verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Na kuhusu vyama vya kisiasa: Mimi naona kwa sababu, mimi niko chama fulani bibi yangu yuko chama fulani tunagombana<br />
kwa nyumba. Tusiwe na vyama. Let us be party less country. Kusiwe na chama. Hivi kwamba ukabila utatokea, hivi<br />
kwamba pingamizi zitatokea katika jamii kwamba huyu ni huku na huku na vita vinapiganwa kila wakati kwa sababu ut<strong>of</strong>auti wa<br />
kisiasa. Kusiwe na vyama nchini Kenya. Na hata ikiwa kuna vyama, tusiwe tuna, serikali inasimamia mipango yao kifedha,<br />
hapana. Kwamba shirikisho inapewa pesa na serikali, DP inapewa pesa na serikali na hizo ni pesa zetu wananchi sisi. Itumike<br />
kutengeneza barabara itusaidie. Vyama haitusaidii popote, haileti chakula kwa nyumba yangu.<br />
Halafu kuenda kwa executive: Naona kwamba executive iwe kuna President ambaye ni ceremonial ambaye atasimamia<br />
mambo ya ku, taalima mbali mbali ya kitaifa. Ikiwa kuna sherehe fulani, yeye anaenda kuongoza pale. Halafu awe ni<br />
Commander-in-Chief <strong>of</strong> the Armed Forces. Aongoze army ya Kenya lakini mambo mengine awache. Halafu kutakuwa na<br />
yeye awe elected asiwe mbunge, asiwe Member <strong>of</strong> Parliament kwa sababu hiyo itakuwa ni shida atawakilishaje Wakenya wote<br />
na tena <strong>constituency</strong> yake pale? Halafu Prime Minister pia awe ambaye anachaguliwa not appointed, anachaguliwa na raia.<br />
Halafu Deputy Prime Ministers wawe wawili, pia wanachaguliwa. Halafu Vice President pia awe anachaguliwa, makamu wa<br />
Rais isiwe kwamba mtu anakuwa appointed, kidogo wanafanya kuzungusha kwa sababu nimeku-appoint kwa hivyo lazima<br />
utaimba nyimbo zangu mimi. Halafu ukiingia kwenye executive yenyewe, President hatutaki mtoto awe ni President. President<br />
awe ni kuanzia 45 years to 70. Isiwe chini ya hio ama mbele ya hio. Maana yake ukiwa umechukua mtu ambaye ni miaka<br />
thelathini, sasa itakuwaje? Wanashughuli nyingi nyumbani, mtoto wake mdogo bado analia anataka maziwa, tunataka mtu<br />
ambaye amekomaa. Amewacha mambo ya kulisha watoto. Hata kama ni mama, asiendelee anaenda maternity leave, mama<br />
President itakuwa namna gani sasa? Basi iwe ni miaka 45 kwenda na mbele, asha funga kuzaa tayari maana yake tunatarajia<br />
siku moja labda mtu akakuwa mama President, si ndio? Sasa nyinyi itakuwaje President ameenda leave halafu legislator ni wale<br />
ambao mbwa bunge. Iwe inanguvu kabisa wawe wanakuwa elected for only 5 years, President 5 years, Prime Minister 5<br />
years, miaka mitano, mitano, mitano. Isiwe mtu anatokomea katika uongozi.<br />
Halafu judiciary iwe kwamba kuna wale wanakuwa appointed na Parliament baada ya ku-vet na President ana-endorse. Sasa<br />
Prime Minister awe yeye mwenyewe anachagua Cabinet Ministers ambao wasiwe kwamba wanakaa hapo miaka nenda, miaka<br />
rudi. Baada ya miaka miwili, re-shuffle, unapelekwa ministry ingine. Lakini after 5 years umekuwa ume-serve kuwa minister,<br />
usichaguliwe tena kuwa minister. Uwaachia wengine pia kazi wapate nafasi, tutapata maoni t<strong>of</strong>auti t<strong>of</strong>auti, new ideas<br />
itapatikana.<br />
Halafu katika local authorities pia kwamba, yule wa kumsaidia Mayor halafu council chairman na deputy wawe wanachaguliwa<br />
na raia. Wale wanapata miaka mitano, mitano, pekee yake. Ukisha kuwa Mayor, usichaguliwe tena usisimame tena unataka<br />
umayor tena.<br />
Halafu katika basic rights ni kwamba kila mtu ana haki yake ya kuishi vizuri, kuishi mahali popote bila kuhangaishwa. Mtu<br />
akipewa kitambulisho hiyo inaonyesha kwamba yeye anaishi mahali fulani asiwe anasumbuliwa kila wakati. Na hiyo<br />
9