28.02.2013 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Pr. Ayonga: Unafikiri utaongea dakika ngapi?<br />

Ali Asaa: Zile utakazo ni ruhusu wewe, lakini ningependa…..<br />

Com. Pr. Ayonga: Lakini unapoona wengi, wewe unaona aje? Wewe ni mzee mwenzangu.<br />

Ali Asaa: Ni mzee mwenzangu kweli, lakini, nipe kidogo leo, maanake siku ile tuli…..<br />

Com. Pr. Ayonga: Leo?<br />

Ali Asaa: Siku ile tuliwachana kati kati. Kama wataka kuniweka mwisho, pia ni sawa.<br />

Com. Pr. Ayonga: Tafadhali, ni mimi ninaongea naye. Mzee!<br />

Ali Asaa: Ndio.<br />

Com. Pr. Ayonga: Tafadhali ……………………. (inaudible) tafadhali.<br />

Ali Asaa: Asante sana. Asante. Kwanza, napiga shkurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kunipa wafsi kama huu, kuja<br />

kuhudhuria kikao kama hichi. “…………….. (inaudible)”, sisi Waislamu kabla ya kuanza jambo lolote, Mwenyezi Mungu<br />

ametuamulisha tumutangulishe yeye. Mawazo yangu na maoni yangu ni haya:-<br />

Jina langu kwa kikamilivu ni Ali Taabu Asaa.<br />

Ninalopendelea mimi kwanza, linalouma watu wa Kisauni pamoja na mimi mwenyewe, na Waislamu wote, na wakaaji, hata<br />

Wakristo – ndugu zote, ni squatters wa Coast, hasa hii Mombasa, Kisauni, umeishi muda mrefu sana. Kwa hivyo,<br />

tungependelea, na kuiomba Serikali yetu tukufu, iondoe kabisa, marufuku kabisa, hapa mwaka ujao, tukute sisi si ma-squatters<br />

tena.<br />

Jambo la pili, tungependelea, Rais akiwa ni Mkristo, makamu wake awe ni Muislamu ……………….. (inaudible). Na mvumu<br />

wa Serikali hiyo yote tunayozungumzia, iwe ni ya Majimbo.<br />

Na tungependa Waislamu wenyewe, wawajiwe mambo yao wajiamulie kulingana na …………………………. (inaudible).<br />

Na Kadhi wetu apewe mamlaka sawa na ma-Judge wale walioko kortini, maanake wote wako katika nyuma ya Serikali.<br />

Chief Kadhi apewe gari, apewe na driver, na wale ma-Kadhi wadogo pia kadhalika, wafanyiwe usawa na wale ma-Judge<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!