28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ali Hamisi: Salaam Aleikum<br />

People: Aleikum salaam<br />

Com. Wambua: nawaita sasa, pengine tutawasikia watu wengine hufanya hivi, kabla hatujakiahirisha hiki kikao na kwanza,<br />

tusikize hapa kwanza tuangalia nani yuko hapa. Hii page ndio tutaanzia. Tutamwita mama Irene Randu, yuko? Mama huyu<br />

tutamsika halafu tu, wacha tuangalie, Said Adul yuko<br />

Speaker: Yuko hapo<br />

Com. Wambua: Haya, Nyiva .................(inaudible) yuko, hayuko<br />

Nyiva: Niko hapa<br />

Com. Wambua: .........................(inaudible) yuko,<br />

Speaker: Ngoja kwanza<br />

Com. Wambua: Hayuko, Tume Shukari yuko, hayuko<br />

Irene Randu: Kwa majina naitwa Irene Randu na niko hapa kwa niaba ya maendeleo ya wanawake, YWCA na vikundi<br />

vyote vya kina mama wa Kisauni. Katika kaiba yetu tumeona haina utangulizi wowote kwa hivyo haijulikani ni kina nani wenye<br />

kuishi katika hiyo nchi. Kwa hivyo tungeomba katiba iwe na utangulizi, ijulikana kama hapo ndani kuna wakenya na tu watu wa<br />

iana gani na wingi wetu na mila zetu na kadhalika. Na tumelia mama, tumesema msichana akiwa ameshikishwa mimba skulini,<br />

kuna tabia ya yule msichania kuadhibiwa, kufukuzwa. Tungeomba wote, msichana na mvulana waadhibiwe na pia msichana<br />

akisha zaa aweze kurudishwa skuli mara moja akiwa ana afya nzuri. Mateso kwa wakina mama kutokana kwa nyumba zao<br />

hasa katika hali ya brutality, tumeona yamezidi na kutungwe sheria ya kuweza kumlinda mama.<br />

Mama akifiliwa na mume wake wa halali, apewe uridhi asomeshe watoto aliowachiwa. Uridhi usichukuliwe na mashemeji au<br />

jamii ya mume wake, pia asichukuliwe ufa, maradhi yamezidi sana. Kuundwe wizara ya wakina mama pamoja na watoto na<br />

tuweze kuwa na waziri wetu wa kike. Vikongwe wajengewe makao pamoja na watoto wanao randa randa pia watengezwe<br />

makao<br />

Com. Wambua: Kelele nyingi..................................(inaudible) tafadhalini<br />

102

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!