66Com. Muigai :Asante sana. Hassan Ado. Na ujaribu tafadhali... ujaribu ku... fanya haraka haraka... tafadhali.Mr. Hassan Ado : ...[Arabic]... Nafikiri yangu sio mingi wala sio chache. Na nita ...[inaudible]... nita pitiapitia, haraka. Yangu ya kwanza, ni ya Kadhi. Jina ni Hassan Ado. Kadhi. Napendekeza Kadhi achaguliwe na...[Arabic]... sio Serikali wala sio mawaziri. Kwa maana hawajui Kadhi anatakiwa nini. Kadhi kama tulikuwa...wengine wame zungumza juu ya rais. Kadhi ni rais ya Kiislamu. Na apewe Kadhi nguvu kubwa zaidi, powerkubwa zaidi ya kuhukumu. Kwa maana power yeye ana hukumu naye ni power kubwa ambaye imetokana kwauwezo ya mwenyezi Mungu, Koran tukufu. Kadhi anahukumu kila jambo. Anahukumiwa na Judge, ana zaidi yaJudge. Anaweza kuhukumu chochote kinachotendeka kwa dunia hii. Kwa maana mwenyezi Mungu amesema yakwamba Koran ...[Arabic]... mwenyezi Mungu ame sema Koran ni hukumu ambaye ilio pita, na hukumu ambayoinangojea wale hawajafika. Kwa mithali Kadhi hawezi kuhukumu hii kidole, ikikatwa ama ikifanywa chochote.Kadhi ana hukumu ...[Arabic]... hii, hii moja kwa moja. Iko katika ...[Arabic]... ya Koran tukufu. Kwa maanainapendekeza hukumu ya Waislamu ...[Arabic]... ya Waislamu wa rudi chini ya Kadhi. Na Kadhi ichaguliwe na...[Arabic].......[Arabic]... ina zungumzia kwa ...[Arabic]... kwa wale ambaye wana fiiwa. Kama vile mama moja alikuwa amepitiaasubuhi. Mama ikiwa bwana anawacha yeye. Bwana ana agaa. Ninaomba... ama ninatoa maoni ya kwamba mamahuyo, ikiwa yeye ni mfanyi kazi ya Serikali, apate ruhusa wa mwezi nne na siku kumi. Muda ya huzuni. Na sheriayetu inakubalia kuolewa kwa baada ya siku... mwezi nne na siku kumi. Ninatoa maoni. Akiwa mfanya kazi yaSerikali, inakufa nabibi inabaki. Asiteswe hiyo mwanamke. Na asiangamizwe mpaka yeye apate... asiolewempaka yeye apate haki ya bwana yake. Huyo hapana fungwa pamoja, katika Koran. Bibi aki maliza ...[Arabic]...yake aolewe na mtu yeye anapenda. Kwa maana tunaona mengi bibi aki... bwana akiaaga mwezi huu ...[Arabic]...aki malizwa na Mama huyu amezaa, wale family ya bwana na ya bibi, na family ya bwana mara ingine hapanasikilizana wanangojea huyu mama aolewe. Akiolewa hapati haki ya bwana yake. ...[inaudible]...Ninatoa maoni, maoni yangu iwekwe katika Katiba, mwanamke Muislamu... ana fiiwa akimaliza ...[Arabic]... yakeya siku... miezi nne na siku kumi aolewe....[Arabic]... likizo ya wakati ya wakina Mama wanajifungua. Wakina Mama wa Kiislamu sheria yetu haikubali,mtu azae kiasi kadhaa. Azae wawili ama azae ka... watatu, alafu afanye family planning. Family planning. Nina toamaoni yangu hiyo kitu iondolewe kwa Waislamu. Wanawake wetu wazae, wanawake Waislamu hataikiwamwenyezi Mungu anampa hata ishirini malisho yao, sio juu ya binaadam. Wala sio juu ya Serikali. Ana lishwa na...[Arabic]... Unasikia sasa ya kwamba wa kina Mama waki jifungua zaidi ya watatu hapati maternity leave. Natakahiyo iondolewe.
