10.07.2015 Views

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

Constitution Of Kenya Review Commission [Ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

63wanakaa Nairobi....Com. Muigai :...[...ha Ha! ha...]...Mr. Huka Ali : The state should only buy the product of our animals and not import from other countrieswhen we have ...[inaudible]... The Livestock the livestock and their products should be advertised in the media.Leo tunakuta ya kwamba Serikali inasema ya kwamba, uti wa mgongo ya Serikali ni majani na kahawa. Jambo lakusikitisha kwamba ng’ombe wetu, wana nyama, wana ngozi, ata mifupa yenyewe, inatumiwa kwa kutengenezagum. Lakini Serikali inatangaza majani, America kwa Tv kwa media. Kahawa ya <strong>Kenya</strong> ni bora, ng’ombe yetu piani bora kushinda majani. Sindio. ...[inaudible]...Com. Muigai :...[...uHu!...]...Mr. Huka Ali : Kwa hivyo hayo yote ni dhulma tunafayiwa. Serikali advertise, sisi Waborana kwanza tuna ng’ombe bora zaidi kushinda kila mtu. Ng’ombe wetu ni maridadi sio ...[inaudible]... Kwa hivyo waangalie hayomambo. The Borana Bulls are the best, I suppose.Good transport and communications should be set up for easier running of these activities and marketing.mawasiliano bora ya buniwe. Labda tukipata factory hapa ndani ya nyama, ya nini tunataka mawasiliano bora.Barabara zetu zipigwe lami. Barabara... barabara zetu kutoka miaka nne... miaka arubaini iliopita hata hakuna...hakuna sehemu zimepigwa lami. Kwa hivyo katika Serikali zijazo tunataka mawasiliano bora. Kisumu barabara.Mambo kama hii.More funds should be allocated to the Ministry of Livestock for better health care of our live... animals. Morepastrolists should be trained as livestock officers and sent to the localities. Foreigners don’t have efficiency inrural areas. Leo tunaona kama hamujui Garbatula leo iko na <strong>Of</strong>ficer ya Maji, iko na <strong>Of</strong>ficer ya Ukulima, ina<strong>Of</strong>ficer ya Veterinary. Lakini wana kaa wapi, urban centers. Kwa sababu hata mkubwa... mkubwa pia ni Mmeru, niMjaluo, mbona wasikuje hapa ili wajuwe mambo ya mifugo. Kwa hivyo tunapendekeza wafanyi kazi wa ukulimasana sana Veterinary <strong>Of</strong>ficer should be stationed around. Locals. Wale wengine kutoka nje, they have proved tobe inefficiency, in most cases.The State should let... should set up savings and credit interest free banks in Muslim pastoral areas. Tumeona yakwamba wakulima wako na banki yao. Ukienda Meru utakuta, a very big bank. Meru co-operative bank, sisi piakama wafugaji, katika Serikali itakayo kuja tunahitaji banki ya uko... ya wafugaji, au namna gani. ...[inaudible]...Yes tunahitaji banki ya wafugaji. The State should provide legitimate funds to the owners of large herds of

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!