60Executive: Sasa hii ni sector ya Serikali, Rais akiwa kiongozi, waziri hapo. Tulisema ya kwamba sehemu hii nimuhimu sana. Hii ni sehemu ya Serikali, hapa in charge ni Rais. Chini yake iko mawaziri. Hapa tuna maoni haya,ni mingi lakini, vile nime sema. Nitasema machache. An executive should be a degree holder, an executiveshould be upright and God fearing or either practicing a religion. An executive should declare his wealth throughthe <strong>Kenya</strong>n Gazette. An executive should have an important post before becoming a Legislator.A Prime Minister should have the following important duties amongst others. Appoint his ministers, anotherassistant another assistant, appoint diplomatic corps, appoint attorney general, chief justice ...[inaudible.]... chiefkadhi should be a member of the Executive representing Muslims. Tumesema ya kwamba Chief Kadhi awemember of the Executive. Awe kama, katika Bunge, awe kama Waziri, huko juu. Hii sector ya Executive ndiomuhimu sana. Hii ndio Serikali. Chief Kadhi awe katika Executive.Kadhi should also become an ex-officio member of Parliament. Leo licha ya wabunge wengine tuko na AttorneyGeneral, Speaker ambayo wako katika Bunge kila wakati. Attorney General ni mkuu wa sheria. Yeye si mbunge.Kwa vile Bunge ndio ina... ina... ina... tengeneza mambo ya... mambo ya... mambo ya sheria, Ag ana kuweko ndani.The Speaker pia ni ex-officio. Tuna thibiti... tuna... tuna... pendekeza ya kwamba, Kadhi should also be anex-officio as ...[...?...]... Waislamu awe ex-officio kwa sababu Kiislamu ina sheria yake. Kwa hivyo ati awe katikanini, katika Bunge, katika... aweke an ex-officio of Bunge.Attorney General should go through suspects files and convicts files and give judgment on appeal. Should no bebiased in executing his duties. And should not be manipulated.Judiciary: Hii sehemu pia ni muhimu kwa sababu ina husu... ina tuhusu sana. Islamic Courts should be introducedto serve Muslims both Civil and Criminals. Koti ya Waislamu lazima ifunguliwe kuhukumu... kushughilikiaWaislamu. Muslims should be judged according to the teaching of the Koran. Tunapendekeza ya kwambaWaislamu, waadhibiwe kulingana na Koran. Kwa sababu Koran ina husu kila sector ya binadamu, na hakuna kituambacho kimewachwa wazi. Muslim Judges should be employed to handle Islamic labour matters. Judges waWaislamu waajiriwe, ili wajaribu kushughulikia, shughuli za Waislamu. Islamic Law Schools should beestablished.The special cells and jails should be put in place for the Muslim convicts clothing and room for prayer should bethere. Hapa tumesema ya kwamba, jela kwamba... kama ni wafungwa, Muislamu yuko tafauti na Wakenyawengine. Kwa sababu Waislamu ana taratibu zake za maisha. Ana vile anavyoishi, Muislamu lazima awe safi.Majela mengine si safi kwa Muislamu, Muislamu anatakiwa asali na kila wakati asome Koran, anatakiwa anaendazake Kotini. Kwa hivyo tunapendekeza cells, special cells for Muslims should be opened.
61The Chief Kadhi should be head of the Islamic Judiciary and should work independently. Tumesema ya kwambaChief Kadhi apewe nguvu za kutosah ili aweze ku... kuongoza Waislamu kote nchini. Awepe nguvu ajaribukupendekeza shughuli za Waislamu bila uwoga ...[inaudible]... Apewe uhuru. He should be independent. Serikaliisijaribu kumuvuta vuta hivi. Leo katika Bunge Serikali ina vuta mtu. Serikali isi vute mtu.The Chief Kadhi, another Kadhi should be appointed by a body of Muslim scholars. A body of Muslim scholars...[Arabic]... should be established by the Muslims. Tumesema ya kwamba kikundi hiki cha ...[Arabic]... kibuniwe.Kikundi hiki ambacho kina jaribu kuhusika na Waislamu, ki... ki... kibuniwe. Na kikundi hiki ndicho kina jaribuku... kuhusika na kila... na kila swali ...[inaudible]... juu ya Waislamu. [All should Kadhis should be tried?] by the...[Arabic]... in case of misuse of office or inefficiency. Hapa tumesema Kadhi basi yuko chini ya nani, ardhi... Imean Chief Kadhi, I mean Kadhis should be under this. Wale wako chini ya ...[Arabic].... ...[Arabic]... ndioinaangalia taratibu, tabia, na kama huyu Chief Kadhi ha fanyi kazi lazima hawa ndio wataadhibu yeye.Basic rights... haya yametajwa hapa awali, lakini kuna mambo tumesema. People with disabilities should be givenspecial treatment, eg.,. food, shelter and the rest. Hapa kugusia haki za binadamu, tumesema ya kwamba walewalemavu, walemavu nchini <strong>Kenya</strong> hawaangaliwi. Walemavu wapatiwe haki ya kutosha. Kama vile chakula,malazi bora na mahali pa kupumzika. Walemavu yaani disabled people should be given special attention on food,sheltering and other areas. People with special disabilities completely blinded and wheelchaired should not besentenced or fined.Hapa tumesema watu ambayo... walemavu. Mtu ambaye hana miguu, labda hana macho yote mawili, watu hawawasi pelekwe Kotini. Wanashida zao wenyewe, ni maskini tayari, hana miguu miwili, hana macho mawili, hanamikono miwili, mtu huyu asishtakiwe awachwe tu, awachwe huru, akae. Special homes should be established formad and psychiatric cases. Hapa <strong>Kenya</strong> tunaona shughuli za walemavu ama, wale ambayo vichwa vyao si sawahakuna wanaojali hawa watu. Labda centers zifunguliwe, watu hawa waangaliwe.Land: Pastrolists land belongs to the community. A board of trustees should be chosen from each division ofthe district, three people from each division. Mambo ya lands tumesema ardhi ni ya wananchi, na katika kilatarafa watu watatu wa chaguliwe. Na hao ndio wata simamia maswali juu ya ardhi. Pastrolists communitiesshould be confined within the grazing blocks established in the colonial boundaries for the purpose oferadicating cattle rustling, livestock diseases and over grazing. Tumesema ya kwamba wafugaji wote wanamipakazao, kila kabila kutoka wafugaji wakae katika sector zao, boundaries. Kwa sababu utulivu wa kutokuwa na amaniulinzi huletwa na mchanganyiko wa watu hao. Kwa hivyo tunapendekeza wakati ya colonial era kila jamii iko naboundary yake. Kwa hivyo Serikali itakayo kuja ni lazima itie mkazo zaidi, jamii yote wawe katika sehemu zao.
- Page 1 and 2:
Constitution Of Kenya Review Commis
- Page 3 and 4:
3Tumechelewa kidogo. Wale ambayo wa
- Page 5 and 6:
5dakika kumi. Mwisho kabisa dakika
- Page 7 and 8:
7Mzee Wako Hache :Maaooniin tiiyyaa
- Page 9 and 10: 9Translator :Lazima sheria mpya, ih
- Page 11 and 12: 11ambayo imenyakuliwa irudishwe. Ni
- Page 13 and 14: 13Translator :mambo mingi.Anasema S
- Page 15 and 16: 15akh siirkaali haatua itti fuudaat
- Page 17 and 18: 17Translator :Sisi ni watu wa mifug
- Page 19 and 20: 19aaggart khaanii, maaqaa aabbootii
- Page 21 and 22: 21Na mfanya kazi ambaye ni Muislamu
- Page 23 and 24: 23kazi, tuwe local na tupate sawa s
- Page 25 and 26: 25cuuf wool fiitTranslator : Anasem
- Page 27 and 28: 27inyoonggan jeedaanii acciin dhaab
- Page 29 and 30: 29kupigwa ipigwe marufuku.Com. Muig
- Page 31 and 32: 31na nini... na umeletwa hospitali.
- Page 33 and 34: 33zinaendelea kuwa huko Nairobi. Ki
- Page 35 and 36: 35Sheikh Dabaso Ali Dogo :...[Arabi
- Page 37 and 38: 37kwa sababu, nikiondoka sitapata k
- Page 39 and 40: 39Translator : Mzee anapendekeza ya
- Page 41 and 42: 41skuulla, ijjooleen laaf taanaa ma
- Page 43 and 44: 43we are now becoming vulnerable to
- Page 45 and 46: 45kidogo vile alisema, lakini natoa
- Page 47 and 48: 47Com. Muigai :Karibia mic.Mr. Moha
- Page 49 and 50: 49Serikali lazima ipewe pesa sawa n
- Page 51 and 52: 51kuchukuwa Passport unaenda Nairob
- Page 53 and 54: 53ikivunjwa na ndovu shilingi elfu
- Page 55 and 56: 55Ya mwisho kabisa natakakusema hiv
- Page 57 and 58: 57zamani walisema the President is
- Page 59: 59Parliament should make laws for t
- Page 63 and 64: 63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :.
- Page 65 and 66: 65rural areas. Hakuna senti ya budg
- Page 67 and 68: 67Kutairisha wasichana: Unasikia sa
- Page 69 and 70: 69Translator :Waislamu tuna haki ga
- Page 71 and 72: 71hao watu. Tusiwekwe chini ya East
- Page 73 and 74: 73kwa Katiba yetu mpya, hiyo maji a
- Page 75 and 76: 75kheen maalaa maari yaadh, maalaa
- Page 77 and 78: 77khees maa ingguurr, taa biiyyaa l
- Page 79 and 80: 79South-Horr, Gaas Kaargii, Qaarrar
- Page 81 and 82: 81mimi naona inaitwa Meru National
- Page 83 and 84: 83wale viongozi, tumewachagua ndio
- Page 85 and 86: 85Sasa hao wengine walipoenda kutaf
- Page 87 and 88: 87Kwanini sisi tusi pate hio fursa,
- Page 89 and 90: 89irraa dhaamnTranslator :Tuki rudi
- Page 91 and 92: 91Mr. Abdirashid Ali Tacho : Nuu bo
- Page 93 and 94: 93hapa na wanaishi hapa Mbarambate?
- Page 95 and 96: 95Aadhaa laafaa, Ibbsee laafaa aahh
- Page 97 and 98: 97sisi kama wafugaji ardhi yetu isi
- Page 99 and 100: 99Pia ningependa tu kusema ya kwamb
- Page 101 and 102: 101education, kama ni maji, kama ni
- Page 103 and 104: 103inasema Trust Land iko chini ya
- Page 105 and 106: 105ridhaa. Hiyo ndiyo maoni yangu.Y
- Page 107 and 108: 107wholesale gani hakuna mtu anawez
- Page 109 and 110: 109Translator :Anasema nikiwa na ma
- Page 112 and 113:
112Mzee Haro Sime :Aarmmaa kheessaa
- Page 114 and 115:
114mwenyezi Mungu ametupatia, sivyo
- Page 116 and 117:
116maanani iende sambamba na sheria
- Page 118 and 119:
118maji itakuwa mambo ya Serikali y
- Page 120 and 121:
120Translator : Anasema kuna wakati
- Page 122 and 123:
122kuwacha kwa sababu wamefanya dhu
- Page 124 and 125:
124Ya tatu mamlaka ya rais ipunguzw
- Page 126 and 127:
126Councillor ama Bunge tukifanya c
- Page 128 and 129:
128halafu tuingie kwa kina baba ten
- Page 130 and 131:
130Ya kwanza ni affirmative action:
- Page 132 and 133:
132na mama kwa muda wa miaka kumi-n
- Page 134 and 135:
134Com. Lethome :Tupa tupa tu!Mr. O
- Page 136 and 137:
136Com. Lethome :Unapendekeza nini?
- Page 138 and 139:
138wako na shamba. Ni kama huko upa
- Page 140 and 141:
140create fear watu waogope kuingia
- Page 142 and 143:
142mjumbe wangu niko na minister fu
- Page 144 and 145:
144Mr. Ahmed Noor Wako :Asalaam Ale
- Page 146 and 147:
146wengine tena. Kwa sababu hasara
- Page 148 and 149:
148Ofisi ya Ombudsman iundwe Katiba
- Page 150 and 151:
150Translator : Mama Nuria anasema
- Page 152 and 153:
152ammantan maanikhan wooni akhaana
- Page 154 and 155:
154Mr. Bonaya Sama :Taan dhuubb dhu
- Page 156 and 157:
156Garbatula.Mr. Abdikadir Mohammed
- Page 158 and 159:
158Translator :Aam maan feet ree, a
- Page 160 and 161:
160Mzee Abdi Dubukusu :...[inaudibl
- Page 162 and 163:
162Translator :Na hata ngozi ya Chu
- Page 164 and 165:
164sababu Wanakenya wengi hata watu
- Page 166 and 167:
166security then Dc huyu wa Isiolo
- Page 168 and 169:
168Somalia na wakarudi, wali enda h
- Page 170:
170za Garbatula ame record leo. Hak