28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kitu ingine, tungeliomba uakilishi katika Bunge na kwa Municipal Councils. Walemavu ni watu wametengwa kabisa. Katika<br />

Bunge hawako, kama wako, basi, ni wachache, hata wakiongea, hawawezi wakasikizwa. Na kwa upande wa councillors, tena<br />

hapa Mombasa hakuna hata mmoja. Kwa hivyo, wanapokuwa wanajadili kuhusu maisha ya watu walemavu, sisi huwa<br />

tumetengwa kabisa, na huwa hata hatusikizwi.<br />

Kitu ingine tunataka kuongea ni kuhusu national funds for the disabled. Hii fund imekuwa ni shida sana kwa mlemavu ambaye<br />

yuko hapa chini kabisa kuipata. Tungelitaka hii fund, iwe constituted, iwe inaweza kujadiliwa kuanzia chini, sio kuanzia Nairobi<br />

peke yake kule juu. Watu wa hapa, hawajui wanaweza kuipata vipi. Na kama itaamuliwa, inaamuliwa tu huko Nairobi.<br />

Tuko na shida nyingi ambazo tumeweza kusisema, lakini hatuwezi, kwa sababu hakuna msaidizi wowote tunaweza kupata<br />

kutoka kwa serikali. Tukienda kwa social service, wanasema hawawezi kutusaidia, na tukienda kwa National Fund for the<br />

Disabled, iko mbali uko Nairobi. Watu wengine hawawezi kufika huko, kwenda kusikizwa shida zao. Tungeliomba hiyo kitu<br />

iregeshwe chini mashi……. (inaudible) kabisa, kwa district level, ili tuweze kuwa tunaweza kufikisha shida zetu.<br />

Mambo mengine ni kuhusu – nina maoni kuhusu nominations. Sisi walemavu, ni watu ambao asirimia yetu ni kidogo, lakini tumo<br />

katika jamii. Kwa hivyo, tungeliomba Bunge, ichague watu maalum ambao wanaweza kuwakilisha shida za walemavu. Sio tu<br />

Bungeni, hata kwa councils pia. Hizo ndizo shida tuko nazo sana.<br />

Com. Pr. Ayonga: Kumalizia.<br />

Patrick Makalo: Kumalizia, ni kuhusu security. Upande wa security, hasa tuseme kwa mfano mtu mlemavu akishikwa,<br />

akiwekwa ndani kwa hizi seli ziko hapa. Huwa hazina zile vifaa vya kuweza kuhudhumia mlemavu. Kwa mfano, mtu akiwa<br />

kwenye uizi ameshikwa, kule ndani ya seli aruhusiwi kuingia na ile wheelchair yake. Ina maanisha kwamba, sasa atakaa pale,<br />

atambae, kwa hivyo itakuwa ni hali moja mbaya sana.<br />

Kwa ujumla, hapo ndani ya seli, hakuna ………………. (inaudible) zote ambazo zinaweza ku…………. (inaudible) kabisa.<br />

Ni hayo tu, asante.<br />

Com. Pr. Ayonga: Asante sana. Ndugu unaweza kuja hapa ujiandikishe, na utupe hayo maandishi yako. Sasa, wewe ni<br />

mtu wa Ijumaa, sio? Si wewe, naongea na wewe?<br />

Hassan Mboga: Jina langu naitwa Hassan Mboga, mkaaji wa Kisauni – Magoboni.<br />

Swala la leo ni Majimbo: sisi tukiwa hapa kama watu wa Pwani, na wazaliwa wa Pwani, uhuru ulipatikana mwaka wa sitini na<br />

tatu, na watu wote wa Kenya walipata uhuru, lakini wa Pwani hawakupata. Maneno ambayo kwamba wa Pwani hawajapata<br />

56

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!