</strong>ers mmekuja hapa,kwa sababu ya jukumu fulani, na leo ni siku muhimu kwa watu wetu sababu hatuja husishwa kuandika Katiba katikamaisha yetu. Tungependa kuomba nyinyi msituharakishe, mtupe sisi nafasi yetu leo sababu kuna watu wenginewanaweza kulia hapa usikie mbaya. Sababu hapa ni hardship area tunaweza kuuliza Serikali ina mpa nyinyihardship kidogo...Com. Muigai :...[...uHu!...]...Mr. Mohammed Abdulkadir :Executive...Kwa hivyo, tafadhali tuwe rafiki hapa. Mimi ningependa kuzungumza juu yaCom. Muigai :Karibia mic.Mr. Mohammed Abdulkadir :kupigania urais wa nchi asiwe mjumbe. Napendekeza hiyo kwanza.Juu ya Executive, mambo ya Serikali. Ningependa mtu yoyote anatakaYa pili, Rais asiwe na kazi ingine isipokuwa ya Executive. Mambo ya Judiciary, mambo ya Legislature isiweyake. Akae mbali, sababu kitu ya kwanza mtu akiwa yule mjumbe ya hapa south, na niwe Rais, inajenga wapi.Hapa. Mapendekezo ya kwanza, ningependa hiyo, kwa sababu ya kuwa... na asiwe na bias.Ya pili, mtu yoyote anakuwa President. Qualification ya kuwa President. Lazima mtu ambaye amesoma,amehitimu kiasi ya kufika hata University. Awe President... Presidential candidate must be a graduate. Napitia tukidogo kidogo.Com. Muigai :...[eEh!]...Mr. Mohammed Abdulkadir :Judiciary. Mambo ya Judiciary ningesema. Napendekeza sisi tuwe na Yes.Com. Muigai :...[eEh!]...

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!