8Translator : Mzee anasema yeye anapendekeza kwamba katika hii Katiba mpya lazima haki yetu ya dini yaKiislamu iangaliwe ya kutosha, na haki yote sisi tukiwa Waborana na wakaaji wa sehemu hii wenye mifugo, hakiyetu ichungwe katika hii Katiba.Mzee Wako Hache :qaamna, Loon qaamna, Ree qaamnaaNuu woonni nuu qaamn, laaff inqqotaanuu hoorrii haarkaa qaamnaa, GaalTranslator :Sisi tukiwa watu wakaaji wa hapa, si watu wenye kulima mashamba, bali sisi ni watu wanaishikwa mifugo, tuna ng’ombe na ng'amia na mbuzi.Mzee Wako Hache :Hoorrin suun tookooleen haaqqii inqqaabb, gaarr dheem inqqaabbTranslator :Mbuzi hakuna haki, ng'ombe yetu haina haki, ng’amia yetu haina haki.Mzee Wako Hache :Yoo nuu guuraan daaggenelee keenyaa kheessaa, miissingaaleen kaaraa qaabb,maajaaniin kaaraa qaabbdh, aalletiin kaaraa qaabdh hoorrin kheen fuulaa yaa inqqaabbTranslator : Anasema sisi tukiona leo kwa wale ambayo ni wakulima, haki yao inalindwa, kahawa ina haki,majani ya chai ina haki, mahindi ina haki, Serikali inasaidia upungufu ikitokea upande wa mashamba. Lakini sisimifugo yetu ikipata upungufu ya aina yoyote, hatuna msaada yoyote.Mzee Wako Hache : Issi haaqqii suun dhuubb guuyyaa khaan kaattibbaa nuu dhaaraanii hoorrinkheen suuleen haaqqii aarggaatee kaaraa aammaa miissingaan dheem, khaa maajaaniin dheemt hoorrinkheenaaleen dheemuuTranslator :Mzee anasema tunataka katika hii Katiba iongezwe ya kwamba, mifugo yetu, vile ambayemashamba, mimea ya mashamba inapata haki, katika Katiba na kutambulika, mifugo yetu pia itambulike.Mzee Wako Hache :Taa diibbiilenii naamii kheen hoojjaa duuee, haaggum saaree dhooteeTranslator :Ya pili anasema security, anazungumzia security ya maisha yetu. Serikali lazima ilinde securityya maisha ya wananchi wake. Sehemu hii sisi tukifa, ni kama mtu... ni kama mbwa ana kufa, hata si mwanadamu.Mzee Wako Hache :Suulee khaa sheeriyya khee nuu khaanii akh biinadhaamuu nuu toolcaan
9Translator :Lazima sheria mpya, ihakikishe ya kwamba watu ya sehemu hii, mali yao na maisha yao,inalindwa vile ambavyo Wakenya wengine wanalindwa.Mzee Wako Hache : Taa laameessitoo nuu issilaanaa, yoo nuu dhoonee woonii nuu toolcaanii fuulaakhuufaar ittii dhaarbbatanii nuu dhaarbbataan, issi dhuubb akhaas intoolciin khaa dhuubb nuu issilaanaa,yoo naamii kheen dhuuelee indaaggetaayyu kaaraa issilaanii wool aawaaluu, kaaraa suun nuu toolcaanuuTranslator : Anasema Mzee sisi ni Waislamu, na saa ingine mtu Muislamu ana kufaa anawekwa tu, anatupwapale kwa mortuary ama pahali fulani, hapana. Tunataka maiti ya Kiislamu, hata mtu akifaa, apewe heshimakulingana na vile dini ya Kiislamu inataka. Katiba ichunge.Mzee Wako Hache : Taa laammessitoo diibbileenii, waan nuu aaggaarre, nuu issilaanaa, issilaaniikiittabb qaabba, kiittaabb suuniin koot khaadhaadiin jeedee, kittaabb suun naamii saalaadhiyyu inqaabbnhaarkaan inqaabbanee, haarkaan fuudee kot khaakhaadii siin jeed. Suuleen waan gaarr sherriyyaaissilaanati haamtutii,khaa nuura khuutanii kaatibba dhaaraanuuTranslator : Anasema leo katika Koti ya <strong>Kenya</strong> mtu akipelekwa Kotini kitabu ya Korani inachukuliwa na mtuasiye kuwa Muislamu, ama mtu mwili yake, hata haina tahara, haina usafi saa ingine, anachukua kitabu cha Koranina kumpatia mtu na ku muambia, apa na hiki kitabu. Hiki kitabu ni kitabu ya mwenyezi Mungu, mtukufu, nahairuhusiwi mtu yoyote bila na uthuku, kuigusa namna hii. Itakuwa je sasa watu wanapeana kitabu namna hii.Katiba yetu ilinde kitabu yetu tukufu ya Koran, isiwe inapeanwa na mtu yoyote namna hii katika Kotini vileinavyotakikana.Mzee Wako Hache :Keenyaa kheesaati, nuu aarm kheessat naam issilaana woo haaduu jiirr, issilaansuun khaa wol haaduu hoojjaa [inaudible] siirkaalumma woolt nuu naaqqTranslator :Mzee anasema leo sisi hapa tunaona watu wanapigana makabila, Waislamu pamoja. Labda hii niuchochezi, hata inatokana kutoka kwa Serikali nasema ni maoni yangu hiyo.Mzee Wako Hache :Yoo hoorrin baadheef, yoo naamii dhuuhelle, woonni suun tookoolen waansherriyya khee jiirraa tii niitii, naamii keenyaa khaa nuu llaal injiirrTranslator :Anasema hii yote kituimeleta, leo watu wakikosana Serikali haingii katikati kuamua. Maliikiibiwa, kufuata hiyo mali, ina kuwa ni ngumu. Maisha ya mtu inapotea hapa, kufuata hiyo maisha ina kuwa
- Page 1 and 2: Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4: 3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6: 5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7: 7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 11 and 12: 11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14: 13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16: 15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18: 17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20: 19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22: 21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24: 23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26: 25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28: 27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30: 29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32: 31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34: 33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35 and 36: 35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 37 and 38: 37kwa sababu, nikiondoka sitapata k
- Page 39 and 40: 39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42: 41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44: 43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46: 45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48: 47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50: 49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52: 51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54: 53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56: 55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58: 57zamani walisema the President is
- Page 59 and 60:
59Parliament should make laws for t
- Page 61 and 62:
61The Chief Kadhi should be head of
- Page 63 and 64:
63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65 and 66:
65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 67 and 68:
67Kutairisha wasichana: Unasikia sa
- Page 69 and 70:
69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72:
71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74:
73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76:
75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78:
77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80:
79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82:
81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84:
83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86:
85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88:
87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90:
89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92:
91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93 and 94:
93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 95 and 96:
95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh
- Page 97 and 98:
97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100:
99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102:
101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104:
103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106:
105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108:
107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110:
109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113:
112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115:
114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117:
116maanani iende sambamba na sheria
- Page 118 and 119:
118maji itakuwa mambo ya Serikali y
- Page 120 and 121:
120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123:
122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125:
124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127:
126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129:
128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131:
130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133:
132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135:
134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137:
136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139:
138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141:
140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143:
142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145:
144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147:
146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149:
148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151:
150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153:
152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155:
154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157:
156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159:
158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161:
160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163:
162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165:
164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167:
166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak