28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wao kwa polytecnic.<br />

On top <strong>of</strong> that mimi ningependa, the appointment <strong>of</strong> BOG kwa shule na PTA waangalie kabisa, kwa maana wale watu<br />

ndiowanaongeza karo, kwa maana wengi wao hawana watoto kwa hizo mashule na wakiongeza karo, ingine inaenda kwa<br />

allowance yao, sasa hapao wazazi wanaumia sana. On the employment act, iko Cap 226 kuna cross in surbodination hii imeua<br />

watu wengi sana kwa employment, jamani nigeomba Serikali tukufu, hii mabadiliko ya Katiba hii insubdination nini hata<br />

ukikosana na Manager nje unafutwa kazi.<br />

Mambo ya matatu, matatu imesaidia sana kuhusu transport hapa Kenya, lakini wafanyaji kazi wa matatu driver wanatumika<br />

kama Slave Trade, maana ake mwenye gari anataka apelike pesa, na hajui hiyo pesa inatoka wapi, sasa mimi nataka hii Katiba<br />

mpya aangalie watu wa matatu watawekwa upande gani. Sana sana mimi nataka kwa maana wale pia wamekuwa employed<br />

kama watu wanafanya kwa transport ingine, wawe wanakatiwa NSSF, wawe wanakatiwa kila kitu, heri badala ya kuacha kazi<br />

wawe kama wafanyaji kazi wengine, sio eti wazee na vijana wawe kama watumishi wa watu.<br />

Ingine inahusu huyu Mbunge wetu, atapeleka hii hata kabla hujampeleka. Mwaka sitini na tatu wakati tulipata uhuru, tulikuwa<br />

na wa Bunge wachache huko Bungeni ikawa column iliwekwa watu 30, mpaka dakika hii wanatuabisha sana, wanaweka pale<br />

kiwaja tumewatuma kwa hall kama vile tumejaa na hawapo, na there are over 200, na hata wametuabisha kwa maana there are<br />

not debating, sasa wanasema column ni 30 people lakini there don’t go there, na huku wana draw a very big challenge it is a<br />

shame, to the contributors ambapo ni Wananchi wa Kenya, so my MP I respect you very much because naona jina lako kila<br />

siku nikisoma gazeti you are there, lakini tell wale Ministers we don’t need them, because wanakula mshahara yetu bure, this is<br />

tax payers money.<br />

Com Paul: Tupatie Maoni tafadhali<br />

.<br />

Mr Samuel: Ya mwisho ni mshahara ya Councillors, wajua wa Councillors wamekuwa wezi sana, na wamekuwa wezi kwa<br />

shida moja, shida ni allowance yao saa ingine imechelewa kwa ajili ile refenue haipatikani kwa rahisi, sasa kwa hivyo ni<br />

ngeomba hii Tume mpya mshahara ya wale watu itoke kwa tressary heri mtu akiingia hapo aende kama mtu ameenda kufanya<br />

kazi sio mwizi tena, maana ake anapigwa kura na influence watu, lakini kule baada ya mwaka moja amekuwa tajiri.<br />

Yangu ya mwisho ni power ya President, mimi ningeomba hivi, Parastal Heads, Judiciary na watu wote, wawe vetted na<br />

Parliament mwanzo. Wale wajumbe baada ya kuandika barua hii barua iende kwa Clerk to the National Assembly, halafu awe<br />

vetted na Parliament kisha ndio majina itumwe kwa President, heri achague walewatu anawapenda, maana ake tumeona mara<br />

nyingi kama vibanda hii mnalia hapa it has come wameprepare kwa ajili ya wrong appointments. People who are not qualified<br />

wamekuwa chairman, wamekuwa Managing Directors mpaka hata Posta imesorota. Asanteni sana.<br />

85

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!