36walisema, wauwaji waletwe, na wakaletwa. Leo hii, mimi natoka Markadaka watu sitini-na-tano wali uwawa bilaSerikali kufuata hata nyayo moja. Kwa hivyo nataka mipaka irudi pahali yake watu waishi katika sehemu yao bilakuogopa.Kwanza kabisa, Serikali ije karibu na sisi. Leo vijana hawa wote hawana Id card, hawana Identity Card, na miminataka kura kwao. Nita pata namna gani. Hawana Indentity...Identity. Kwa hivyo, kwanini Id hapana wekwa katikaofisi ya Chief yote, location yote, iwe na Id, iwe na Passport, hapo hapo tu pate. Hiyo ni kuonyesha Serikali ikona sisi. Leo hii hatuna Serikali.Serikali hapana iko, nauna ogopa hutasema. Watu wakimalizwa, wewe kama Councillor, ukisimama hapa,unambiwa usionge habari ya security. Na ni watu wali kwisha jana usiku. Security hiyo kama Serikali hapanaweza kulinda sisi, sisi tununuwe bunduki yetu, ihalalishwe. Tujichunge.Viongozi tunataka hata ma Chief tuchaguliwe, tuchaguwe wenyewe. Sisi tuchaguwe Chief ile tunataka. Sio kuwaimposed. Kuwekwa juu yetu. Mtu fulani ambaye, kama mimi nikitoka Markadaka ninaweka ile kijana na fanyiamimi campaign sana, awe Chief ya huko. Hapana hivyo. Wacha wananchi wachaguwe, wafanye kama nimlolongo, kama ni kura ya siri, ma-Chief wachaguliwe na watu kama vile Councillors wachaguliwa, kama vilemjumbe anachaguliwa. Na tuwe na uhuru wa kuchaguwa.Katika kulipa hiyo ridhaa, ambayo niliyopitia hapo mbeleni. Tukisema leo tulipwe ridhaa, leo miaka hii, tuko,2002 inaitwa dotcom. Dot maana yake ni pahali maneno ina malizikia.Com. Muigai :...[ha! Ha!]...Sheikh Dabaso Ali Dogo : Sasa hii dot, yote wataandika...waka se... kila mtu atasema Baba yake aliuwawa, ng’ombe yake ilichukuliwa. Kwa hivyo kupoteza hiyo yote, wacha Serikali itupatie elimu ya bure miaka ishirini.Sisi kama Waislamu, hata leo ingawa tu, ni sheria inakubali tunasimama hapa. Sisi tuko na <strong>Constitution</strong> yetuambaye imekuwa written. Ime... ime andikwa na mwenyezi Mungu, ime... ime... ime ongewa na mwenyezi Munguambaye inaitwa Koran. Hiyo ina hukumu kila kitu. Hakuna hukumu hapana haiko ndani yake. Hukumu yote iko.Tu ki... sisi Waislamu turudishwe katika ku... hukumu hiyo, tufuate Koran. Koran ituhukumu kwa kila mahali.Makadhi wawekwe kila Location, na wapatiwe nguvu ya kutosha wa hukumu sheria ya Kiislamu.Leo hii tuki taka kuongea, mambo mengi watu wanaambiwa musiogope kusema. Kwa sababu kama vile mimi najua. Kama mimi sasa ni Councillor, ni Councillor wa Kanu, nikijaribu chama kingine wananchi wataambiwa we,mutamalizika. Hata kama Kanu ni mbaya, nitakuwa pale tu. Wananchi wamalizike, wafanye nini, ni hapo hapo tu,
37kwa sababu, nikiondoka sitapata kura. Kwa hivyo, wananchi wapate uhuru wa kutosha katika ardhi yao, wafanyevile wanataka, bali tu wasivunje sheria.Kwa hivyo sisi tunataka, hasa katika sehemu ya Waislamu. Tupatiwe shi... tupatiwe tujihukumu katika dini yaKiislamu. Leo kuna Kadhi katika <strong>Kenya</strong>, wengi sana, lakini hukumu yao ni urithi na talaka peke yake. Hawafanyikazi ingine. Watu wana weza kufa hapa, mtu ane... anaweza kuiba, na pia isitoshe, kama huja ridhika, na ardhikatika District yako. Lazima uende kwa kufanya Appeal kwa Judge ambaye sio Muislamu. Atakwenda kuhukumunini sasa? Ana hukumu vile anataka. Na vile anataka, kama leo hii, katika <strong>Kenya</strong>, vile anataka ni vile pesa ukonaye. Kiasi ya pesa ile uko naye ndio atahukumu. Kama sisi tutaenda wapi. Mali hatuna, hatuna uwezo, watuwengi, kama vile Mzee alikuwa mbeleni yangu hapa anasema, hawana Id card, hawa... hawezi kufika Isiolo, kwasababu ya transport. Serikali hapana iko hapa. Ata fanya namna gani? Kwa hayo machache na shukuru sana, naningependa mapendekezo yangu hiyo ichukuliwe vizuri. Asanteni sana.Com. Muigai :Asante Mzee. Bonaya Racha. Bonaya Racha. Dakika tatu Mzee. Tafadhali.Mzee Bonaya Racha :Boonayaa Raacaa, gaafaarssa duufeeSaallammaalleykum, annii nii dhuubbin tiyyaa dhiiqoyyo, maaqaan kiyyaTranslator :Mzee anasema anaitwa Bonaya Racha, anatoka sehemu za Gafarsa.Mzee Bonaya Racha :Aannin beendekeezoon tiiyya, akh maalee diiqaayooTranslator :Mapendekezo yake ni machache.Mzee Bonaya Racha :Nuu gaaf duurri kaanii, gaafaa koolooni, naamii cuuftii fuulaa uuffi qaabb.Translator :Zamani anasema kila moja alikuwa ana sehemu yake wakati wa ukoloni.Mzee Bonaya Racha :qaabbBooranii guuyyaa suun, akh maalee maaniikan, naam aakhammalee uhuuruuTranslator :Wakati huyo tulikuwa na uhuru ya kutosha katika hiyo nchi yetu, na mipaka yetu.Mzee Bonaya Racha :laaf uuffi qaabbAammalee nuu guuyya suunii akhii nuu uhuuruu qaamnuu, naamii cuuftinuyyu
- Page 1 and 2: Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4: 3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6: 5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7 and 8: 7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 9 and 10: 9Translator :Lazima sheria mpya, ih
- Page 11 and 12: 11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14: 13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16: 15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18: 17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20: 19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22: 21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24: 23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26: 25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28: 27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30: 29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32: 31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34: 33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35: 35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 39 and 40: 39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42: 41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44: 43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46: 45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48: 47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50: 49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52: 51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54: 53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56: 55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58: 57zamani walisema the President is
- Page 59 and 60: 59Parliament should make laws for t
- Page 61 and 62: 61The Chief Kadhi should be head of
- Page 63 and 64: 63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65 and 66: 65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 67 and 68: 67Kutairisha wasichana: Unasikia sa
- Page 69 and 70: 69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72: 71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74: 73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76: 75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78: 77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80: 79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82: 81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84: 83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86: 85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88:
87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90:
89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92:
91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93 and 94:
93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 95 and 96:
95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh
- Page 97 and 98:
97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100:
99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102:
101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104:
103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106:
105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108:
107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110:
109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113:
112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115:
114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117:
116maanani iende sambamba na sheria
- Page 118 and 119:
118maji itakuwa mambo ya Serikali y
- Page 120 and 121:
120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123:
122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125:
124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127:
126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129:
128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131:
130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133:
132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135:
134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137:
136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139:
138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141:
140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143:
142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145:
144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147:
146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149:
148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151:
150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153:
152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155:
154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157:
156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159:
158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161:
160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163:
162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165:
164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167:
166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak