verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
wao kwa polytecnic.<br />
On top <strong>of</strong> that mimi ningependa, the appointment <strong>of</strong> BOG kwa shule na PTA waangalie kabisa, kwa maana wale watu<br />
ndiowanaongeza karo, kwa maana wengi wao hawana watoto kwa hizo mashule na wakiongeza karo, ingine inaenda kwa<br />
allowance yao, sasa hapao wazazi wanaumia sana. On the employment act, iko Cap 226 kuna cross in surbodination hii imeua<br />
watu wengi sana kwa employment, jamani nigeomba Serikali tukufu, hii mabadiliko ya Katiba hii insubdination nini hata<br />
ukikosana na Manager nje unafutwa kazi.<br />
Mambo ya matatu, matatu imesaidia sana kuhusu transport hapa Kenya, lakini wafanyaji kazi wa matatu driver wanatumika<br />
kama Slave Trade, maana ake mwenye gari anataka apelike pesa, na hajui hiyo pesa inatoka wapi, sasa mimi nataka hii Katiba<br />
mpya aangalie watu wa matatu watawekwa upande gani. Sana sana mimi nataka kwa maana wale pia wamekuwa employed<br />
kama watu wanafanya kwa transport ingine, wawe wanakatiwa NSSF, wawe wanakatiwa kila kitu, heri badala ya kuacha kazi<br />
wawe kama wafanyaji kazi wengine, sio eti wazee na vijana wawe kama watumishi wa watu.<br />
Ingine inahusu huyu Mbunge wetu, atapeleka hii hata kabla hujampeleka. Mwaka sitini na tatu wakati tulipata uhuru, tulikuwa<br />
na wa Bunge wachache huko Bungeni ikawa column iliwekwa watu 30, mpaka dakika hii wanatuabisha sana, wanaweka pale<br />
kiwaja tumewatuma kwa hall kama vile tumejaa na hawapo, na there are over 200, na hata wametuabisha kwa maana there are<br />
not debating, sasa wanasema column ni 30 people lakini there don’t go there, na huku wana draw a very big challenge it is a<br />
shame, to the contributors ambapo ni Wananchi wa Kenya, so my MP I respect you very much because naona jina lako kila<br />
siku nikisoma gazeti you are there, lakini tell wale Ministers we don’t need them, because wanakula mshahara yetu bure, this is<br />
tax payers money.<br />
Com Paul: Tupatie Maoni tafadhali<br />
.<br />
Mr Samuel: Ya mwisho ni mshahara ya Councillors, wajua wa Councillors wamekuwa wezi sana, na wamekuwa wezi kwa<br />
shida moja, shida ni allowance yao saa ingine imechelewa kwa ajili ile refenue haipatikani kwa rahisi, sasa kwa hivyo ni<br />
ngeomba hii Tume mpya mshahara ya wale watu itoke kwa tressary heri mtu akiingia hapo aende kama mtu ameenda kufanya<br />
kazi sio mwizi tena, maana ake anapigwa kura na influence watu, lakini kule baada ya mwaka moja amekuwa tajiri.<br />
Yangu ya mwisho ni power ya President, mimi ningeomba hivi, Parastal Heads, Judiciary na watu wote, wawe vetted na<br />
Parliament mwanzo. Wale wajumbe baada ya kuandika barua hii barua iende kwa Clerk to the National Assembly, halafu awe<br />
vetted na Parliament kisha ndio majina itumwe kwa President, heri achague walewatu anawapenda, maana ake tumeona mara<br />
nyingi kama vibanda hii mnalia hapa it has come wameprepare kwa ajili ya wrong appointments. People who are not qualified<br />
wamekuwa chairman, wamekuwa Managing Directors mpaka hata Posta imesorota. Asanteni sana.<br />
85