28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

good thing, but they have been brain washed, what we want, in the Constitution ni kwamba, kama Katiba ita gurantee kwamba<br />

mtu wa Pwani apewe ardhi yake na tuishi pamoja,<br />

(inaudible) Kisauni tumejipigania tumeanza kugawanya hata settlement scheme, hatujafukuza Kikuyu, tukipata Kikuyu yuko pale<br />

tunampa Tile deed tukipata Jaluo yuko pale tunampa title deed, maanake yeye na Mpwani walikaa pamoja. Kwa hivo mimi sina<br />

mengi saidi, nitachukua wakati mwingi kesho ndio nitambomoa huku, lakini maombi yangu, kama mna nafasi mrudi hapa kesho,<br />

ili Wananchi wangu wapate siku mbili kama Mvita na Shangamwe, thank you very much<br />

.<br />

Com Paul: Asante sana Mheshimiwa, pengine ni sahihishe kitu kidogo tu, ijapokuwa, hapa mlipewa siku moja lakini vikao ni<br />

viwili, tuko hapa leo Mlaleo Primary School kuna kikudi kingine cha ma Commissioners kiko huko Barochi hall, kwa hivyo,<br />

Mheshimiwa: No, in Mvita you gave two days,<br />

Com Paul: Lakini tulikuwa kikao t<strong>of</strong>auti one panel.<br />

Mheshimiwa: No,no, there were two panels.<br />

Com Paul: It was not two I was there it was only one panel<br />

Mheshimiwa: Two days?<br />

Com Paul: One panel for two days, so there was two sittings<br />

Mheshimiwa: Why don’t add up, I am a member <strong>of</strong> your Commission, tutahonga kidogo.<br />

Com Paul: tutapeleka ripoti halafu kesho, tutakueleza maana lazima tupange mpango wa kurudi, tumesikia, kama hatutamaliza<br />

kusikiza watu, ni lazima tufanye mpango wa kurudi hapa hiyo ni kawaida wale ambao hatutawasikia, msiwe na wasiwasi<br />

tutarudi hapa kuwasikiza juu hata tuko namajina yao. Lakini siku yenyewe hatutasema ni kesho, maana ake lazima tupeleke<br />

ripoti halafu tupewe naasi tena kutoka huko turudi hapa tena. Kwa hivo tutaendelea, tumemsikiza Mbunge wetu hapa Garisa<br />

Maitha. Kwa hivo tutawapatia Wananchi nafasi kama alivyosema, tumuite Masono Joseph, yuko hapa, aje hapa mbele<br />

tafadhali. Ufupishe maneno tafadhali kwa sababu watu ni wengi hapa, tuone kama tunaweza kuwapatia wengine nafasi, dakika<br />

ni tatu tu tafadhali.<br />

Masono Joseph: Mimi kwa majina naitwa Joseph Masono.<br />

78

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!