94wetu ambayo wamefika hiyo kiwango. Yeye anapendekeza yakwamba wakati mtu anataka kufanyua <strong>Commission</strong>erof Police, tabia yake iangaliwe na juhudi na bidii yake ya kazi. Kama mfano anasema si hata Chief of GeneralStaff alikuwa mtu hana elimu si hata sisi <strong>Commission</strong>er of Police hata sisi tunaweza kupewa nafasi kama hiyo tu.Mr. Abdirashid Ali Tacho : Fuulaan taan diibin fuulaa usaalaamat, isiolo district kwanza ...[inaudible]...maalee maaqqa yaakhaan, akh waan booranii caalaan qaawee qaabbuu, guudho nuu yaakuu jiiran. Booraniiqaaweeyyu inqaabbu, aardhaa laam aammalee isioloo kheesaa maaqqa yaakhaan, Kula-mawef Biliqoo. Maanmeerooleen qaawee inqqaabdh, Turkanti inqqaabdh, koorreen inqqaabdh,gaarrin inqqaabdh, saafaart cuufinqqaabdh, wooni kuulaa maawee caalaa maaqqaa yaakhanuf injiirt, wonnii biliqoo maaqqaa yaakhaanif injiirt.Guyya deengaadhaa khaa dhaabree, naam laam khaa khaaraat eejeessanii boouujirr kuulamawee maaqqaa yaakhuujiirran. Nyaap aall yaauu naam fiitt eenuut beekh, khaa taanii booran luubbu dhuudhaanif, wonni siirkaalii booranluubbu dhuudheef imbbekh. Nyaap aall yaaee naam fiittee rabbi caalaa beekh hoojaa duugga rabbi dhuubban,wooni booran luubbu seenaanif injiirtTranslator : Ndugu yetu anapendekeza katika mapendekezo yake anasema sisi uhalifu ikitendeka katikasehemu fulani na ambayo inajulikana ni nani ametenda uhalifu sisi tunakuja tunachafuliwa jina. Hii mambo yakuchafuliwa jina iwachwe mpaka hakika kweli ijulikane kwahakika nani ametenda huo uhalifu isiwe mara mojainaamuliwa ni watu fulani wametenda hiyo uhalifu. Kama ni bunduki sio Waborana peke yake wana bunduki.Karibu kila kabila inabunduki leo. Kwa hiyo hakuna haja yetu peke yake sisi tunalawama yote sisi tuna bandikwa,uchunguzi kamili ufanyike ndio wale wame husika na kazi isemekane dhambi yake tusisingiziwe tu.Mr. Abdirashid Ali Tacho : Yangu nimemaliza. Lakini kuna ndugu yetu moja amebaki Kulamawe?Amesema nitowe maoni yake, tafadhali. Molu Halakhee jeedaan. anaitwa Molu Walake. Anasema <strong>Kenya</strong> hakunahaki. <strong>Kenya</strong> hakuna haki. <strong>Kenya</strong> haki ya <strong>Kenya</strong> imemalizwa na matajiri na mahakama. <strong>Kenya</strong> leo hii mtu ambayeanafaa kufungwa anaokolewa na pesa. Na mtu ambaye hafai kufungwa tajiri anaamua kutoa pesa mpaka anafungwa.So kwa hivyo anasema <strong>Kenya</strong> hakuna haki. Kwa hivyo ile idara ambayo inahusika, Judiciary iangalie vizuri hakiya wananchi. Wananchi wanasema wanadhulumiwa kwa hivyo haki ya wananchi iangaliwe. Asante sana. WasalahMualeykum Taalaa WabarakatuCom. Muigai : Asante sana, sasa imetimia saa saba ya mchana tungelipenda kwenda tusali sasa alafu turudisaa nane kamili. Ndio hivyo wananchi tume kubaliana. Asanteni. Na tukianza saa nane tutaanza na mheshimiwandio turudi kwa list.[?] : Qaabben khaankee mamuulacuun jiiruu taantee qaajelfacuu ,Aadhaa laaftetii baaracuun miirr khaankee barracuu, x2
95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh,Guummin laafaa aahh,Buulchaa laafaa aahh x2Aadhaa laafaa qaajeelfacuu,Seerr laaffaa baaracuun haaggaa laaf teetii aarggacuu,x2Bulcaa dhaansaa fiilacuun soorre dhaansaa aarggacuu,Aayyoo dhaansaa aarggacuu, khaa baarr fakaat fiilaacuu, x2Aadhaa baatuun jiiruu baattuun, aadhaa dhaansaa jiijirranoo,Qaabben laafaa siilaa hindaamnuu, beesse laafaa tok inggaarru, x2Yaadh qaabbdhaan baaffaadaa, aadhaa laafaa miidafaadaa,Yaadh dhaansaan woolliggalla, haadhaabartuu keesaa baanaa x2Tiikh miil kheeti barraacuun, baarannot aadhaa taantetii,Aadhaa laaf teetii barrracuun fiin boorri faalaacuu, x2Tiissitun ...[inaudible]... gaalla fooniin Ngo faayya,Illaaf guurr nuu baantee baarranoot guummi yaadhaa, x2Hon. Abdulahi Wako : <strong>Commission</strong>ers wananchi hamjambo. Kwanza yangu itakuwa ni machache kabisa,kwanza tukiambia ma-commissioners ya kwamba karibuni katika Isiolo South, mimi ni mheshimiwa wa hapa naningependa tu kuwakaribisha katika constituency hii.Ningependa kusema ya kwamba, pole kabisa sikuweza kuwa na nyinyi Jumanne wakati ambapo mlikuwamnachukuwa views katika Bodogashen? Kwa sababu mimi nilikuwa nje, India nikiwakilisha Serikali ya <strong>Kenya</strong> kwaseminar fulani ambayo ilikuwa ni ya Aids, ambayo ni ya ministry yetu na niliweza tu kufika Jumanne lakininilifanya juu chini ili niweze kufika na kuwa pamoja na nyinyi.Pia ningependa kushukuru wananchi wa sehemu hii ambaye wamejitokeza kwa wengi, ambaye wamekuja na maonitafauti tafauti na wanaweza kufanya contribution yao. Hiyo ni shukrani kwenu, nina washukuru sana.
- Page 1 and 2:
Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4:
3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6:
5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7 and 8:
7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 9 and 10:
9Translator :Lazima sheria mpya, ih
- Page 11 and 12:
11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14:
13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16:
15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18:
17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20:
19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22:
21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24:
23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26:
25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28:
27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30:
29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32:
31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34:
33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35 and 36:
35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 37 and 38:
37kwa sababu, nikiondoka sitapata k
- Page 39 and 40:
39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42:
41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44: 43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46: 45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48: 47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50: 49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52: 51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54: 53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56: 55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58: 57zamani walisema the President is
- Page 59 and 60: 59Parliament should make laws for t
- Page 61 and 62: 61The Chief Kadhi should be head of
- Page 63 and 64: 63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65 and 66: 65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 67 and 68: 67Kutairisha wasichana: Unasikia sa
- Page 69 and 70: 69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72: 71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74: 73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76: 75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78: 77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80: 79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82: 81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84: 83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86: 85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88: 87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90: 89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92: 91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93: 93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 97 and 98: 97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100: 99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102: 101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104: 103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106: 105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108: 107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110: 109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113: 112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115: 114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117: 116maanani iende sambamba na sheria
- Page 118 and 119: 118maji itakuwa mambo ya Serikali y
- Page 120 and 121: 120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123: 122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125: 124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127: 126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129: 128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131: 130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133: 132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135: 134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137: 136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139: 138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141: 140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143: 142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145:
144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147:
146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149:
148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151:
150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153:
152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155:
154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157:
156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159:
158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161:
160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163:
162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165:
164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167:
166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak