28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mwingine, tumuite Urbanus Kioko. Lakini, utumie two minutes, dakika mbili tu.<br />

Urbanus Kioko: Asante sana, mimi ni Bwana Urbanus Kioko na napigania u-councillor......................(inaudible) town<br />

ward. Kitu cha kwanza muhimu sana kuja hapa ni juu ya elimu. Nimeshangaa sana kuenda sana kufika mahali nikakuta<br />

kwamba watoto hawako maskuli, wako barabarani, wanaendesha<br />

Speaker: usikule mic<br />

Urbanus Kioko: Sawa sawa, wanaendesha magari barabarani na hawa watoto wote hawasomi. Kwa hivyo tunaomba<br />

kwamba elimu kuanzia January iwe ni ya bure, hakuna mwanafunzi kulipishwa lolote, hapa mnajua juzi<br />

walifanya..........................(inaudible) yaani elimu ni ya bure kuanzia mtoto wa nursery mpaka standard eight. Basic education<br />

mtu awe anasoma bure, hivyo inasaidia kuelimisha upumbavu ambayo ukitia sahihi haina haja mtu kutia na kidole, lazima awe<br />

amesoma vizuri. Halafu kuhusu skuli zetu za...........................(inaudible) iko hapa kweny skuli ya Kisauni, hakuna hata mtoto<br />

mmoja kutoka Kisauni anasomea pale. Ni kwa sababu gani? Kwa sababu akina mwenzetu wanatu.....................(inaudible)<br />

starehe, kutupikia viazi, utalipaa fee ama utaangalia mambo ya donor ya kununua unga?<br />

Speaker: Utanunua unga<br />

Urbanus Kioko: Angalia mambo ya unga, kwa hivyo tunaomba kwamba commissioner, wakati koti linap<strong>of</strong>unga mwezi wa<br />

siti waalimu wapatiwe choki za bure, andika hiyo. Waalimu wapatiwe choki za bure, hatutaki waalimu waanze kugoma na<br />

mwalimu kama amekubali mshahara wa elfu nane, asianze kugoma, kama hawezi huo mshaara, aache. Sisi tuchukuwe huyu<br />

mshahara tufanye kazi, si kuanza kusema anataka kuongezewa, aongezewe kitu gani? Mambo kama ile ya juzi mliona hapa<br />

mnajua, ma- head master wanaleta gadhabu hapa, wataka kuongeja madarasa, kuna madarasa hapa yameongezwa? Pesa<br />

tumetoa mfukoni na baado twaitishwa tena pesa, mambo kama haya ndio hatutaki. PTA ni wazazi ambao watoto wanasoma<br />

katika hii skuli kwa hivyo by January tafadhali, hatutaki miaka kumi na tano. Serikali imesema miaka kumi na tano ndio elimu<br />

itakuwa bure, la, January elimu iwe bure. Asante sana.<br />

Com. Wambua: Namwita Kazungu, Kazungu ako wapi, Kazungu.<br />

Kazungu: Mimi ni kusamilia, lakini ambaye nita............................................(inaudible) yuko hapa. Kwa hivyo mimi<br />

nimekuja kutoka asubuhi mzee wangu na nimesalimia watu wote. Maram yetu itasomwa na huyu mzee nimemwambia nini.<br />

Speaker: Ni sawa<br />

Com. Wambua: Ninataka yule ambaye atazungumza kutoa maoni.<br />

100

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!