28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

tunaweza pata msaada, na kwako wewe tunaweza fanikiwa. Ee Mwenyezi Mungu, tusaidie.<br />

Najib K: Tungepata mwingine wa thehebu la Kikristu atuombee tafadhali. Ni nani atajitolea?<br />

Maombi: Baba katika jina la Yesu Kristu tunakushukuru (inaudible). Tunasema ni asante kwa sababu ya siku hii<br />

njema ambayo umetupa tuweze kusherehekea na tuweze kushukuru katika ndani yake. Baba tunakushukuru kwa wakati huu<br />

ambao umeweza kutufanya tukakusanyika hapa ili tukapate kutoa maoni katika hiki kikao ambacho ni cha Kenya mzima. Baba<br />

tunaomba ya kuwa maoni ambayo tutatoa hapa, yataweza kusaidia kizazi hiki hata kizazi (inaudible) Baba tunaomba ukaweze<br />

mwenyewe na wale viongozi wako hapa na wale ambao wamekusanyika hapa, hekima ili yale ambayo watatoa itaweza<br />

kuwasaidia hao wenyewe na hata kizazi kijacho. Baba tunaomba utupe hekima kwa haya yote. Tunaomba hayo machache<br />

katika jina la Yesu Kristu aliye Mwokozi wetu. Amen.<br />

Najib K: Kuna thehebu lingine lolote? Kuna thehebu lingine lolote? Hamna. Kwa jina naitwa Najib K. Mimi ni constitution<br />

committee wa Kisauni na hata hivyo nitampisha dada yangu (inaudible) Ndodo ambaye ni (inaudible aweze<br />

ku-introduce ma-commissioners na mpangilio ambao yuko nayo.<br />

Ndodo: Hamjambo mabibi na mabwana?<br />

Wananchi: Hatujambo.<br />

Ndodo: Kwanza kabisa ningelitoa fursa hii kwa kuwashukuru nyote, ma-commissioners wetu, na nyote mli<strong>of</strong>ika na wote<br />

waliotuongaza kwa maombi ya leo. (inaudible) tuko na commissioners watatu ambao ndio watatuongoza katika kikao<br />

chetu cha leo, kwanza kabisa nitaanza na Commissioner Paul Wambua, Commissioner Pastor Zablon Ayonga na watatu ni<br />

Com. Pr<strong>of</strong>. Okoth-Ogendo. Sasa hao ndio commissioners wetu ambao tutakuwa nao siku ya leo na bila kupoteza wakati<br />

nitampisha Pr<strong>of</strong>essor Pastor Zablon Ayonga atuanzie kikao chetu.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Nawakaribisha nyote kwa niaba ya ma-commissioner wenzangu tuliomo hapa mbele.<br />

Tumetaka tuanze kikao hiki na ningependa wale ambao tuna maoni ambayo yameandikwa, tutawapa dakika kidogo ya kuweza<br />

kutumulikia machache makubwa yaliomo katika hayo maandishe. Hamji kutusomea neno kwa neno kwa maana tutaenda<br />

kusoma <strong>of</strong>isini. Na kwa hivyo wale wengine ambao mtatoa maoni yenu ambayo ya kwandikwa, nitaanza kuwapa dakika tano<br />

na ninapokuambia dakika zako zimekwisha, zimekwisha kwa sababu tunataka kumpisha mwingine naye apate nafasi ya kuweza<br />

kutoa maoni yake. Na kama hukuja una maoni umekuja kusikiza, sikiza tu, usijilazimishe kuanza kusema na mimi nataka<br />

kuongea na hali la kuongea huna. Kwa hivyo ikiwa una simu ya mkono tafadhali uzime. Uzime simu yako, nitaanza kuzima<br />

yangu. Kwa maana hatutaki hiyo simu iingie katika record. Maneno yenu yote mtakayosema yanachukuliwa kwa hivyo mtu<br />

asije afikiri, mbona naona yule hata aandiki, maneno yangu haya ni kama ni bure. Maneno yako yote utakayoyasema hata<br />

3

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!