67Kutairisha wasichana: Unasikia sasa, ina kataliwa na dini yetu ina kubali. Naomba Katiba ya sasa ikubaliwe, navile itafanya, itegemewe Kadhi ya Waislamu. Kuweka ndevu kwa wafanya kazi. Ndevu ni ...[Arabic]... muhimusana katika dini yetu ya Kiislamu. Ikubaliwe kuweka Muislamu yoyote, a weke ndevu. Iko wa vijana yetu ambayewanataka ku andikwa askari au ma-chief, hawatakiaitaki, kwa maana ana mambia nyoya... nyowa... nyowa ndevu.Dini yetu hapana. Ninatoa maoni ya kwamba, Waislamu wa wachiliwe, wapewe ruhusa ya kuweka ndevu. Lakinisio masharubu.Ruhusa ya Ijumaa ikubaliwe kwa Waislamu. Ijumaa ni siku yetu ya ibaada. Leave ya wafanya kazi wakati waRamadhani iwekewe katika Katiba na ikubaliwe. Haswa wa Waalimu wako na taabu sana. Waalimu Waislamu,washule.Wachinjaji ya mali. Wawe chini ya Imam ya town ...[Vernacular]... kwa maana tuli si... pata kwa radio ama kwa Tvati <strong>Kenya</strong> hii ata tuli... watu binadamu wamekula hata nyama ya mbwa, na wamekula nyama ya... ya... ya... punda.Waislamu wako kila mahali. Mapendekezo yangu, kila miji, mchinjaji, waweke chini ya amri ya Imam. Sio yaKadhi, Kadhi hapana iko katika kila town.Dini yetu ya Kiislamu isipatetisho. Isitishiwe dini ya Kiislamu. Kuna vitisho. Uki sema kweli kwa sasa kunavitisho. Dini yetu itambulike kama dini ingine. Dini ya Kiislamu.Bank: Bank kama vile wengi wetu labda wamepitia. Tuwekewe Bank ambayo haina interest. Interest ni kitu...mkisikia hata Waislamu wanachukua, lakini interest ama ribaa sio haramu ndogo. Ni haramu kubwa, Koran yamwenyezi Mungu inasema ya kwamba. Kidogo ya dhambi ya ribaa, ni sawa na mtu ana fanya mama yake bibi, amamtu analala na mama yake. Kwa hivyo Kiislamu kuchukuwa, hata wale wana chukuwa, hata wale wanachukuahawawezi kufaidika. Na wengi wanaogopa hiyo ajili ya interest hiyo. Tunaomba hiyo ikubaliwe.Bar isiwekwe katika miji ya Kiislamu, ama hii miji majority yake ni Kiislamu, Bar, isikubaliwe, biashara ya Bar.Bar hatutaki ndani nchi ambayo majority yake ni Waislamu. Kama sasa Garbatula. Hatukubali.Saa inanifupisha sana, nita wacha hapa. ...[Arabic]...Com. Muigai :Asante sana. Boru Ali. Boru Ali. Karibu Mzee.Mzee Boru Ali :dhuub,Asalaam Aleykum Warahmatulah Wabarakatu, aallenii Booru Alii jeedani [inshaallah]
- Page 1 and 2:
Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4:
3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6:
5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7 and 8:
7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 9 and 10:
9Translator :Lazima sheria mpya, ih
- Page 11 and 12:
11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14:
13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16: 15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18: 17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20: 19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22: 21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24: 23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26: 25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28: 27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30: 29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32: 31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34: 33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35 and 36: 35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 37 and 38: 37kwa sababu, nikiondoka sitapata k
- Page 39 and 40: 39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42: 41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44: 43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46: 45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48: 47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50: 49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52: 51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54: 53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56: 55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58: 57zamani walisema the President is
- Page 59 and 60: 59Parliament should make laws for t
- Page 61 and 62: 61The Chief Kadhi should be head of
- Page 63 and 64: 63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65: 65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 69 and 70: 69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72: 71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74: 73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76: 75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78: 77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80: 79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82: 81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84: 83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86: 85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88: 87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90: 89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92: 91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93 and 94: 93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 95 and 96: 95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh
- Page 97 and 98: 97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100: 99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102: 101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104: 103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106: 105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108: 107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110: 109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113: 112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115: 114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117:
116maanani iende sambamba na sheria
- Page 118 and 119:
118maji itakuwa mambo ya Serikali y
- Page 120 and 121:
120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123:
122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125:
124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127:
126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129:
128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131:
130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133:
132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135:
134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137:
136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139:
138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141:
140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143:
142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145:
144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147:
146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149:
148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151:
150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153:
152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155:
154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157:
156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159:
158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161:
160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163:
162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165:
164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167:
166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak