28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

children ama watoto, wapewe first priority. Akionekana ni mwanamke yuko na mimba ama ana mtoto anapitishwa mbele<br />

anaende kupiga kura anaenda nyumbani. Si nayeye ako na mimba yake anasimama kwa laini mpaka afike ama pengine ako na<br />

mtoto, mtoto anamsumbua mpaka lazima asimame kwa laini, hiyo wanawake tunaona wanasumbuka sana.<br />

Halafu Pendekezo langu lingine ni kwamba hii anti-corruption (sentence incomplete)<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: Ngoja kigodo. Huko nyuma mjue tuna-record mambo hapa. Tafadhali mazungumzo ya<br />

huko yakome. Endelea<br />

Alice Nananga: Anti-corruption unit. Mimi kwa maoni yangu naona kwamba haiko kwa police sector kwa sababu tunaona<br />

katika mabarabara yetu mapolisi wanasumbua matatu, wanatoa kitu kidogo na sisi wanaraia tukiona. Na tunasika kwamba<br />

kuna anti-corruption unit huko kwa serikali ambayo naamini kwamba labda huko kwa police sector haifanyi kazi. Sasa<br />

nilikuwa nasema, sisi raia tupewe uwezo ikiwa tumeona vile na tunajua kwamba it is illegal, turuhusiwe kuchukua numba za wale<br />

polisi sisi wenyewe tuweze kushtaki, kuwashtaki wale polise ambao wanafanya hivyo. Lakini tunaweza kushtaki ikiwa hakuna<br />

njia ambayo tunaweza kutetewa sisi wananchi, basi, hali ile itaendelea lakini inatuchukiza sana sisi wananchi kuona polisi<br />

wanachukua hongo hovyo hovyo njiani. Matatu haina shida yeyote lakini lazima atatoa mia pale ama mia mbili ambayo si sawa.<br />

Kwa hivyo sisi raia tunapendekeza tupewe uwezo wa kuweza kushtaki polisi kama wale.<br />

Halafu la mwisho ambalo namaliza ni kwamba hii Constitution tukiandika hivi, itakuwa haina maana yoyote. Lazima<br />

Constitution ikiisha iwe the <strong>public</strong> should be educated on the Constitution kwa sababu nasema hivi ni kwani, sisi wanawake<br />

tunajua kwamba it has been legal for women to inherit properties from their fathers. Ni haki kwamba mwanamke amepewa<br />

uhuru wa kuridhishwa mali na mzazi wake. Lakini wananwake wengi hatujui, bado hatujajua hivi. Tunaona labda wale<br />

wanaoridhi mali ni wanaume tu pekee yake. Kwa hivyo nilikuwa nasema kwamba ikiwa Constitution imeisha, hii Constitution<br />

iwe itaelimishwa kwa wananchi wote, wananchi wajue Constitution inasema nini. Ili kwa kipengele kama zile kusiwe na<br />

matatizo. Hata hivi leo bado watu wengi ama mababa wengi hawawezi kuridhisha mwanamke mali yake kwa sababu anaona<br />

kwamba ni illegal lakini ni kwamba hii Consitution tukiimaliza baada ya yote iwe itakuwa educated to the <strong>public</strong>. Asanteni.<br />

Com. Pastor Zablon Ayonga: (inaudible) Nimetaka kuuliza kuna mama yeyote hapa ambaye ni mja<br />

mzito ambaye hatutaki afinywe hapa na watu? Kuna mama yeyote? Kama uko inua mkono nikuite uje utoe maoni uende. Basi<br />

hakuna mama. Alice Nananga hakuna mama yeyote hapa ambaye ni mja mzito kwa hivyo tutaendelea jinisi ilivyo. Salma<br />

Salim. Anapoendelea kuja nataka James Mukala awe tayari. James Mukala yuko? Basi uwe tayari huyu mama akimaliza,<br />

zamu ni yako.<br />

Salma Salim: Mimi naitwa Salma Salim kutoka hapa Bamburi, Mlaleo. Maoni yangu niko nayo ni mengi lakini nitasema<br />

kidogo, yale machache kidogo. Niko na maoni kama haya.<br />

15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!